Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,769
- 38,474
De javu
Simba watatokea uwanjani
Au tutawaona simba wa ruaha
Simba watatokea uwanjani
Au tutawaona simba wa ruaha
Sema simba nguvu moyaNaitakia usindi Simba sc..
Simba nguvu moja..
Simba 3 yanga 1
Kwa timu Gani uliyo nayo unifunge mkuuUTOPORO LEO ATAKUFA
ATAKE ASITAKE
KARIAKOO NI NYEKUNDU♨️♨️
🛑🛑🛑🛑
Huo mwiko apo nyuma Leo tunautoa kudadeki zenuHatimaye ile siku imewadia.
KIla la kheri timu ya Wananchi katika kuzipambania points 3.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Itasaidia. Maana tunaweza zika watu. Kuna mshua Jana nimekutana naye anasema anasikia furaha kesho simba anafungwa za kutosha. Nikamwambia mkifungwa je, akasema naweza kufa kwa pressureQuoted for Reference
Sasa kama alijua haitapaa kwa nn alipanda?Kundi la maprofesa waliitwa kupanda ndege.
Milango ilipofungwa maprofesa wote walifahamishwa kuwa ndege hiyo imetengenezwa na wanafunzi wao.
Maprofesa wote wakakimbilia kwenye mlango wa ndege wakiomba kushuka.
Isipokuwa profesa mmoja tu alibaki ameketi kwa ujasiri na utulivu.
Kuna mtu alimuuliza, "kwanini hauhangaiki kushuka kwenye ndege kama wenzako?"
Profesa akajibu kwa kujiamini,
"Ni wanafunzi wangu waliunda hii ndege".
Akaulizwa tena, "Kwahiyo una uhakika uliwafundisha vizuri? Profesa alijibu;
"Kama ni wanafunzi wangu, Nina uhakika haitopaa.."
Simba mpaka Sasa kabong'oa
Huyu dada kajiunga na miso Misondo Sengeli Choir kama mnengiaji wa kike.
Nakubaliana na wewe. Kitendo cha mashabiki wa timu moja kutishia viongozi wao Kwa matokeo ya mechi moja kinatia shaka uwezo wao wa kishabiki. Ni kweli Simba imetetereka siku hizi lakini Kwa nini hawakuwa na uchungu Mechi Tatu/nne zilizopita wanasubiri Hali imekuwa mbaya zaidi ndo wanatoa vitisho? Ina maana timu ikishinda Leo ndo inakuwa Bora?Siku ukiona sehemu ulinzi umeimarishwa nawahakikishia hakuna usalama pale, kaa mbali shuhudia tukio