Yanayojiri Bungeni leo Tarehe 26 May 2014

Yanayojiri Bungeni leo Tarehe 26 May 2014

Kwa nini akisimama mbunge wa CHADEMA kuchangia bungeni sauti yake ni ya kichagga?
 
Sasa kama kweli itaundwa kamati ya bunge kufuatilia jinsi mifuko ya jamii inavyoliwa kiharamu na viongozi basi pasipo shaka tutaona jinsi Ramadhani Dau alivyonunua cheo chake kwa kutoa fedha zetu nyingi kwa NGO ya mke wa mkulu iitwayo WAMA!!! Ili kula fedha za NSSF vizuri wakampa Dau kuwa mjumbe wa bodi ya WAMA; huu ni ufisadi wa hali ya juu.


:der:mkuu hiyo mbona kali kweli huku tanganyika taarifa huwa haifiki kabisa
 
Mbowe ni mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo
 
Moses Machali ashindwa kutamka UHOLANZI badala yake ametamka ULANZI. Hawa UKAWA wanawaza kulewa tu

sasa hilo nalo lina faida gani kwa watz maskini wanaodhurumiwa haki zao na huu utawalawa kishetani? Think big
 
"Pole mama, utapona bibie" Hayo ndo maneno yanaonekana yanatoka kwa huyu jamaa aliyekuja kumjulia hali

Ni kweli,hata baada ya kuwatesa,kuwang'oa kuchana meno Kibanda na Dr Ulimboka mlienda kuwajulia hali kudhihirisha mlivyo wanafiki
 
mnaacha kuchangia vitu muhimu vya maendeleo ya nchi mnapafanya mahali hapa kama ni sehemu ya sanaa, ongeleni Reli, Gati number 13 na 14 , bandari ya bagamoyo sio kashfaa zisizo uhusiana na ukweli wa mambo , mawaziri wote wawili wameonyesha matumizi mabaya ya bunge na nafasi yao serikali, suala lilokuwa mbele yao halikuwa kuhusu mikopo au wadaiwa wa hiyo mifuko ya jamii, majibu yao yalikuwa na nia ya kuficha ukweli, hivyo kupoteza nia njema ya mashirika hayo ktk hiyo csr
 
I am withdrawing my comment for bad misguided and misinterpretation of the foto and am sorry for all JF
Ni kweli,hata baada ya kuwatesa,kuwang'oa kuchana meno Kibanda na Dr Ulimboka mlienda kuwajulia hali kudhihirisha mlivyo wanafiki
 
Zogwale, muda wa kurejesha mkopo huo ulipita na alipokumbushwa kulipa akasema kuwa yeye ni KUB na ataanza kulipa kuanzia mwaka 2016. Haya ni majibu ya kihuni sana ya Mbowe

Kwa utaratibu wa financial institutions mtu anaruhusiwa kuomba kufanya marekebisho wa marejesho kama atatoa sababu ya msingi. Ninachotaka hapa ni NSSF waje na charges na si wanasiasa kulipuka bungeni ambako kumekuwa tu kama zogo au fujo za wale watoto wa mbwa mwitu a.k.a Panya road. Kama atalipa 2016 itategemea na terms mpya kama watahesabia na muda huo kulipa interest so pia ni faida kwa taasisi husika. Tuache siasa, someni financial markets operations na masuala mazima ya Loans!! Khaa CCM wanakera sana na post zao hizi.
 
"Pole mama, utapona bibie" Hayo ndo maneno yanaonekana yanatoka kwa huyu jamaa aliyekuja kumjulia hali

Katika mambo ya maana ambayo Chadema iliamua kufanya ili kukinusuru chama ni kumfukuza uanachama huyu mercenary aitwae Zito Kabwe. Ni uamuzi wa busara ambao sasa unajionesha wazi wazi kuwa huyu alikuwa kirusi kilichokuwa kinatumiwa na watawala kukihujumu chama.What more evidence does the jury need to convict the accused?
 
Serikali inatudanganya mchana kweupe! Nani mmiliki wa UDA? SIMON GROUP? SERIKALI?

Kuna kivuli hapa
 
Soma namba za magari ni private , serikali haina namba private ......
 
Ila kwa trend ya mjadala unavyokwenda it seems Simon Group ana nguvu sana,ni nani huyu?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom