Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,632
- 9,445
Je ile Bil 20 isiyo na kikomo ya wale ndugu zetu mbayuwayu?Bilioni 10 kwa miaka 5 ni pesa ndogo sana kwa klabu kama yanga
Je ile Bil 20 isiyo na kikomo ya wale ndugu zetu mbayuwayu?Bilioni 10 kwa miaka 5 ni pesa ndogo sana kwa klabu kama yanga
Mkataba wa kinyonyaji kweli kweli
Kwahivyo mnakubali kuwa tunaimba wimbo mmoja.!!Kama MO 29 na MO extra
Bilioni 20 kwa kuiuza Simba jumla Ni sahihi?Bilioni 10 kwa miaka 5 ni pesa ndogo sana kwa klabu kama yanga
Yanga haijauzwa Ni mkataba wa jezi Kama wa Vunja Bei Simba inapata Bilioni 1Nitasubiri kuona mashabiki wa Yanga wakidai kuonyeshwa ni katika akaunti ipi hiyo hela imeingizwa kama jinsi ambavyo walidai kuziona hela za MO, ilikuwa ni swala la muda tu wao kumchutamia GSM hasa baada ya kijana wake mtiifu kushika nafasi ya juu zaidi kwenye club.
Mtakaokuja kutetea naombeni mni-crush kwakuleta hiyo account.
Oooh Simba Sc imeuzwa kwa Mo...Oooh Simba Sc ni mali ya ukoo wa Dewji...kikowapi sasa, mtasema ni mkataba wa miaka kadhaa ila mpaka HERSI anatoka madarakani tayari itakuwa mikononi mwao
Makolo fc imeuzwa kwa kanjibai bil 20Mimi nilishaonya kwamba GSM kaamua kujimilikisha Yanga mkabisha , sasa Bil 10 kwa miaka 5 huu si utopolo huu ?
Kama nyie mmeonyeshwa acc iliyoingizwa ile bil 20 manunuzi ya klabu yenuNitasubiri kuona mashabiki wa Yanga wakidai kuonyeshwa ni katika akaunti ipi hiyo hela imeingizwa kama jinsi ambavyo walidai kuziona hela za MO, ilikuwa ni swala la muda tu wao kumchutamia GSM hasa baada ya kijana wake mtiifu kushika nafasi ya juu zaidi kwenye club.
Mtakaokuja kutetea naombeni mni-crush kwakuleta hiyo account.
Oooh Simba Sc imeuzwa kwa Mo...Oooh Simba Sc ni mali ya ukoo wa Dewji...kikowapi sasa, mtasema ni mkataba wa miaka kadhaa ila mpaka HERSI anatoka madarakani tayari itakuwa mikononi mwao
Kutoka 45m mpaka 2b, hapa kuna namna ni namba tu hizoVunjabei kupitia jezi anailipa Simba bilioni 1.
GSM kupitia jezi anailipa Yanga bilioni 2+.
Huyu GSM akinunua hisa za Yanga atavunja Rekodi ya chuplichupli kanjibai
Huo mkataba ni makubaliano kati ya GSM kwa GSM wenyewe, ndio maana wajanja tunasema Club imeuzwa.Yanga haijauzwa Ni mkataba wa jezi Kama wa Vunja Bei Simba inapata Bilioni 1
Yanga bilioni 2+
Akuna kitu kama icho kama ambavyo akuna udhamini wa b.26 ulioandikwa kwenye jezi au sio bwana mbumbumbu, Maana uongo walianza wale wa b.26 zilizosainiwa kwenye jezi na bado wakashindwa dau la kumsajili Manzoki, Adebayor, molaye Sila na ata Aziz ki, thamani ya udhamini inatakiwa iendane na uhalisia wa uwekezaji sasa hapo sijui nani anaedanganya kati ya Mo na GsmPale unapoamua kujiongopea Hadi wewe mwenyewe, GSM alikuwa anatoa gawio la 1300 Kwa kila jezi ambayo itanunuliwa iliyokuwa inafanya Yanga iingize Hadi 45M Kwa msimu
Kipindi hicho Yanga ilikuwa chini ya mwenyekiti Msolwa, maana yake mazungumzo yalikuwa yanafanyika Kati ya viongozi wa club na wazamini ambao ni GSM na wakafanikiwa kutoka na deal la kupata 1300 Kwa kila jezi
Alafu Leo hii Yanga IPO chini ya GSM wenyewe it means mazungumzo wamefanya wenyewe, ndio wafanye ongezeko la kutoka kupata 45M Kwa mwaka hadi almost 1.5B Kwa mwaka
Tuweni wakweli tu kiuhalisia hakuna kitu kama hicho mtu anaweza kufanya, ila kwakuwa tunafanya Kwa kukomoana basi wanataja tu manamba ili kuonesha kwamba udhamini wa Simba ulikuwa ni mdogo
ila kwakuwa tupo Nchi ambayo tunapenda uongo kuliko ukweli acha twende tu, tunasubiri pia Simba waje na mkataba unaosema watapata 20B Kwa miaka 4
Mkataba wa Simba waelekea ukingoniWakati simba ameramba bilion 1 kwa mwaka mmoja