Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Hapa kuna tatizo kubwa, rais hajaaprove, wanalipana... je kuna kupoteza kazi?? kurudisha posho?? kufuja mali ya umma? fraud??? au ndio sisi wajinga tuliwao?
Under this govt and the current state of parliament and opposition, hii ishu itabaki kwenye magazeti na kuishia huko huko. Kwani leo imeongelewa huko bungeni?