"You are not my type"

"You are not my type"

Back then there were few if no gold diggers at all.. But in today's world, few and very few ladies can take a walk with you..

Si unaona hata humu wabeba box wanaonwa kama miungu watu hivi.. Struggle is real
Kwenda zako fisadi wewe...
Hata sisi back then there were real men,tofauti na nyie mnaotupanga msururu.
Inabidi tuwe magold diggers maana hakuna jinsi sasa.
 
Ila tatizo lenu na nyie, mtu mnaweza mkataabika wote, siku mkizichanga ndo unakuwa "not his type" loooh. But I think kama mtu kutoka moyoni mwake ameridhia kuhustle na mtu wake, afanye tu hata mambo yakibadilika, itauma yes but no regrets coz ulifanya mwenyewe kutoka moyoni, hukulazimishwa (things we do for love). Ila usiwe busy sana kusupport dreams za mwenzi wako, ukasahau kama na wewe una dreams zako pia, add value to your life too. Ili hata siku akinyanyuka anakuta bado unamfit katika maisha hayo mapya. Na hata akikuacha tayari umefanya kitu Kwa ajili ya maisha yako so unaendelea tu kusimama.

Ukibahatika kumpata ready made ni kheri pia especially kama anakuheshimu na hana kiburi na Mali zake. Maana kuna wanaume bana kisa vijicent vyake basi atakutreat as one of his items, sio Kwa hayo manyanyaso
Hapa umemaliza yote mama ,sina hata cha kusema tena
 
Binafsi sijisifii jamani,nipogo humble sana.
Hakuna kitu ambacho huwa nakiepuka kama dharau.
Sipendi kumdharau mtu kutokana na muonekano wake au aina yake ya maisha.
Tena naweza kukupamba ukajiona uko juu zaidi ya uhalisia.

Nimewahi date na wenye ego,yani mtu anajisikia vibaya sana halafu ukiangalia sio lolote kuanzia muonekano na kila kitu.
Ambacho huwa nakifanya ni kujishusha,kama sioni vile.
Mwisho wa siku tukija kubreak up huwa haupiti muda wananitafuta tena kwa masikitiko na kujishusha kulikopitiliza.
Kuna Ex wangu mmoja aliwahi kuniambia "Wewe ni mwanamke wa ajabu Nifah,wanawake kama wewe wamebakia ktk filamu pekee"
Sababu kuu ni unyenyekevu,huruma,heshima na ustaarabu nilivyojaaliwa.

Siri ya yote hayo ni kutokulipa ubaya kwa ubaya,tenda wema nenda zako.
Wema huishi milele.
Period

You are my type.

🙂🙂🙂🙂🙂
 
Hahahaha hapana aisee sister sina unyama nina roho moja ya huruma sana ,sema sasa mtu akivuka mipaka yake ,Repercussions zake zinakuwa mbaya sana ,kwa sababu nikishaamua jambo nimeamua huwa siangalii nyuma
Maasai ktk ubora wetu...heheheee
Mimi pia nina huruma and I usually give people more chances than they deserve but once I'm done...i'm done.
Period
 
Japo ni neno la kingereza lakini mara nyingi linapendwa kutumiwa na watu weusi katika kubagua watu katka sector nyeti ya mapenzi bt cku zote watu weusi wameyapa mamlaka macho yao yawaamulie hatma ya mioyo yao na nafsi zao
 
Kwenda zako fisadi wewe...
Hata sisi back then there were real men,tofauti na nyie mnaotupanga msururu.
Inabidi tuwe magold diggers maana hakuna jinsi sasa.
Daah Nifah,basi utusamehe mamii maana kupangwa foleni ndio mtindo wa kisasa maana hakuna jinsi na mpangwe tu tena huku mnakuja kinyumenyume bhana,maana dunia ya leo pesa ndio kila kitu mamii.
 
Ngoja nikumbuke......sijawahi kuambiwa 'you are not my type' labda kwasababu naangalia vizuri kabla ya kumtokea mtu.

Vile vile sijawahi kumwambia mtu 'you aint my type' ila honestly nishakutana na mtu na kimoyomoyo nikajisemea 'you aint my type dear'

Hivi vitu vipo kuna mtu unaona/mnaona kabisa hatuendani. Jinsi ya kufikisha ujumbe ndio inabidi ustaarabu uwepo.
 
Maasai ktk ubora wetu...heheheee
Mimi pia nina huruma and I usually give people more chances than they deserve but once am done...am done.
Period
Hahaha si unajua tena sie Wamasai tuna ile Sprit ya simba dume ndani yetu ,unakua na huruma lakini ukibadilika mpaka mtu anashangaa hivi ni huyu kweli au ana mapepo
 
Ila tatizo lenu na nyie, mtu mnaweza mkataabika wote, siku mkizichanga ndo unakuwa "not his type" loooh. But I think kama mtu kutoka moyoni mwake ameridhia kuhustle na mtu wake, afanye tu hata mambo yakibadilika, itauma yes but no regrets coz ulifanya mwenyewe kutoka moyoni, hukulazimishwa (things we do for love). Ila usiwe busy sana kusupport dreams za mwenzi wako, ukasahau kama na wewe una dreams zako pia, add value to your life too. Ili hata siku akinyanyuka anakuta bado unamfit katika maisha hayo mapya. Na hata akikuacha tayari umefanya kitu Kwa ajili ya maisha yako so unaendelea tu kusimama.

Ukibahatika kumpata ready made ni kheri pia especially kama anakuheshimu na hana kiburi na Mali zake. Maana kuna wanaume bana kisa vijicent vyake basi atakutreat as one of his items, sio Kwa hayo manyanyaso
Napenda sana ushauri wako..Heaven Sent

Mpaka imepelekea nimeanza kujenga picha kwenye ubongo wangu!

Nafuatilia sana comment zako.... U argue wisely!
 
Kwenda zako fisadi wewe...
Hata sisi back then there were real men,tofauti na nyie mnaotupanga msururu.
Inabidi tuwe magold diggers maana hakuna jinsi sasa.
Inabidi tufanye hivyo sababu na ninyi mwenye kisu kikali ndiye anayewala. Mtu akipanda dau basi unaachwa solemba..
 
Hahaha si unajua tena sie wamasai tuna ile Sprit ya simba dume ndani yetu ,unakua na huruma lakini ukibadilika mpaka mtu anashangaa hivi ni huyu kweli au ana mapepo
Ajajajajaaaa umemaliza yote,sina cha kuongeza tena.
 
Ila tatizo lenu na nyie, mtu mnaweza mkataabika wote, siku mkizichanga ndo unakuwa "not his type" loooh. But I think kama mtu kutoka moyoni mwake ameridhia kuhustle na mtu wake, afanye tu hata mambo yakibadilika, itauma yes but no regrets coz ulifanya mwenyewe kutoka moyoni, hukulazimishwa (things we do for love). Ila usiwe busy sana kusupport dreams za mwenzi wako, ukasahau kama na wewe una dreams zako pia, add value to your life too. Ili hata siku akinyanyuka anakuta bado unamfit katika maisha hayo mapya. Na hata akikuacha tayari umefanya kitu Kwa ajili ya maisha yako so unaendelea tu kusimama.

Ukibahatika kumpata ready made ni kheri pia especially kama anakuheshimu na hana kiburi na Mali zake. Maana kuna wanaume bana kisa vijicent vyake basi atakutreat as one of his items, sio Kwa hayo manyanyaso
Well said lakini ninyi mnatatizo moja kubwa.. Na hichi ulichikiandika ingawa ni kizuri lakini kina contradiction kibao..

Unaposema wanaume tufanye kwa kiasi, hicho kiasi kama kina athari kwenu huwa mnatuita majina kibao.. Mara mbahili au mwanaume suruali na atatafuta mwingine wa kuziba hiyo gap.. Na ukisema uhudumie full ndio hivyo wengi hawana assurance that we will die together.. Mifano iko mingi tu ya mwanaume anasomesha mpaka mtu anamaliza level fulani alafu unakimbiwa bila hata huruma..
 
Wanaongeaga tu hawamaanishi,

Enzi hizo kuna kamoja kana pozi za kivideo queen kalijisemeshaga hivyo sijui ilikuaje tu baadae tukajikuta room tumependeza ndani ya uniform za bustani ya Eden

Kalichezea dudu washa mpaka kakanena kwa lugha majina yake yote matatu ya cheti cha kipaimara.
Wewe shule yenu haijafunguliwa bado?,watu wazima wakiwa wanaongea wewe kacheze mchezo wa kujificha na watoto wenzio eennh umesikia wewe.
 
Back
Top Bottom