Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Mi niko kila siku sikuonagi kabisaaaambona mi nipo, wewe tu shem wangu
Mi niko kila siku sikuonagi kabisaaaambona mi nipo, wewe tu shem wangu
Teh una vituko we dogoHaleluyaaa!
Teh una vituko we dogo
Mi niko kila siku sikuonagi kabisaaaa
Skendo kawaida kwa dunia ya sasa siunajua ndio zinawafanya baadhi ya watu waishiwe umeanza kutoka juzi vip zile skendo zako ziliisha maana wewe utafikiri ma bongo movie hukaukiwi na skendo
Hehheheheeee haya kubwaDogo mfuko wa nyuma!
Hehheheheeee haya kubwa
sijawahi kusoma walipoandika kale kautamu ni dhambi......Ila isijekuwa hunywi pombe ila kale kautamu kengine ni mshirika hasa lol maana nyie wapendwa huwa mnasahau hilo na kuhalalisha kuwa si kosa bali ndofu ndo kosa
Nilifungiwa toka Mwezi wa Tisa, yaani kama Mandela vile
Leo ndio nimefunguliwa, Nimewamiss sana Rafiki zangu
Lakini nasikitika nimeingia nikiwa mpya kabisa kwani
nimeshavishwa pete na nilikosa kuwaalika katika tukio hilo
Muhimu ambalo lilifanyika Eneo la Msamvu pale Morogoro
Nawapendeni.
Nimefunguliwaaaaaaaaaaaaaaa,
Hureeeeeeeeee, Mandela niko nje sasa
I'm a new Mandela.
Si ndo nashangaaaa nikadhani mlikuwa bar ila nikakumbuka FP ni mama mchungaji lol
ha haaaa, mimi ndo nasikia leo kama wanaume hawanaga wivu..... teja langu lina wivu ni balaa
kuna siku nakumbuka hata rafiki yangu BAK alisema wivu unahusika kwenye mapenzi ya kweli
Na wewe Bishanga mbona wapenda sana kuulizia wake za watu????mzee mzima umeulizwa mwanao Cantalisia yuko wapi mbona hujibu? Au ushamwozesha kwa Rejao?
Nilifungiwa toka Mwezi wa Tisa, yaani kama Mandela vile
Leo ndio nimefunguliwa, Nimewamiss sana Rafiki zangu
Lakini nasikitika nimeingia nikiwa mpya kabisa kwani
nimeshavishwa pete na nilikosa kuwaalika katika tukio hilo
Muhimu ambalo lilifanyika Eneo la Msamvu pale Morogoro
Nawapendeni.
Nimefunguliwaaaaaaaaaaaaaaa,
Hureeeeeeeeee, Mandela niko nje sasa
I'm a new Mandela.
Na wewe Bishanga mbona wapenda sana kuulizia wake za watu????