Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 32,529
- 34,417
Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.
Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa
Hizi nguvu mbili ndiyo hatari kwa nchi hivi sasa
Je Makonda kapata au kapatikana?
Hatimae Paul Makonda amuibua Rais Mstaafu wa awamu ya nne kutokana na matamshi yake kwenye kumbukizi ya Hayati Edward Moringe Sokoine. Je nini kitafuata baada ya Mzee Kikwete kuyatoa yake ya Moyo ni??