Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,557
- 3,001
Imeshakuwa mila na desturi kwa timu hizi za jadi kuwapa presha wachezaji katika mechi za kimataifa ingawaje nayo huleta hamasa kwa timu, kwa timu zote mbili mechi za mwisho za makundi tumeshuhudia mechi ya yanga ilipewa jina la Pacome huku Simba mgeni Rasmi akiwa Enonga Baka na kufanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali.
Kuanzia majuzi timu zote zilikuwa na press conference ya kutangaza viingilio vya uwanjani ila wamesahau kuhusu hii tamaduni ambayo tumeizowea tafadhali tuambieni mapema.
TUKUTANE 29/30,03,2024
Kuanzia majuzi timu zote zilikuwa na press conference ya kutangaza viingilio vya uwanjani ila wamesahau kuhusu hii tamaduni ambayo tumeizowea tafadhali tuambieni mapema.
TUKUTANE 29/30,03,2024