"You are not my type"

"You are not my type"

Ngoja nikumbuke......sijawahi kuambiwa 'you are not my type' labda kwasababu naangalia vizuri kabla ya kumtokea mtu.

Vile vile sijawahi kumwambia mtu 'you aint my type' ila honestly nishakutana na mtu na kimoyomoyo nikajisemea 'you aint my type dear'

Hivi vitu vipo kuna mtu unaona/mnaona kabisa hatuendani. Jinsi ya kufikisha ujumbe ndio inabidi ustaarabu uwepo.
We speak the same language boss
 
Whatever goes around, comes back around. Utakuja kuumizwa wewe, hata kama uko na mtu huna feelings nae muombe Mungu akupe suluhisho, na inawezekana mmoja wenu akahamishwa, au ukapata nafasi ya kwenda kusoma, naturally mnakuwa mmesolve the issue.
Action and reaction are equal but opposite in magnitude and direction.
 
Noma sana. Yani mtu aliyekuwa anakupa ushirikiano kwa hiyari bila shuruti kwenye 6X6 kwa nyodo na dharau anakudondoshea hili bomu. Ukiwa na kifua kidogo ni zaidi ya lililodondoshwa Hiroshima
 
sijui nilimtibua nini wakati tunachati...akaniambia hujawahi kuangalia hii namba kwa m-pesa ina jina la nani!
niliumia sana
 
Napenda sana wanawake wenye mafanikiwa ila naambiwa sio type yao bt wa type yangu nao siwatak sijui nifanyeje napenda kuwa namafanikio so wanawake wenye low income siwapend hata akiwa mzur japo na mimi ni wakawaida bt napenda bosslady tatizo siwapat
Daah pole sana nakushauri nenda kwa Karumanzira au Manyau nyau utapata tiba.
 
Binafsi sijisifii jamani,nipogo humble sana.
Hakuna kitu ambacho huwa nakiepuka kama dharau.
Sipendi kumdharau mtu kutokana na muonekano wake au aina yake ya maisha.
Tena naweza kukupamba ukajiona uko juu zaidi ya uhalisia.

Nimewahi date na wenye ego,yani mtu anajisikia vibaya sana halafu ukiangalia sio lolote kuanzia muonekano na kila kitu.
Ambacho huwa nakifanya ni kujishusha,kama sioni vile.
Mwisho wa siku tukija kubreak up huwa haupiti muda wananitafuta tena kwa masikitiko na kujishusha kulikopitiliza.
Kuna Ex wangu mmoja aliwahi kuniambia "Wewe ni mwanamke wa ajabu Nifah,wanawake kama wewe wamebakia ktk filamu pekee"
Sababu kuu ni unyenyekevu,huruma,heshima na ustaarabu nilivyojaaliwa.

Siri ya yote hayo ni kutokulipa ubaya kwa ubaya,tenda wema nenda zako.
Wema huishi milele.
Period
You said from my heart!

U know how to dance wisely!
 
Well said lakini ninyi mnatatizo moja kubwa.. Na hichi ulichikiandika ingawa ni kizuri lakini kina contradiction kibao..

Unaposema wanaume tufanye kwa kiasi, hicho kiasi kama kina athari kwenu huwa mnatuita majina kibao.. Mara mbahili au mwanaume suruali na atatafuta mwingine wa kuziba hiyo gap.. Na ukisema uhudumie full ndio hivyo wengi hawana assurance that we will die together.. Mifano iko mingi tu ya mwanaume anasomesha mpaka mtu anamaliza level fulani alafu unakimbiwa bila hata huruma..
Fisadi me nashauri msupport mtu wako but isizidi uwezo wako hata kama utaitwa majina gani sijui, coz hata ufanyaje majina utaitwa tu. Fanya ambacho moyo wako utaridhia period. Ila usiache dreams zako zikafa, au zikalala kabisa, kisa efforts zako zote umezihamishia kupursue dreams za mtu mwingine. Siku akikuacha its like your life has come to an end, huna chochote ulichojifanyia. Na wakati mwingine tenda tu wema uende zako. Kumsaidia mtu sio guarantee kuwa atakuwa na wewe milele
 
Binafsi sijisifii jamani,nipogo humble sana.
Hakuna kitu ambacho huwa nakiepuka kama dharau.
Sipendi kumdharau mtu kutokana na muonekano wake au aina yake ya maisha.
Tena naweza kukupamba ukajiona uko juu zaidi ya uhalisia.

Nimewahi date na wenye ego,yani mtu anajisikia vibaya sana halafu ukiangalia sio lolote kuanzia muonekano na kila kitu.
Ambacho huwa nakifanya ni kujishusha,kama sioni vile.
Mwisho wa siku tukija kubreak up huwa haupiti muda wananitafuta tena kwa masikitiko na kujishusha kulikopitiliza.
Kuna Ex wangu mmoja aliwahi kuniambia "Wewe ni mwanamke wa ajabu Nifah,wanawake kama wewe wamebakia ktk filamu pekee"
Sababu kuu ni unyenyekevu,huruma,heshima na ustaarabu nilivyojaaliwa.

Siri ya yote hayo ni kutokulipa ubaya kwa ubaya,tenda wema nenda zako.
Wema huishi milele.
Period
asanteee Nifah ngoja nikupe hela ukanunue pipi mamii.
 
Back
Top Bottom