Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,115
Rais wa Malawi Lazarus Chakwera na Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania wamezindua jezi mpya za Club ya Yanga usiku huu kwenye Ikulu ya Malawi ambako Yanga na Rais Samia walialikwa kusherehekea uhuru wa Nchi hiyo.
Kwenye video fupi ya tukio hilo Rais wa Club ya Yanga Engineer Hersi Saidi ameonekana akiwapatia Marais hawa jezi zao