Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
=> Tumeingia mkataba mpya wa kutengeneza jezi na vifaa vya michezo kwa miaka 5 na kampuni ya GSM Group Of Companies wenye dhamani ya Tshs Billion 9.1" Rais wa Young Africans SC Hersi Ally Said
=> Mkataba wa pili utakua ni wa udhamini ambapo GSM italipa Tsh. Milioni 300 kwa mwaka, itakayokuwa ikiongezeka kwa asilimia 10 kila mwaka kwa muda wa miaka 5 kuifanya jumla kuwa na Tsh Bilioni 1.83 kwa miaka 5" Rais wa Young Africans SC Hersi Ally Said
=> Akizungumzia makubaliano Rais wa Young Africans SC Eng.Hersi Said alisema “Tunayo furaha kubwa kuingia makubaliano haya mapya na wenzetu wa GSM, moja ya ajenda zangu katika Uongozi wangu ilikuwa ni kuipa klabu uimara wa kiuchumi ili tuweze kujitegemea"
=> Na mikataba kama hii inaiongezea Klabu thamani na kuiimarisha kimapato, na kama tujuavyo uendeshaji wa vilabu vyetu kunahitaji uiamara wa kiuchumi.
=> “Niwapongeze kampuni ya GSM kwa kuendelea kuwekeza katika Klabu yetu kwani uwekezaji wa namna hii sio tu kunaongeza thamani timu yetu bali inasaidia kwa namna nyingine kukuza soka nchini kwetu kwa ujumla” Rais wa Young Africans SC Hersi Ally Said
=> Niwaombe mashabiki, na Wanachama wa Young Africans SC waendelee kuiunga mkono kampuni ya GSM kwa kunununa bidhaa na huduma zao ili waendelee kunufaika na udhamini wao kwetu” Hersi Ally Said, Rais Young Africans SC.
=> Mkataba wa pili utakua ni wa udhamini ambapo GSM italipa Tsh. Milioni 300 kwa mwaka, itakayokuwa ikiongezeka kwa asilimia 10 kila mwaka kwa muda wa miaka 5 kuifanya jumla kuwa na Tsh Bilioni 1.83 kwa miaka 5" Rais wa Young Africans SC Hersi Ally Said
=> Akizungumzia makubaliano Rais wa Young Africans SC Eng.Hersi Said alisema “Tunayo furaha kubwa kuingia makubaliano haya mapya na wenzetu wa GSM, moja ya ajenda zangu katika Uongozi wangu ilikuwa ni kuipa klabu uimara wa kiuchumi ili tuweze kujitegemea"
=> Na mikataba kama hii inaiongezea Klabu thamani na kuiimarisha kimapato, na kama tujuavyo uendeshaji wa vilabu vyetu kunahitaji uiamara wa kiuchumi.
=> “Niwapongeze kampuni ya GSM kwa kuendelea kuwekeza katika Klabu yetu kwani uwekezaji wa namna hii sio tu kunaongeza thamani timu yetu bali inasaidia kwa namna nyingine kukuza soka nchini kwetu kwa ujumla” Rais wa Young Africans SC Hersi Ally Said
=> Niwaombe mashabiki, na Wanachama wa Young Africans SC waendelee kuiunga mkono kampuni ya GSM kwa kunununa bidhaa na huduma zao ili waendelee kunufaika na udhamini wao kwetu” Hersi Ally Said, Rais Young Africans SC.