Bunge maalum la Katiba leo limepata mgeni kutoka Kenya mh. Amos Wako ambaye alikuwa mwanasheria wa Kenya na alishiriki katika mchakato wa kuandaa katiba.
Lengo la ujio wake ni kutoa fursa kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kujifunza jambo alilolifanya akiwa Mwanasheria wa Kenya aliyeshiriki Mchakato wa Kupata Rasimu ya Katiba ya Nchi hiyo hadi kupatikana kwa Katiba yake.
=== Updates ====
Kikwazo cha lugha aliyotumia Mh. Amos Wako
===
====
Rev. Mtikila naye anena,
Hivi haka ka Mtikila wanasubiri nini kukang'oa kucha? Kasumbufu kweli!
Unajua pale Mtikila alikuwa anampa Sitta za uso bila aibu. Na kama Sitta angejifanya refa na kusimamisha pambano ingekuwa ni Technical knock out. Mtikila amefungua mjadala wa uwazi bila woga,na ndilo tunalotaka wote hayo mambo ya kushughulikiana wakashughulikiane kwenye vikao vyao vya ndani hao walioamua pamoja na kuacha familia zao kwa siku nyingi kuja kuwa mazezeta ya watawala. AIBU KWAO.
Wito kwa wana JF, wale wajumbe wenye mwelekeo wa kufanya maamuzi kwa kujikomba na woga wa watawala kila anayefahamika jina lake liwekwe wazi tuwajue kuwa ni wasaliti na familia na ndugu zao na marafiki wawafahamu ili heshima yao ishuke kwenye jamii yote. Katiba ni yetu wote si yao wachache. Na kama huna msimamo wa kutetea wananchi usingeenda.
Sent from my iPad using JamiiForums
Hiyo ni kuonyesha wazi kuwa mle ndani hata viti vina thamani kuliko baadhi ya walio vikalia. Ndio maana nakusudia kuanzisha thread itakao wataja wazi wajumbe watakao gundulika kuwa ni sawa na mizigo ili tuwataje na wake/waume zao wajue wanakosa chakula cha usiku pasipo sababu za maana. Maana kama mjumbe anaendekeza ujinga sii bora angebaki kwake akaendelea kumpa mke/mume haki yake ya usiku kuliko kupoteza muda Dodoma.
Sent from my iPad using JamiiForums
Unajua pale Mtikila alikuwa anampa Sitta za uso bila aibu. Na kama Sitta angejifanya refa na kusimamisha pambano ingekuwa ni Technical knock out. Mtikila amefungua mjadala wa uwazi bila woga,na ndilo tunalotaka wote hayo mambo ya kushughulikiana wakashughulikiane kwenye vikao vyao vya ndani hao walioamua pamoja na kuacha familia zao kwa siku nyingi kuja kuwa mazezeta ya watawala. AIBU KWAO.
Wito kwa wana JF, wale wajumbe wenye mwelekeo wa kufanya maamuzi kwa kujikomba na woga wa watawala kila anayefahamika jina lake liwekwe wazi tuwajue kuwa ni wasaliti na familia na ndugu zao na marafiki wawafahamu ili heshima yao ishuke kwenye jamii yote. Katiba ni yetu wote si yao wachache. Na kama huna msimamo wa kutetea wananchi usingeenda.
Sent from my iPad using JamiiForums
Namshauri ndugu Mtikila asiondoke Dodoma maaana kususa ni kuwapa manyan'gau urahisi wa kutuburuza, japo tunajua watampuuza kama wanavyofanyaga lkn historia haitaandika uongo,itakuwa heri yeye alisema kuliko kina wengine wanavumilia maumivu kimya kimya bila kufungua midomo..........
Hongera Mch Mtikila, asikutishe mtu hapo,tangu wameanza kutoa roho za watu nini wamepata zaidi ya laana tu Nchi haisongi mbele zaidi ya umaskini kuongezeka, aibu yao.
mi naanza na paul makonda
Huyu Mtikila si aliwahi kuichana katiba ya nchi?Hivi alifanywa nini baada ya hapo na Serikali ya CCM?
Kila siku huwa nasikia ana kesi,hivi hakuna aliyemuweza na kumfunga jela moja kwa moja kama walivyofanyiwa wengine?
Hujasomeka lady, nini umeandika?