Sijakuelewa mama!!!hiyo ini kwako ndugu yangu?
That's it dude!!!!!Whattt??
Ndiyo maana anasimamia kwa hoja katika kile anachokiamini. Huyu ni kiongozi pekee aliyekuwepo bunge hili, aliikosoa katiba tangu enzi za mwalimu. Alishaishitaki serikali ili irekebishe baadhi ya vifungu na kushinda kesi. Ila serikali hii ilimpotezea na kumfanyia hujma na vitisho vingi. Hivyo anavyoongea ujue anamaanisha haswaa.Ajabu ni kuwa alijipendekeza mwenyewe kwenye orodha ya wajumbe wa bunge la katiba iliyopelekwa kwa rais, hiyo ilikuwa ishara ya kukubaliana na mchakato mzima. aache mikwara kama anajitoa aondoke awaachie wengine wenye mapenzi mema na nchi
WanaJF,
Katika hali ya kushangaza bungeni, mch Mtikila ametokea kukurupuka na kuingizia mambo ambayo hayahusiki katika mjadala unao endelea bungeni kwa sasa ambao ni kuhusu semina ya uzoefu wa nchi ya Kenya katika kuandaa katiba yao.
Mchungaji Mtikila bila ya aibu ametokea kuingizia mijadala mingine kabisa ambayo haina mahusiano ya kile ambacho kinajadiliwa bungeni na kupelekea kutokea kwa hali ya taharuki miongoni mwa wajumbe wa bunge maalumu. Jambo ambalo limemdhalilisha sana Mtikila.
Kubwa ambalo Mtikila alikuwa anang'ang'ania ni kupigania Tanganyika bungeni eti akidai kuwa kuna vitisho kutoka kwa mhe Sitta vya kuwashughulikia wale watakao ipigania Tanganyika kama ambavyo Dr Ulimboka, Dr Mvungi na Kibanda walivyo shughulikiwa. Jambo ambalo limepingwa vikali na Mhe Sitta kwa kumwambia yeye kama Mwenyekiti atatumia kanuni za bunge na sio vinginevyo katika kushughulikia hoja.
My take,
Mhe rais Kikwete amefanya makosa sana kuteua watu ambao vichwani mwao haijulikani kama ni wazima ama lah.
Hivi huyu Mtikila anashindwa kuelewa kuwa kuna mjadala wa semina na pia kuna mgeni!? Tanganyika nani anaitaka? Kama sio yeye na CHADEMA tu?
WanaJF,
Katika hali ya kushangaza bungeni, mch Mtikila ametokea kukurupuka na kuingizia mambo ambayo hayahusiki katika mjadala unao endelea bungeni kwa sasa ambao ni kuhusu semina ya uzoefu wa nchi ya Kenya katika kuandaa katiba yao.
Mchungaji Mtikila bila ya aibu ametokea kuingizia mijadala mingine kabisa ambayo haina mahusiano ya kile ambacho kinajadiliwa bungeni na kupelekea kutokea kwa hali ya taharuki miongoni mwa wajumbe wa bunge maalumu. Jambo ambalo limemdhalilisha sana Mtikila.
Kubwa ambalo Mtikila alikuwa anang'ang'ania ni kupigania Tanganyika bungeni eti akidai kuwa kuna vitisho kutoka kwa mhe Sitta vya kuwashughulikia wale watakao ipigania Tanganyika kama ambavyo Dr Ulimboka, Dr Mvungi na Kibanda walivyo shughulikiwa. Jambo ambalo limepingwa vikali na Mhe Sitta kwa kumwambia yeye kama Mwenyekiti atatumia kanuni za bunge na sio vinginevyo katika kushughulikia hoja.
My take,
Mhe rais Kikwete amefanya makosa sana kuteua watu ambao vichwani mwao haijulikani kama ni wazima ama lah.
Hivi huyu Mtikila anashindwa kuelewa kuwa kuna mjadala wa semina na pia kuna mgeni!? Tanganyika nani anaitaka? Kama sio yeye na CHADEMA tu?
....profesa maji marefu (Ngonyani) na yule mwakilishi wa wachawi (Kingunge) siwaoni hapo bungeni...
Ajabu ni kuwa alijipendekeza mwenyewe kwenye orodha ya wajumbe wa bunge la katiba iliyopelekwa kwa rais, hiyo ilikuwa ishara ya kukubaliana na mchakato mzima. aache mikwara kama anajitoa aondoke awaachie wengine wenye mapenzi mema na nchi
wewe kweli virobaHivi haka ka Mtikila wanasubiri nini kukang'oa kucha? Kasumbufu kweli!
katika namna ya kipekee leo mch c. Mtikila amemuonya mwenyekiti kuhusu kauli kuwa watu wasiotaka muungano watashughulikiwa. Ameuliza jee watashughulikiwa kama kolimba? Au dr mvungi, ulimboka au kwa namna gani. Ameweka wazi kuwa kwa vile yeye yuko wazi kuwa haungi mkono muungano huu uliopo sasa wa kuipoteza tanganyika hivyo tishio hilo la kushughulikiwa ni wazi ni kwake yeye. Kama mawazo ya wengine hayasikilizwi bali ya kikundi cha watu wachache (ccm) anafikiria kufungasha virago na kurudi dar ili kuendelea na shughuli zingine kuliko kushiriki bunge linaloburuzwa kwa maslahi ya watu wachache. Pamoja na sitta kuipoza hoja hiyo kwa kusema mtikila asiwe na wasiwasi, lakini maelezo ya mtikila yameleta damage kubwa katika uhuru wa uendeshaji wa bunge hilo.
Jee kama kuna kutishana kushughulikiwa inakuwaje kwa wale wajumbe legelege wasio na msimamo thabiti kama mtikila? Watawezakufanya kazi tuliyowatuma?
Sent from my ipad using jamiiforums
Sitta ni ndumila kuwili ni hatari kubwabungw kuongozwana mtu aina yake . hatufiki mbali
Hivi haka ka Mtikila wanasubiri nini kukang'oa kucha? Kasumbufu kweli!