FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,820
4,572
1713550323994.png
Homa ya Kariakoo Derby inazidi kupanda, siku ya kumaliza ubishi imewadia. Leo jioni kuanzia saa moja miamba hii itakutana kutafuta point tatu muhimu kuendeleza marathon za Ligi Kuu ya NBC.

Yanga akiwa mwenyeji anaingia akijiamini huku ana kumbukumbu nzuri ya mchezo wa mwisho aliomchapa mtani wake bado 5-1.

Je, unadhani nani ataibuka mbabe wa mbungi hii?

Kaa namni kwenye uzi huu kupata kila kitakachojiri kabla na wakati wa mchezo.

Let's Goooooo!!

Mbungi linanukia wanangu...

Screenshot_20240420-164716_1.jpg

Kikosi cha Yanga kinachoanza

Screenshot_20240420-164745_1.jpg

Kikosi cha Simba kinachoanza
---
Mpira umeanza huku timu zote zikishambuliana kwa kasi

5' Yanga 0 - 0 Simba

10' Yanga 0 - 0 Simba

11' Inonga ameumia kaingia Hussein Kazi

15' Yanga 0 - 0 Simba

Yanga wanapata penati dakika ya 19

Gooooooal Aziz Ki

20' Yanga 1 - 0 Simba

25' Yanga 1 - 0 Simba

30' Yanga 1 - 0 Simba

35' Yanga 1 - 0 Simba

37' Guedeeeeee anatupia la pili

40' Yanga 2 - 0 Simba

45' Yanga 2 - 0 Simba

HT: Yanga 2 - 0 Simba

50' Yanga 2 - 0 Simba

55' Yanga 2 - 0 Simba

60' Yanga 2 - 0 Simba

65' Yanga 2 - 0 Simba

75' Gooooooal Fred anaipatia Simba bao la kwanza

75' Yanga 2 - 1 Simba

80' Yanga 2 - 1 Simba

85' Yanga 2 - 1 Simba

90' Yanga 2 - 1 Simba

Dakika 5 zimeongezwa

FT: Yanga 2 - 1 Simba

Bye bye til next time
 
Viva Young Africans

Niwatakie mchezo mzuri, twende tukawaheshimu wapinzani wetu tucheze Soka safi uwanjani, tuzingatie maelekezo ya kocha vizuri na mbinu zake (Gamondi Ball)

Tuachane na Propaganda za mitandaoni zitatutoa mchezoni, soka linachezwa uwanjani

Wakijichanganya wakaingia kwenye mfumo, basi maelekezo ni kama tulivyokubaliana kwenye kikao chetu..

Kuku wetu aliekula mchele asubuhi, jioni tutamla na Wali!

#DaimaMbeleNyumaMwiko
#KariakooDerby
#MimiNiYanga
#Mwananchi
#NbcPremierLeague23/24
 
Back
Top Bottom