You are not my type

😂😂😂 sawa mpenzi
 
Lakin kuna maneno ya kumwambia mtu si lazima useme neno ilo mtu mwenye busara anawwza kusema labda na mtu tayari au hapana siwezi kuwa nawe neno rahisi sana siyo kutoa neno ambalo kiuhalisia linaonekana kama kejeli flani
Mi lazma ntamuuliza kwahio me mjusi sindo manake? ~ in Joti's voice
 
Ninyi wanaume wa sikuhizi si mnadai hamna muda wa kupoteza kumfatilia mwanamke akikwambia NO ndio byebye.
Hii ni kweli mtu kakuambia 'NO'. Kwa miaka hii , unaanza kuangalia upande mwingine...( Wengi wapo hivyo)
 
msamehe tu
 
Majibu kama haya yanatolewa na wale wanaojudge kile wanachokiona leo. Hawajui kuwa kuna kesho, kwamba maisha hubadilika.


Huyo anayemuona ni type yako leo, mambo yakigeuka kesho utamkana. Wakati yule unayemuona si type yako kwa sasa, wakati huo wewe ndo utakuwa siyo type yake.


Let's Be Wise (especially ladies).
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…