AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Haya mambo ya Serkali hii ni aibu, I thot kua level ya aibu isha fika to the Maximu; But this tops it up for it is really stupid. kuna mambo ambayo ni mazito na twajua kabisa kua as much as wataka control iende the way Uongozi unataka kweli inashindikana, but such contradictions kama hii ambayo wangeweza control .... ni aibu mno! Na it shows kua hakuna mahusiano mazuri kati ya uongozi waoote, kila mmoja anafanya vitu independently ama kuna wanaoingilia wizara ambazo haziwahusu kabisa. Sad.