Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

Yes! Rais Samia mmemchokoza, sasa mtalinywa!

3048962_IMG_20211217_181857.jpg
2022 imeanza kwa kasi sana.. mambo mengi muda mchache..ikifika 2024 itakua noma noma
 
Nawewe Ni CCM au? Sisiemu hakuna kilaza Kama wewe asiyejua kuwa ndugayi (spika) Ni mhimili unaounda serikali, hivyo mama Hana mamlaka juu yake.

Mhimili wa bunge hufanya kazi independently bila kuingiliwa na mhimili wa urais au wa mahakama.

Njoo nikufundiashe somo ka uraia Uwe smart kichwani
Siyo kweli unachosema. Bunge ndiyo hupitisha bajeti ya recurrent and development. Wanaposema makusanyo yatakuwa Tsh 24 Trillion huku Bajeti ya mwaka ni Tsh 32 Trillion unadhani hiyo nakisi inatoka wapi?

Nakisi hujazwa kwa grants, donations and loans. Ndugai hajitambui, he is lunatic and unfit for the position
 
Katiba inasema spika Kama anatokana na wabunge atapoteza nafasi ya uspika Kama hana sifa za kuwa mbunge. Sifa ya kuwa mbunge ni kuwa mwanachama wa Chama cha siasa! Samia ndo Mwenyekiti wa CCM kwa iyo Chama kikimvua uanachama tu amekosa uspika na ubunge anakuwa raia wa kawaida na hata Mafao halipwi. Bora ajiuzuru kulinda heshima yake na apate mafao yake
Nawewe Ni CCM au? Sisiemu hakuna kilaza Kama wewe asiyejua kuwa ndugayi (spika) Ni mhimili unaounda serikali, hivyo mama Hana mamlaka juu yake.

Mhimili wa bunge hufanya kazi independently bila kuingiliwa na mhimili wa urais au wa mahakama.

Njoo nikufundiashe somo ka uraia Uwe smart kichwani
 
Kwani Magufuli aliruhusu watu kuhoji?
Umesahau Membe alivyotaka kumchallange kwenye nafasi yake alifukuzwa uanachama!!

CCM ni ile ile wacha kazi iendeleee [emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ya kuhoji mabos na wanafuka na kuvimba ni tabia ya asili.Hata makazini ukiwa unamchallenge bosi anakuambia unataka kupindua cheo chake.
 
Back
Top Bottom