Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,953
- 10,037
Lusungo go check your fact mkuu!
UDA is abbr of USAFIRI DAR ES SALAAM;moja kwa moja na bila ubishi usajili wa UDA pale BRELA ulipata kibali toka Wizara ya uchukuzi na hata magari yao kuruhusiwa kubeba watu kibali chao kinasainiwa na maofisa toka Wizara ya Uchukuzi
Dr Mwakyemba HANA jibu kuhusu usanii wa uuzwaji UDA sababu waliofanya hivyo ni wenzake
Mkuu yaani ukitaka kusajili gari lako na uka[pata kibali Wizara ya Uchukuzi, basi gari lako linakuwa la uchukuzi? Uchukuzi ndio wanalimiliki? UDA ilikuwa chini ya Jiji kama owner na Jiji lipo chini ya TAMISEMI kwa maana hiyo kiwizara, UDA ilikuwa chini ya TAMISEMI na wala si Uchukuzi!
UMENIEREWA?