Yona na Mramba: Mashtaka na yatokanayo

Yona na Mramba: Mashtaka na yatokanayo

Inabidi hiyo kesi ya huyo mwizi Rostam aziz pia mali zake zitaifishwe kulipia Interest ya hizo hela zetu
 
nguvu na kasi ipi?lol.. thi thing has been in the works for a long time... nakumbuka last year a translator leaked info kwamba while in Addis Mramba aliitwa na Rais mbele za watu akamchunia live after the meeting ya AU.. tena bado akiwa waziri.. these guys knew kuwa chamoto kinakuja... Someone needs to burn and as it stands hawa maouvu yao yako mbali na Muungwana. Ndio maana wamechomwa.. trust me..
 
As usual, watanzania tumeshaanza kusifia mafanikio hewa, yaleyale ya kumsifia baba/mama kwa kumnunulia mwanae nepi. Interesting...

Mkuu kitila,

Ni muhimu kupongeza hatua moja,wakati tukipigania hatua ya pili mpaka kieleweke.Nadhani huu ndio ustaarabu wa siasa.

Hata hivyo,JK na serikali yake bado wanazidi kujiweka matatani.Hizo fedha bilioni kumi au kuminatano zilizoenda CCM zinastahili maelezo na hatua kali zichukuliwe dhidi ya viongozi wa wakati huo na CCM kama taasisi
 
Yaani mimi siamini kama JK hakula hata senti katika Dili zooote hizi.Nitakua mtu wa mwisho kuaamini maanke kwa jinsi ninavyomjua huyu mkulu,Mhh!
 
Tayari wako Keko? Je watapewa special treatement au nao watalala ndani ya vile viselo kama mahabusu wengine wote?

Ninavyoona ukweli ni kuwa jamaa hawa wanaweza kuja kukutwa na hatia zitakazokuwa na impilcations kwa viongozi wengi waliokuwamo kwenye awamu ya tatu, huenda na kumgusa Kikwete mwenyewe; tusishangae akiamua kufunika kombe haraka haraka.


Jamani tayarisheni MAJANI tumpelekee Mramba akale huko Keko. Kuna special treatment nyingine anayostahili zaidi ya majani?

Leo ndio mwisho kwa kiongozi kulindwa na chama. CCM ilikwisha gawanyika kitambo, leo ni tukio la kurasimisha kugawanyika huko.


Naambiwa JK amelazimika kwenda route hii maana kutofanya hivyo, serikali ijayo ingemsweka ndani yeye.

Japo hii yaweza kuwa sanaa, ni jambo jema sana kwamba wananchi sasa hawatayumba kuamini kwamba kuna watu wako juu ya sheria.

Tunachohitaji sasa ni Hakimu "mwenye kichaa" na ujasiri atakayebadili kesi kuwa ni ya kuhujumu Uchumi.


.




.
 
nikweli haya kazi imeanza jamani mapapa yameanza kuonekana..!!
 

Attachments

  • mramba yona.JPG
    mramba yona.JPG
    54.7 KB · Views: 84
Ajabu, magazeti yetu hayana habari hizi hadi kesho, interesting journalism!
 
Hii habari niliandika wiki iliyopita wakati walipotakiwa kupelekwa mahakamani lakini ikaahirishwa sababu ya Send off ya mtoto wa Mramba.... yote yatatimia.


Harusi ya mwanae nasikia bado haijafanyika. Kama hivyo ndivyo, hizi habari za kuahirishwa ukamatwaji wa Mramba kwa sababu ya send-off zitakua ni za kupikwa na pengine zenye malengo ya kufukia uvundo fulani.

Inasemekana harusi imepangwa kufanyika Jumamosi? Jamaa analipwa kisasi?




Btw, Rostam na Manji wako lined-up kwa mujibu wa habari za mtaani!




.
 
Charge zenyewe hizi hapa,

Wakuu wanasheria, tuelimisheni penalty ya such offences, iwapo mtuhumiwa atakutwa guilty.
 

Attachments

  • basil-yona.jpg
    basil-yona.jpg
    21.8 KB · Views: 149
  • yona-chrge-2.jpg
    yona-chrge-2.jpg
    25.3 KB · Views: 160
Charge zenyewe hizi hapa,

Wakuu wanasheria, tuelimisheni penalty ya such offences, iwapo mtuhumiwa atakutwa guilty.
2961d1227630405-yona-na-mramba-wafikishwa-mahakamani-yona-chrge-2.jpg

Charge hii siyo nzito kabisa labda kama kuna mengine yanayoongozana na charge hii.
 
Jamani maneno ya kweli hayo Tizameni picha hizo kweli,subira yavuta heri mapapa yameanza kuonekana..!!keep it up JK..!!
 


Harusi ya mwanae nasikia bado haijafanyika. Kama hivyo ndivyo, hizi habari za kuahirishwa ukamatwaji wa Mramba kwa sababu ya send-off zitakua ni za kupikwa na pengine zenye malengo ya kufukia uvundo fulani.

Inasemekana harusi imepangwa kufanyika Jumamosi? Jamaa analipwa kisasi?




Btw, Rostam na Manji wako lined-up kwa mujibu wa habari za mtaani!




.

Ndugu Lazy Dog, taarifa unayo pishana nayo ni send off na wala si harusi, na send off imeishafanyika sasa.
 
Ndugu Lazy Dog, taarifa unayo pishana nayo ni send off na wala si harusi, na send off imeishafanyika sasa.


Nimeshindwa kujieleza vizuri hapo juu.
Swali - kwanini wakaacha kuahirisha wasubiri harusi pia ifanyike?





.
 
Hapa ni mchezo wa kuigiza unaendelea. Bado nina mashaka kidogo na hili jambo.
Serikali ilishajipanga katika hili ndiyo maana ilijenga vyumba VIP kule magerezani. Hawa hawafikishwi popote zaidi ya hapo mahakamani.
Kama kweli serikali iko serious basi ianze kutaifisha mali za Mramba na Yona kuzipiga bei hadharani. Na bila kuchelewa Mkapa apelekwe rumande kwani alifanya makosa kama Mkapa na wala si Raisi, hivyo suala la immunity halipo tena.
 
warombo lazima saaizi wanakutana Green view.. kesho asubuhi utaskia wana 3.9 billion yakumtoa mramba..lol

Its interesting how Yona is not charged with the Kiwira issue because that would directly touch Nzee Nkapa and that 'oh no!' we cant have... We want the Kiwira issue on Yona's charge sheet..
 
As usual, watanzania tumeshaanza kusifia mafanikio hewa, yaleyale ya kumsifia baba/mama kwa kumnunulia mwanae nepi. Interesting...

Kwako Kitila na wengine wote wenye mtazamo wa namna hii,

Hatua ya mtu kufikishwa mahakamani ukizingatia Tanzania inavyojiendesha is a big deal. The outcome, now that is a whole different ball game. You need to acknowledge this.

WaTanzania bwana, huyu baba na mama yenu ambaye tangu mtoto anazaliwa hajawahi kununua nepi leo wameamua ku-take responsibilities of their parenting, huoni cha kushukuru? (at least wewe jirani hutatoa nguo za mwanao sasa)

This is a development, something that deserves an acknowledgement! Acheni maneno yenu, Wabongo mna whine mpaka mnaboa! Disgusting!

Ngoja niendelee kusoma sasa...
 
Hapa ni mchezo wa kuigiza unaendelea. Bado nina mashaka kidogo na hili jambo.
Serikali ilishajipanga katika hili ndiyo maana ilijenga vyumba VIP kule magerezani. Hawa hawafikishwi popote zaidi ya hapo mahakamani.
Kama kweli serikali iko serious basi ianze kutaifisha mali za Mramba na Yona kuzipiga bei hadharani. Na bila kuchelewa Mkapa apelekwe rumande kwani alifanya makosa kama Mkapa na wala si Raisi, hivyo suala la immunity halipo tena.

Siwezi kushangaa nikisikia wakubwa "wameombwa" wawe inconvenienced kwa muda mfupi, wawekwe kwenye version ya Sheraton ya huko jela, wasafishwe majina katika mahakama kwa vi charge mbuzi, wakati huo huo JK ana generate a lot of buzz kama "anafanya kweli" tayari kwa uchaguzi wa 2010!

Hii nchi inaumwa!
 
Back
Top Bottom