Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,820
- 4,572
Yanga akiwa mwenyeji anaingia akijiamini huku ana kumbukumbu nzuri ya mchezo wa mwisho aliomchapa mtani wake bado 5-1.
Je, unadhani nani ataibuka mbabe wa mbungi hii?
Kaa namni kwenye uzi huu kupata kila kitakachojiri kabla na wakati wa mchezo.
Let's Goooooo!!
Mbungi linanukia wanangu...
Kikosi cha Yanga kinachoanza
Kikosi cha Simba kinachoanza
Mpira umeanza huku timu zote zikishambuliana kwa kasi
5' Yanga 0 - 0 Simba
10' Yanga 0 - 0 Simba
11' Inonga ameumia kaingia Hussein Kazi
15' Yanga 0 - 0 Simba
Yanga wanapata penati dakika ya 19
Gooooooal Aziz Ki
20' Yanga 1 - 0 Simba
25' Yanga 1 - 0 Simba
30' Yanga 1 - 0 Simba
35' Yanga 1 - 0 Simba
37' Guedeeeeee anatupia la pili
40' Yanga 2 - 0 Simba
45' Yanga 2 - 0 Simba
HT: Yanga 2 - 0 Simba
50' Yanga 2 - 0 Simba
55' Yanga 2 - 0 Simba
60' Yanga 2 - 0 Simba
65' Yanga 2 - 0 Simba
75' Gooooooal Fred anaipatia Simba bao la kwanza
75' Yanga 2 - 1 Simba
80' Yanga 2 - 1 Simba
85' Yanga 2 - 1 Simba
90' Yanga 2 - 1 Simba
Dakika 5 zimeongezwa
FT: Yanga 2 - 1 Simba
Bye bye til next time