Yanga ndiyo platform ya wachezaji kucheza timu kubwa

Yanga ndiyo platform ya wachezaji kucheza timu kubwa

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
16,703
Reaction score
39,177
Yanga wamemuuza Aziz ki Kwa billion 2.5 kwenda Wydad Casablanca na atalipwa dollar 70,000 Kwa mwezi

Aziz ki alinunuliwa kutoka Asec Mimosas Kwa kiasi cha Million 400,
Aziz ki amecheza Yanga Kwa mafanikio makubwa

Leo Yanga wametengeneza faida ya zaidi ya billion 2
Aziz ki anaenda kucheza world cup ngazi ya vilabu

Pia Wydad wanahitaji huduma ya Mzize Kwa billion 3, ila Mzize mwenyewe anafikiria offer ya Barnley ya England pia Olympiqie Mairseille ya France

Pia kumbuka Yanga walitengeneza kiasi kikubwa cha pesa Kwa kumuuza Mayele kwenda Pyramid

Kituko Kwa mtani anayecheza mashindano ya shirikisho yaani UMISETA hakuna mchezaji anayeuliziwa sokoni
Mpanzu alienda majaribio Belgium timu daraja ya 4 akashindwa kutoka na udumavu na lishe mbovu

Pia Kibu alitoroka kwenda Norway wakagundua akili zake na mambo ya soccer ni haviendani

Kila la heri Aziz ki
 
Samatta, pape sakho, henry joseph, chama, miquisson, nonga shaban, okwi na wengineo wengi. Kwa simba ni kawaida kwa yanga ni kigeni ndio maana makhalio yanawawasha.
Nonda Shaban alikua yanga,yanga tangu 1970s wanauza wachezaji ulaya,manara
 
Back
Top Bottom