- Thread starter
- #81
....."mbuzi yake kamba, ukiona anamnyororo basi huyo ni mbwa"....
Hiyo nahau yako sijaielewa kabisa!
....."mbuzi yake kamba, ukiona anamnyororo basi huyo ni mbwa"....
Ndio maana watu kila leo wanaleta kesi huku, kumbe kinachowauma ni jinsi walivyohangaika!
Hi yule ulokuwa ukimtafutia zawadi ushaipata....!? Nauliza tu lakini, msinielewe vibaya.
Kuna mdada nampenda humu Jf jamani, yaani kadri siku zinavyoenda anazidi kunifanya niishi kama vile nimeazimwa kichwa!
Jana jioni nimekaa nikasema ngoja nimwandikie PM, nifunguke kabisa moja kwa moja bila kusita.
Nimeandika PM yangu, lakini cha ajabu kila nilipojaribu kuituma nikawa napata huu ujumbe "Your Private Message Was not Delivered to ...... ". Niliona sio hali ya kawaida ikabidi tu nisitishe zoezi, sijui ni tatizo gani.
Ingawa sijampata, lakini naamini siku nikimpata atanipandisha mpaka niweze kusimama juu ya mlima! Lakini acha tu nimdedicatie huu wimbo:
Westlife - You Raise Me Up (With Lyrics) - YouTube
Jamani nauliza, kuna watu humu wana nini maana mtu sijawahi kumwona lakini cha ajabu ananichanganya????
Was the message delivered Simplicity. ?
Siku moja mtajatongoza vidume wenzenu bure...
ndo hapo nilipo kuona uko mjini kwa bahati mbaya!!!
people need money!! not private messages!!
ebo!!
Sasa nitampaje hela bila kumtumia PM anipe namba yake ya Mpesa au Tigopesa au Airtel Money au account ya bank? Wewe vipi? Rudi shamba.
hahaaaahhaaaa!!!!
lover boy.... lover boy, umeshadata lover boy!!!
lover boy, lover boy unaleta utata lover boy!!
lover boy kwa mashori ni hatari...!!!!
cc: Heaven on earth, mimi49, Kongosho, lara 1, Madame B, miss strong, BADILI TABIA, charminglady ... etc
,,,, jamani fungueni pm settings zenu,,, najua kuna mmoja wenu hapa anasakwa!!
PM imeenda, ngoja nisubirie majibu.
Kesho naenda kufanya shopping ya zawadi zake. Ahsanteni kwa michango yenu.
Hiyo nahau yako sijaielewa kabisa!
Siku moja mtajatongoza vidume wenzenu bure...
Siyo vibaya kwani atakuwa Shoga.