Yanayojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi, January 29, 2015

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi, January 29, 2015

Duh! Sasa nye Mbowe kazidi bhana, eti alishambuliwa na machine gun na pistol! Atakuwa na dna moja na 50 cent.
 
Bunge la 10: tangu Utawala wa JK

Mkutano wa 18 kwa mwaka huu wa fedha

Kikao cha 3 tangu juzi.

nimejaribu not so sure

kwa ninavyoelewa mimi,bunge la 10 ni kipindi anachozindua Rais bunge hadi anapolivunja kwa ajili ya uchaguzi mkuu ndio maana Sita aliongoza bunge la 9,hili likivunjwa baada ya uchaguzi likizinduliwa tena linakuwa la 11,mkutano wa 18 ni kwamba toka kuzinduliwa bunge la 10 hii ni mara ya 18 wanakutana,kwa maana hizi wiki mbili zikiisha wakiahirisha,wakikutana tena inakuwa mkutano wa 19,kwenye kikao ni sawa walikutana J4,J5 na leo alhamisi ni kikao cha tatu!
 
Mbowe umekomaa kwa mchango mkubwa,tunataka viongozi wenye kunyambulisha mambo kwa weredi namna hii
 
..."JESHI LA POLI, SERIKALI" ...kama mkiutendea mambo haya katika mti mbichi, itakuwaje katika mti mkavu?
 
Mzee Pinda pole sanaaaa.

Wanasiasa wanakuandama sana.
Jeshi halina Mabua.
Jeshi letu linalinda sana sana.
Watu wanavuliwa nguo mbele ya watoto na kuingiliwa kishenzi.
WANASIASA ISHIMUNI JESHI LETU. NA ROHO ZENU MBAYA.
 
Lisu nimachine, mtambo wahali ya juu kifikra na weled katika ujuzi wa sheria.

Habahatishi wala hababaishwi, nimemkubali kwakweli.

Tangu amchambue Rais wa kwanza wa Taifa hili bila kupepesa macho jambo waliloshindwa wengi ndio nikajua ni kijana mweledi sana.
 
kwa ninavyoelewa mimi,bunge la 10 ni kipindi anachozindua Rais bunge hadi anapolivunja kwa ajili ya uchaguzi mkuu ndio maana Sita aliongoza bunge la 9,hili likivunjwa baada ya uchaguzi likizinduliwa tena linakuwa la 11,mkutano wa 18 ni kwamba toka kuzinduliwa bunge la 10 hii ni mara ya 18 wanakutana,kwa maana hizi wiki mbili zikiisha wakiahirisha,wakikutana tena inakuwa mkutano wa 19,kwenye kikao ni sawa walikutana J4,J5 na leo alhamisi ni kikao cha tatu!

Umeeleza vizuri sana, na ndio ukwel wenyewe
 
kwa ninavyoelewa mimi,bunge la 10 ni kipindi anachozindua Rais bunge hadi anapolivunja kwa ajili ya uchaguzi mkuu ndio maana Sita aliongoza bunge la 9,hili likivunjwa baada ya uchaguzi likizinduliwa tena linakuwa la 11,mkutano wa 18 ni kwamba toka kuzinduliwa bunge la 10 hii ni mara ya 18 wanakutana,kwa maana hizi wiki mbili zikiisha wakiahirisha,wakikutana tena inakuwa mkutano wa 19,kwenye kikao ni sawa walikutana J4,J5 na leo alhamisi ni kikao cha tatu!

Asante, kwa hiyo Kikwete na muda wake amekuwa na bunge la 9 na la 10, mwinyi la 7 na la 8 na yaliyobaki ni Nyerere au?
 
hizi mbinu za kutumia jeshi la polisi na nyingine za kijinga zimepitwa na wakati, bungeni sasa unafedheheshwa na kudhalilishwa wananchi wanasikia ujinga wenu mnaoufanya kwa kupitia jeshi la polisi. ipo siku waziri mkuu atawjibishwa bungeni kwa matendo ya jeshi la polisi nadhani hapo ndi mtatia akili
 
Huyu jamaa vp! eti watapambana na vurugu nani anaanzisha vurugu km sio wao......?
 
Back
Top Bottom