Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 4,836
- 7,384
Acha kupotosha, hakuna neno dhamani. Neno sahihi katika andiko lako lilipaswa kuwa thamani.Dhamani ni Worth Thamani ni Value kwenye mkataba inatumika worth sio value ume elewa?
Acha kupotosha, hakuna neno dhamani. Neno sahihi katika andiko lako lilipaswa kuwa thamani.Dhamani ni Worth Thamani ni Value kwenye mkataba inatumika worth sio value ume elewa?
mzee mfano wako haufai,Yale ni Mambo ya kimkataba (makubaliano ya pande zote mbili) NI RAHISI kuhoji Kama Mambo hayaeleweki na tunaanzia kupitia mikataba,yaani RAHISI Sana!Sasa hapa uto mnaaminije kwamba hiyo pesa kweli ataiweka GSM kwenye akaunti wakati mkurugenzi mwenyewe wa kampuni ndiye m/kiti wa klabu?Hamuoni kwamba hapa kuna mgongano wa kimaslahi?
Mwanafunzi wa darasa la 7 kajitungia mtihani mwenyewe, kaufanya mwenyewe kajisimamia mwenyewe , kajisahihisha mwenyewe, Matokeo anapanga mwenyewe , anasoma Matokeo mwenyewe , halafu anawalazimisha drs la 1 hadi 6 wamshangilie na kweli wanamshangilia .Maajabu hayaishi nchi hii.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Na wewe utujibu hizo 9B zinawekwa kwenye akaunti ipi? Wajinga ndiyo waliwao!Ayo ayakuhusu kamuulize kanjibhai wenu kwamba b.20 aliziweka benk gani ukileta jibu ndo utajibiwa la kwako