Yanayojiri bungeni: Tarehe 20 Machi, 2014

Yanayojiri bungeni: Tarehe 20 Machi, 2014

Tutasikia mengi hata yale yaliyokusudiwa tusiyajue sasa tutayasikia.
 
Bunge maalum la Katiba leo limepata mgeni kutoka Kenya mh. Amos Wako ambaye alikuwa mwanasheria wa Kenya na alishiriki katika mchakato wa kuandaa katiba.

Lengo la ujio wake ni kutoa fursa kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kujifunza jambo alilolifanya akiwa Mwanasheria wa Kenya aliyeshiriki Mchakato wa Kupata Rasimu ya Katiba ya Nchi hiyo hadi kupatikana kwa Katiba yake.

=== Updates ====

Kikwazo cha lugha aliyotumia Mh. Amos Wako



===


====
Rev. Mtikila naye anena,

wewe ndg una mtindio wa ubongo au? mtu kupigania asili yake nalo unasema ni cdm. kabla hujamhukumu mtikila hebu kapime akili yako.
 
Nahisi Mtikila anajua mengi zaidi. Naomba siku zote mchakato uende kwa aman na busara itumike.

Namuamin Rais atatoa hotuba nzuri ya kuleta umoja na mshikamano
 
Hivi vitisho sidhani kama vinasaidia chochote,hawawezi kulazimisha kila mtu akubaliane na wanachokifurahia wao, huu ni ustaarabu wa wapi?........wao walikuwa hawaafiki muundo wa Serikali tatu, lakini kwa hotuba na ufafanuzi wa Jaji Warioba juzi wengi wameonekana kulainika, wanachotakiwa kufanya ni wao nao kutumia jukwaa hilo hilo alilotumia Warioba kujibu na kujenga hoja zao kushawishi wajumbe kuwa SERIKALI MBILI ndio suluhisho na si vitisho.
Namshauri Mheshimiwa Rais kama anaona hatakuwa na hoja za kuzima hotuba ya Warioba basi hilo suala la Muungano aliongelee kwa umakini kama ipo haja ya kuliongelea.
CCM WANA NINI VICHWANI?..........wanatia hasira.
 
tatizo la fikra ndogo kutawala fikra kubwa.....
 
Kiukweli sijawa na Imani na Sitta kabisa, ni ndumilakuwili, ukimsikiliza utangundua tu kwamba ashachukua upande ambao una maslahi kwake, mpaka watakapotokea watu kama Mtikila ndio wanaweza kumweka sawa, mfani kusema kwamba kuna camera 13 bungeni, zinahuusiana nini na mchakato huu?
 
Unajua pale Mtikila alikuwa anampa Sitta za uso bila aibu. Na kama Sitta angejifanya refa na kusimamisha pambano ingekuwa ni Technical knock out. Mtikila amefungua mjadala wa uwazi bila woga,na ndilo tunalotaka wote hayo mambo ya kushughulikiana wakashughulikiane kwenye vikao vyao vya ndani hao walioamua pamoja na kuacha familia zao kwa siku nyingi kuja kuwa mazezeta ya watawala. AIBU KWAO.
Wito kwa wana JF, wale wajumbe wenye mwelekeo wa kufanya maamuzi kwa kujikomba na woga wa watawala kila anayefahamika jina lake liwekwe wazi tuwajue kuwa ni wasaliti na familia na ndugu zao na marafiki wawafahamu ili heshima yao ishuke kwenye jamii yote. Katiba ni yetu wote si yao wachache. Na kama huna msimamo wa kutetea wananchi usingeenda.


Sent from my iPad using JamiiForums

Msaliti wa kwanza p. Makonda wapili serukamba....endeleza listi
 
Hiyo ni kuonyesha wazi kuwa mle ndani hata viti vina thamani kuliko baadhi ya walio vikalia. Ndio maana nakusudia kuanzisha thread itakao wataja wazi wajumbe watakao gundulika kuwa ni sawa na mizigo ili tuwataje na wake/waume zao wajue wanakosa chakula cha usiku pasipo sababu za maana. Maana kama mjumbe anaendekeza ujinga sii bora angebaki kwake akaendelea kumpa mke/mume haki yake ya usiku kuliko kupoteza muda Dodoma.


Sent from my iPad using JamiiForums

Bunge la katiba wafuatao ni wajumbe mizigo
1-p. Makonda
2-serukamba
3-kingunge mwiru
5-pindi chana
6-
7-
 
Huyu Mtikila si aliwahi kuichana katiba ya nchi?Hivi alifanywa nini baada ya hapo na Serikali ya CCM?
Kila siku huwa nasikia ana kesi,hivi hakuna aliyemuweza na kumfunga jela moja kwa moja kama walivyofanyiwa wengine?
 
Unajua pale Mtikila alikuwa anampa Sitta za uso bila aibu. Na kama Sitta angejifanya refa na kusimamisha pambano ingekuwa ni Technical knock out. Mtikila amefungua mjadala wa uwazi bila woga,na ndilo tunalotaka wote hayo mambo ya kushughulikiana wakashughulikiane kwenye vikao vyao vya ndani hao walioamua pamoja na kuacha familia zao kwa siku nyingi kuja kuwa mazezeta ya watawala. AIBU KWAO.
Wito kwa wana JF, wale wajumbe wenye mwelekeo wa kufanya maamuzi kwa kujikomba na woga wa watawala kila anayefahamika jina lake liwekwe wazi tuwajue kuwa ni wasaliti na familia na ndugu zao na marafiki wawafahamu ili heshima yao ishuke kwenye jamii yote. Katiba ni yetu wote si yao wachache. Na kama huna msimamo wa kutetea wananchi usingeenda.


Sent from my iPad using JamiiForums

mi naanza na paul makonda
 
Namshauri ndugu Mtikila asiondoke Dodoma maaana kususa ni kuwapa manyan'gau urahisi wa kutuburuza, japo tunajua watampuuza kama wanavyofanyaga lkn historia haitaandika uongo,itakuwa heri yeye alisema kuliko kina wengine wanavumilia maumivu kimya kimya bila kufungua midomo..........
Hongera Mch Mtikila, asikutishe mtu hapo,tangu wameanza kutoa roho za watu nini wamepata zaidi ya laana tu Nchi haisongi mbele zaidi ya umaskini kuongezeka, aibu yao.

dugu yangu, hao wengine si wavumilia maumivu. Hawana maumivu yoyote. Kwao liwalo na liwe ili mradi gaposho ganaingia mfukoni!
 
Ni kweli waliomuuwa ni ccm....mods nmeweka uzi wangu unavyoeleza dr.mvungi alivyouawa na ccm mnatoa uzi wangu..w.a.s.h.e.n.z.i wakubwa nyinyi
 
mi naanza na paul makonda

Usijali,kwa vile sasa hivi walikuwa wanabishania kanuni za kujiendesha na bunge hili basi acha waanze kuijadili katiba ndio tutaanzisha hiyo thread. Ila mapendekezo yako yamezingatiwa.
cc. Paul Makonda


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Huyu Mtikila si aliwahi kuichana katiba ya nchi?Hivi alifanywa nini baada ya hapo na Serikali ya CCM?
Kila siku huwa nasikia ana kesi,hivi hakuna aliyemuweza na kumfunga jela moja kwa moja kama walivyofanyiwa wengine?

Wanaofungwa hawajui sheria. Mtikila akiwa mahakaman ana full ma confidence, full kujiamini wakat wewe ukiwa mahakaman full kutetemeka
 
Back
Top Bottom