Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
duuuuh!! huyu Bishanga kila mtu anamchomolea....sijui saund hana!!!!Anatafuta mchumba, kapigwa chini na The secretary
Last edited by a moderator:
duuuuh!! huyu Bishanga kila mtu anamchomolea....sijui saund hana!!!!Anatafuta mchumba, kapigwa chini na The secretary
duuuuh!! huyu Bishanga kila mtu anamchomolea....sijui saund hana!!!!
Nicas Mtei, Umeona ee.....ndio maana napigana kufa kupona!!Hata wewe ukifulia watakukimbia
Nicas Mtei, Umeona ee.....ndio maana napigana kufa kupona!!
ha haaaaaaaaaa.....ahhahahahhahan kwahiyo ulidhani tuna ndyofu kadhaa kichwani actuaaare mi nilikuwa nazo ka 3 hiv ndo nikaja, FP ngoja aseme mwenyewe manake nilimwacha pale anaclear bill sa mi ndo nikaja ,eti dada mkuwa kwani uliendelea na round nyingeni au?manake nilikuasubir pale nje nikaona unachelewa au ................:fencing::fencing:ahahhahahahhahhahaha
nakubaliana nawe kabisa rafiki.Aku mwaya!!! Mapenzi gani yasiyokuwa na wivu!!! ila usizidi kupita kiasi uwe wa aste aste tu. Kama hakuonei wivu basi hajakupenda au penzi lilishanyauka tangu mwaka 47.
[video]http://www.youtube.com/watch?NR=1&feature=endscreen&v =Q_7EKr5a82k[/video]
Hivi umenionea wapi Cantalisia Kipipi?
Mcharuko kikwetu ni povu linalopatikana juu ya kinywajiNaskitika kukwambia kuwa hilo jina linaweza kusababishia ban hata bila kosa, BTW hongera kwa kuvishwa pete, vipi jamaa nae ni Mcharuko kama wewe!!!??? nauliza tu