FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

5 fc 😂😁🤣😂😂😁
20240414_185915.jpg
20240326_044825.jpg
 
Simba ni mbovu kwa yanga lkn mechi itakua na siasa sana, kutokana na matokeo yaliyopita kwa simba 1-5 na mtani wake na mpinzan wake mkuu, nbc pl yanga, wanasimba wanataka kulipa kisasi, kwa ushindi tu wowote, licha ya hivyo itakua mechi ya kibabe sana, na kwa utabili waangu maajabu yapo tena na leo mechi hii, haijulikani itakua kwa nani?
 
Kundi la maprofesa waliitwa kupanda ndege.
Milango ilipofungwa maprofesa wote walifahamishwa kuwa ndege hiyo imetengenezwa na wanafunzi wao.
Maprofesa wote wakakimbilia kwenye mlango wa ndege wakiomba kushuka.
Isipokuwa profesa mmoja tu alibaki ameketi kwa ujasiri na utulivu.

Kuna mtu alimuuliza, "kwanini hauhangaiki kushuka kwenye ndege kama wenzako?"
Profesa akajibu kwa kujiamini,
"Ni wanafunzi wangu waliunda hii ndege".
Akaulizwa tena, "Kwahiyo una uhakika uliwafundisha vizuri? Profesa alijibu;
"Kama ni wanafunzi wangu, Nina uhakika haitopaa.."


Simba mpaka Sasa kabong'oa
Sasa kama alijua haitapaa kwa nn alipanda?

Professional nae ni wamchongo tu.

Yanga piga simba hiyo.
 
Siku ukiona sehemu ulinzi umeimarishwa nawahakikishia hakuna usalama pale, kaa mbali shuhudia tukio
Nakubaliana na wewe. Kitendo cha mashabiki wa timu moja kutishia viongozi wao Kwa matokeo ya mechi moja kinatia shaka uwezo wao wa kishabiki. Ni kweli Simba imetetereka siku hizi lakini Kwa nini hawakuwa na uchungu Mechi Tatu/nne zilizopita wanasubiri Hali imekuwa mbaya zaidi ndo wanatoa vitisho? Ina maana timu ikishinda Leo ndo inakuwa Bora?
 
Back
Top Bottom