"Your Private Message Was Not Delivered to ...... ".

"Your Private Message Was Not Delivered to ...... ".

Hi yule ulokuwa ukimtafutia zawadi ushaipata....!? Nauliza tu lakini, msinielewe vibaya.
 
Siku moja mtajatongoza vidume wenzenu bure...
 
Ndio maana watu kila leo wanaleta kesi huku, kumbe kinachowauma ni jinsi walivyohangaika!

Ha ha haaa so wewe hutaki kuhangaika? sbb baade utaleta kesi.

Cha kuhangaikia ni kizuri na kinanoga sana
 
Kuna mdada nampenda humu Jf jamani, yaani kadri siku zinavyoenda anazidi kunifanya niishi kama vile nimeazimwa kichwa!

Jana jioni nimekaa nikasema ngoja nimwandikie PM, nifunguke kabisa moja kwa moja bila kusita.

Nimeandika PM yangu, lakini cha ajabu kila nilipojaribu kuituma nikawa napata huu ujumbe "Your Private Message Was not Delivered to ...... ". Niliona sio hali ya kawaida ikabidi tu nisitishe zoezi, sijui ni tatizo gani.

Ingawa sijampata, lakini naamini siku nikimpata atanipandisha mpaka niweze kusimama juu ya mlima! Lakini acha tu nimdedicatie huu wimbo:

Westlife - You Raise Me Up (With Lyrics) - YouTube


Jamani nauliza, kuna watu humu wana nini maana mtu sijawahi kumwona lakini cha ajabu ananichanganya????

ndo hapo nilipo kuona uko mjini kwa bahati mbaya!!!

people need money!! not private messages!!

ebo!!
 
ndo hapo nilipo kuona uko mjini kwa bahati mbaya!!!

people need money!! not private messages!!

ebo!!

Sasa nitampaje hela bila kumtumia PM anipe namba yake ya Mpesa au Tigopesa au Airtel Money au account ya bank? Wewe vipi? Rudi shamba.
 
Sasa nitampaje hela bila kumtumia PM anipe namba yake ya Mpesa au Tigopesa au Airtel Money au account ya bank? Wewe vipi? Rudi shamba.

hahaaaahhaaaa!!!!

lover boy.... lover boy, umeshadata lover boy!!!

lover boy, lover boy unaleta utata lover boy!!

lover boy kwa mashori ni hatari...!!!!

cc: Heaven on earth, mimi49, Kongosho, lara 1, Madame B, miss strong, BADILI TABIA, charminglady ... etc

,,,, jamani fungueni pm settings zenu,,, najua kuna mmoja wenu hapa anasakwa!!
 
hahaaaahhaaaa!!!!

lover boy.... lover boy, umeshadata lover boy!!!

lover boy, lover boy unaleta utata lover boy!!

lover boy kwa mashori ni hatari...!!!!

cc: Heaven on earth, mimi49, Kongosho, lara 1, Madame B, miss strong, BADILI TABIA, charminglady ... etc

,,,, jamani fungueni pm settings zenu,,, najua kuna mmoja wenu hapa anasakwa!!

Wewe kuwa makini, yaani unacc wengine wake za watu, shauri yako, we waletee ugomvi kwenye ndoa zao tu! Ila umepatia hata hivyo! Kongosho tena!
 
Last edited by a moderator:
Wewee ni pendapenda. Nenda, kama umezidiwa nenda uwanja wa fisi.
 
Back
Top Bottom