Mie nafuga kuku,
Mlete nimpandishie majike yangu yote!
ha haaaaaa, umeona wivu rafiki?Hivi imekuwaje snowhite kapost na wewe ukapost Fixed Point ?
Hee wanaume hatunaga wivu meeeeeen!ha haaaaaa, umeona wivu rafiki?
ha ha ha haaaa, je unayo mitetea mingapi...........?
nimeona ila nimeifumbia macho, mimi mtu mzima bwana haya mambo si mageni kwangu....
ummu kulthum unapoteleaga wapi we mdada?karibu ila mambo yamebadilika ka ulikuwa toka na Baba V mke wake ameshakuja yupo humo kajaa tele ka pishi ubweche!umbea mwingine uje kwangu maana hapa naogopa pisto kidole upo hapo eeeh
Taja idadi unayotaka!
ha haaaa, mimi ndo nasikia leo kama wanaume hawanaga wivu..... teja langu lina wivu ni balaaHee wanaume hatunaga wivu meeeeeen!
Mzima?
Gud nyt
si hiyo hapo juu #19 !Ipi mojawapo?
Leo nimeandika post nyingi sana.............
Na mwana FA alisema ukimegewa na wewe tafuta mnyonge ummegee hakuna kugombana!ha haaaa, mimi ndo nasikia leo kama wanaume hawanaga wivu..... teja langu lina wivu ni balaa
kuna siku nakumbuka hata rafiki yangu BAK alisema wivu unahusika kwenye mapenzi ya kweli
Ameeen!Si ndo nashangaaaa nikadhani mlikuwa bar ila nikakumbuka FP ni mama mchungaji lol
najua unatania, lol!Na mwana FA alisema ukimegewa na wewe tafuta mnyonge ummegee hakuna kugombana!
Ila natania tu @fp
ummu kulthum unapoteleaga wapi we mdada?
Ila isijekuwa hunywi pombe ila kale kautamu kengine ni mshirika hasa lol maana nyie wapendwa huwa mnasahau hilo na kuhalalisha kuwa si kosa bali ndofu ndo kosaAmeeen!