Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Klabu ya Simba SC imetangaza kuingia mkataba wa miaka (3) na kampuni ya Serengeti (SBL) Plisner Lager wenye thamani ya Tsh 1.5 Billion.
"Ni ubia wa nguvu kabisa, ubia wa Simba wawili. Hii ni package ambayo imekuja wakati mwafaka. Serengeti ni mbia mkubwa sana wa mpira wa Tanzania, huu ni mwendelezo wa kusaidia mpira."
"Udhamini huu utasaidia uendeshaji wa klabu, gharama za uendeshaji wa vilabu huwa ni kubwa. Upatikanaji wa fedha ni muhimu sana. Tunawashukuru kukubali kuungana nasi kama wadhamini wa Simba."
"Simba ni klabu ya (7) Africa kwa uwekezaji tunaoendelea kuufanya baada ya miaka 10 tunataka kuwa klabu namba 1 Duniani" amesema hayo CEO wa Simba Iman Kajula.
"Ni ubia wa nguvu kabisa, ubia wa Simba wawili. Hii ni package ambayo imekuja wakati mwafaka. Serengeti ni mbia mkubwa sana wa mpira wa Tanzania, huu ni mwendelezo wa kusaidia mpira."
"Udhamini huu utasaidia uendeshaji wa klabu, gharama za uendeshaji wa vilabu huwa ni kubwa. Upatikanaji wa fedha ni muhimu sana. Tunawashukuru kukubali kuungana nasi kama wadhamini wa Simba."
"Simba ni klabu ya (7) Africa kwa uwekezaji tunaoendelea kuufanya baada ya miaka 10 tunataka kuwa klabu namba 1 Duniani" amesema hayo CEO wa Simba Iman Kajula.