"Your Private Message Was Not Delivered to ...... ".

"Your Private Message Was Not Delivered to ...... ".

hahaaa wenyewe wamejiunga siku hizi.....kila anachofanya anapost lol!!!!

Yeye anafikiri tunayoposit huku tunatoa fb! Hata kama habari iwe ya kweli, alimradi link ipo facebook huwa nakosa guts kabisa za kuisoma. Ni kama mtu mmoja alinitumia namba yake, huku anasisitiza tuwasiliane kupitia fb!
 
Kuna mdada nampenda humu Jf jamani, yaani kadri siku zinavyoenda anazidi kunifanya niishi kama vile nimeazimwa kichwa!

Jana jioni nimekaa nikasema ngoja nimwandikie PM, nifunguke kabisa moja kwa moja bila kusita.

Nimeandika PM yangu, lakini cha ajabu kila nilipojaribu kuituma nikawa napata huu ujumbe "Your Private Message Was not Delivered to ...... ". Niliona sio hali ya kawaida ikabidi tu nisitishe zoezi, sijui ni tatizo gani.

Ingawa sijampata, lakini naami siku nikimpata atanipandisha mpaka niweze kusimama juu ya mlima! Lakini acha tu nimdedicatie huu wimbo:

Westlife - You Raise Me Up (With Lyrics) - YouTube


Jamani nauliza, kuna watu humu wana nini maana mtu sijawahi kumwona lakini cha ajabu ananichanganya????

kweli watu na bahati zao....:A S 41::A S 41:
 
Ok...Wierd and interesting at the same time 😱hwell:


Au alihisi nitafunguka kwa kumpm akaamua kuniweka blacklist kwanza kwa kihoro cha kuogopa swagga zangu nini?? Maana kuna ile hali ya mtu kushtukia jambo kabla halijatokea!
 
Au alihisi nitafunguka kwa kumpm akaamua kuniweka blacklist kwanza kwa kihoro cha kuogopa swagga zangu nini?? Maana kuna ile hali ya mtu kushtukia jambo kabla halijatokea!
Mh kama mtu hamna mawasiliano yoyote atakuwekaje kwenye blacklist bila sababu za msingi?Hamna ugomvi,hamjuani,kama hataki mawasiliano na ww si anakwambia tu!
 
Mh kama mtu hamna mawasiliano yoyote atakuwekaje kwenye blacklist bila sababu za msingi?Hamna ugomvi,hamjuani,kama hataki mawasiliano na ww si anakwambia tu!

Labda ilikuwa technical problem! Sidhani! I have to keep on trying.
 
You can do that!!

Ngoja nireboot PC, halafu nijaribu kutuma tena. Ila ikigoma, kesho nikiamka tu asubuhi la kwanza ni kuituma hii PM ndio niendelee na mambo mengine. Ohhh "I've to fight for my dreams".
 
Back
Top Bottom