Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 165,751
- 184,588
We Jamaa yani vijineno kidogo hivyo vikakutoa kwenye mstari!???Hahaha kuna kipindi nadhan 2013 kama 2014 nioo moshi nafanya shoping kile kipindi maduka ya jeshi yamepata umaarufu sana kwa uzaji bidhaa kwa bei nzuri na pungufu..
Mwanaume ktk harakati za manunuzi mara friji mara feni vyombo vya ndani rice cooker kuna binti muuzaji akawa anajileta sana na kweli alikuwa na mvuto nami nkajaa vzr na tip za hapa na pale, nakumbuka siku nilikwenda kwake kumtembelea kuweka mambo sawa akawa ametoka nje kidogo jiran yake nadhan alimwita mazungumzo kidogo nkasikia wakinong'ona vp shem nn majibu yake yalinivunja nguvu et aaah wapi sio type yangu hiyo..
Toka pale sikuwa na time nae tena hata nkienda kununua vitu dukan
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Scenario hiyo ningeendelea:We ukisikia maneno hayo bado utaendelea?
Aww..you are one of the kindKwa Scenario hiyo ningeendelea:
Nimemsoma ..Baada ya kukutana nae Supermarket wakajenga mazoea na mdada alionesha mwenyewe nia ya kutaka kuwa karibu naye.
Huwezi kukata Tamaa kumpigania mwanamke eti kwa kuwa ulimsikia akisema wewe sio saizi yake,Inawezekana aliongea hakumaanisha,Inawezekana alitaka kumzima tu jirani asiendelee kumfuatilia..
Si kila neno linalosemwa hutoka moyoni...(Tunajuaje labda jirani alimjua mpenzi wa Dada wa Awali???
Vyovyote itakavyokuwa ningeendelea mpaka mhusika mwenyewe aniambie kuwa mimi sio wa Saizi yake,
Ni mara nyingi tunaingia kwenye mahusiano na watu ambao sio saizi zetu...lakini tuna wa Impress waone Thamani yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naona ni vizuri akikupa sababu maana asipokupa utabaki na maswali mengi kuliko majibu
ni ubinadamu tu..kutumia maneno mazuri kama mtu sio wa 'viwango' vyako..
.kumuambia mtu sio type yake mie naona ni dharau!...
unamuacha mtu feeling inadequate....
..anawaza saa zote hao wa type yako sijui wakoje? lol
Tako, rangi, urefu au ufupi una umuhimu gani kwenye mapenzi?
Kama wewe unavyopenda kuwa na pisi nyeupe (huna sababu ya msingi ila unapenda tu) ndivyo hivyo mtu anavyopenda kuwa na mtu wa rika fulani1.tako,mende ndio wanajua
2.rangi,kuna watu tunapenda tu aina fulani ya rangi mfano mi napenda pisi nyeupe
3.urefu na ufupi havina umuhimu
Kama wewe unavyopenda kuwa na pisi nyeupe (huna sababu ya msingi ila unapenda tu) ndivyo hivyo mtu anavyopenda kuwa na mtu wa rika fulani