Peter jaluo
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 1,750
- 248
leo ni bunge la 1o mkutano wa 15 kikao cha 18. Waziri wa uchukuzi aliwasilisha hotuba ya Bajeti ya makadilio na matumizi katika wizara ya uchukuzi ya mwaka wa fedha 2014-2015 na majadiliano yanaendelea.
katika maswali na majibu, Jamani huyu waziri AGrey mwanri .huyu waziri anawajibu wabunge wezake.kwa ukali sana.unafikiri kalazimishwa kujibu maswali hayo.
katika maswali na majibu, Jamani huyu waziri AGrey mwanri .huyu waziri anawajibu wabunge wezake.kwa ukali sana.unafikiri kalazimishwa kujibu maswali hayo.