Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,582
Si ufuatilie ujue tatizo au unataka mshenga.
hehehhe,washenga wamekua kama tigopesa,ukizubaa umeliwa
Si ufuatilie ujue tatizo au unataka mshenga.
Ulinitumia mimi hio PM nini?
😛eep: he he he unajishtukizia ehhh?Hajakuweka kwenye ignore list kweli huyo mtu?Duh, ni mapema mno kufunguka!
😛eep: he he he unajishtukizia ehhh?Hajakuweka kwenye ignore list kweli huyo mtu?
Mwuulize Mark Zuckerberg https://www.google.com/url?url=http...sg=AFQjCNEHx25MqADK2az1b47-WnUeFPlTdQ&cad=rja
atakwambia mie nilikuwa mwanachama wa ngapi kujiunga facebook! Sie ndio tulioichangamkia mapema kabisa, na tumewaachia nyie muda.
Duh, ni mapema mno kufunguka!
kwani hamjawahi kuwasiliana na huyo mtu?Mhhhh alijuaje ningempm?
hehehe halo halo lol:shut-mouth:Hahahaaa huachi vituko wewe mwanaume lol!!!!!
hahaaa wenyewe wamejiunga siku hizi.....kila anachofanya anapost lol!!!!
kwani hamjawahi kuwasiliana na huyo mtu?
Kuna mdada nampenda humu Jf jamani, yaani kadri siku zinavyoenda anazidi kunifanya niishi kama vile nimeazimwa kichwa!
Jana jioni nimekaa nikasema ngoja nimwandikie PM, nifunguke kabisa moja kwa moja bila kusita.
Nimeandika PM yangu, lakini cha ajabu kila nilipojaribu kuituma nikawa napata huu ujumbe "Your Private Message Was not Delivered to ...... ". Niliona sio hali ya kawaida ikabidi tu nisitishe zoezi, sijui ni tatizo gani.
Ingawa sijampata, lakini naami siku nikimpata atanipandisha mpaka niweze kusimama juu ya mlima! Lakini acha tu nimdedicatie huu wimbo:
Westlife - You Raise Me Up (With Lyrics) - YouTube
Jamani nauliza, kuna watu humu wana nini maana mtu sijawahi kumwona lakini cha ajabu ananichanganya????
Ok...Wierd and interesting at the same time 😱hwell:Sijawahi kabisa.
kweli watu na bahati zao....:A S 41::A S 41:
Ok...Wierd and interesting at the same time 😱hwell:
Mh kama mtu hamna mawasiliano yoyote atakuwekaje kwenye blacklist bila sababu za msingi?Hamna ugomvi,hamjuani,kama hataki mawasiliano na ww si anakwambia tu!Au alihisi nitafunguka kwa kumpm akaamua kuniweka blacklist kwanza kwa kihoro cha kuogopa swagga zangu nini?? Maana kuna ile hali ya mtu kushtukia jambo kabla halijatokea!
Mh kama mtu hamna mawasiliano yoyote atakuwekaje kwenye blacklist bila sababu za msingi?Hamna ugomvi,hamjuani,kama hataki mawasiliano na ww si anakwambia tu!
Lazima nitoke, nisipotoka nakata rufaa.
You can do that!!Labda ilikuwa technical problem! Sidhani! I have to keep on trying.
You can do that!!