Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
90% watachagua pesa katika uhalisiaPesa inapendwa na kila mtu lakini inapokuja kuchagua kati ya utu na pesa hapo ndio tunagawanyika
Kihisia unaweza kuwa sahihi lakini kiuhalisia nadhani sio sawa. Wanawake mnapenda life assurance kwa hiyo inavyo onekana kama hausomeki afu kuna mtu mwingine anaonekana yuko vizuri financial basi wewe ambaye bado hujakaa sawa kifedha thamani yako kwa mwanamke inapungua kiasi. Ndio nilichomaanisha kwa ile kauli yangu.Mkuu hapo mwanzoni hauko sahihi kabisa, kwamba hakuna ambacho mwanamke anaweza kukukataa nacho zaidi ya umasikini? Sio kweli kabisa ingekuwa hivyo maskini wasingekuwa na wapenzi au ndoa
Naomba tukubaliane kutokubalianaKihisia unaweza kuwa sahihi lakini kiuhalisia nadhani sio sawa. Wanawake mnapenda life assurance kwa hiyo inavyo onekana kama hausomeki afu kuna mtu mwingine anaonekana yuko vizuri financial basi wewe ambaye bado hujakaa sawa kifedha thamani yako kwa mwanamke inapungua kiasi. Ndio nilichomaanisha kwa ile kauli yangu.
Mimi tayari yamenikuta tena kwa modern women ambaye ana elimu nzuri ya darasani na akili ya kiujasiriamali. Na mimi binafsi jinsi nilivyo nalijua endapo tungeshirikiana pamoja basi huenda tungefika mbali sana. kumbe akili ya mnwanamke haibadiliki pamoja na kumshirikisha plan zangu nyingi bado haikua msaadaNilichojifunza ni kwamba current status kwa mwanamke ina umuhimu sana, so bado sioni kwanini unapinga hoja yangu
Hahah mtoto amejitambua mapema sana.Asante, waambie ndiyomaana we ulistuka mapema ukaamua uje kuzeekea kwangu, la sivyo ungezeekea kwenu
So hapo moja kwa moja umekubali kwamba hiyo kauli ya "wewe sio type yangu" ipo biased..Haha sasa mtoto wa Mengi hata kama sio type yako si kuna cha kujipoozea
Hahah mtoto amejitambua mapema sana.
Mwanamke yeyote wa kimjinimjini anaangalia status yako toka ulivyomfuata. Sote twajua wanawake wengi wa mjini wanapenda maisha mazuri hasa ya kuwa outstanding kwenye jamii inayomzunguka. Sasa mtu wa ku facilitate hio aina ya maisha ndio haswa anaemtaka na ambaye atakuwa tayari kuwa nae anyday. Wanaofulfill hicho kigezo ni ME wenye hela tu zingine ni ngonjera za kukufariji tu.Kihisia unaweza kuwa sahihi lakini kiuhalisia nadhani sio sawa. Wanawake mnapenda life assurance kwa hiyo inavyo onekana kama hausomeki afu kuna mtu mwingine anaonekana yuko vizuri financial basi wewe ambaye bado hujakaa sawa kifedha thamani yako kwa mwanamke inapungua kiasi. Ndio nilichomaanisha kwa ile kauli yangu.
Mimi tayari yamenikuta tena kwa modern women ambaye ana elimu nzuri ya darasani na akili ya kiujasiriamali. Na mimi binafsi jinsi nilivyo nalijua endapo tungeshirikiana pamoja basi huenda tungefika mbali sana. kumbe akili ya mnwanamke haibadiliki pamoja na kumshirikisha plan zangu nyingi bado haikua msaadaNilichojifunza ni kwamba current status kwa mwanamke ina umuhimu sana, so bado sioni kwanini unapinga hoja yangu
ππππππ kauli itoke kwa mtu kama Riyama AllyKauli kama hii itamkwe na mtu anayejua kukunja midomo ikasindikizwa na kamsonyo kwa sauti ya juu tena kwenye kadamnasi.
Mzee mzima unajikuta Viatu vimekuwa vikubwa kma tairi za trekta kutembea huwezi tena mdomoni kama umewekewa supa glue
Macho unashindwa utazame juu au chini au umtazame yeye.
Duh inahitaji ujasiri.
BTW upo sahihi sana.. Nilikuwa naku challenge tu nione msimamo wakoMtu kuwa sio type yako haibagui, haijalishi ana hali gani.
We wajuaje mi si type yako ilihali hatujawahi kuwa katikz uhusiano before!? Nipe chance tuwe wapenzi kisha ndio utapata jua kuwa sio type yako au la!Miss Becky sidhani kama uko sahihi, type sio kiwango, mnaweza kuwa viwango sawa lakini si type moja, mnaweza kuwa type ileile ila viwango tofauti
We jamaa unatambua huu mchezo vyema sana. Hongera sana, watu wa marketing hawapati tabu sana. Ni swala la kuweka strategies vizuri tu.Hahahaha
Mwanamke akisema wewe sio type yake anamaanisha hujui kutongoza ...
Wakati mwanaume anamaanisha kweli wewe sio type yake..
Toka lini mwanamke akajua anataka nini.Atakaza hapo weeee na dharau juu.Akijua badae upo bank utasikia mbona upo kimya sikuhizi umechukia nilivyokwambia vile hahahaa,akaja kujua una gari utasikia hivi wewe unashughulika na nini????wanawake wachache sana wakikwambia hiyo kauli unaweza take it serious...
Binafsi nikiambiwa hivo najipanga nimekosea wapi kwenye kutongoza,je nimeshindwa wapi kuji marketing mpaka huyu mwanamke kanishinda??
Unaweza kuzimia, kuna Mwana alipigwa kibuti akakata two weeks hatoki hata njekauli itoke kwa mtu kama Riyama Ally
Sio mabaya eeh ππππKwa mtazamo wangu, hayo maneno siyo mabaya kutumia lkn jinsi yanavyokua presented mtu anajiskia vibaya, mfano unamjibu mtu "you're not my type" huku umebinua kidomo unampandisha na kumshusha, hapo ni dharau, na imezoeleka ukijibiwa hivo means hufikii hadhi yake
hivo kama hmtaki mtu tumia maneno mengine ya busara huwezi jua huenda akakufaa baadaye wakati utakaposhusha vigezo
πππππUnaweza kuzimia, kuna Mwana alipigwa kibuti akakata two weeks hatoki hata nje
πππππMimi nimeshusha vigezo Mr troublemaker, nakupenda hivo hivo na domo lako(joke)
Kwani kuna haja ya kumweleza hayo maneno maisha yanazunguka kuna siku atakuwa type yako huwezi jua maisha haya. Kama humtaki mtu tumia neno la busara achana naye. Kwa mtazamo wangu
πππ hata kwenye pepa lazima u present facts baada ya kukubali au kukatalia hoja!Good. Nachukia sana mtu unayemwambia no halafu anauliza kwa nini.
Hahah we mpende kwa uhalisia bana sio penzi liishie kwenye keyboard tuπππ hilo domo ndio fashen yakeNa hiyo yenyewe ni joke( hilo domo mmh)