Yanayojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi, January 29, 2015

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi, January 29, 2015

...serikali imeitwa kujitetea!
 
nimepata kitu kuhusu makinda kukataa hoja ya kuhusu lipumba. leo ni baada ya kusema watajadili ila swala liko mahakamani. kwa hiyo alifanya hivyo ili kesi ifunguliwe Kwani wanajua kitu kikishafika mahakamani bunge haliwezi kuijadili. huu ni uhuni. haiingii akilini kila inapofikia suala linaloibana serikali itafutiwe sababu ya kufungua kesi.
 
Wadau, natumai kuwa mnaendelea kufuatilia mjadala wa bunge linaloendelea mjini Dodoma.

Katika maswali ya papo kwa papo, Freeman Mbowe alionesha wasiwasi juu ya muda wa siku 90 uliotengwa na Tume ya Uchaguzi wa kuwaandikisha wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015. Katika maelezo yake, Mbowe amesema kuwa Kit moja ya BVR ina uwezo wa kuandikisha watu 22 tu kwa siku hali ambayo anasema kuwa itakuwa vigumu kuandikisha takriban watu milioni 24 wanaotarajiwa kuandikishwa. Hivyo alipendekeza Tume ipate fedha na muda wa kutosha ili iweze kuandikisha watu wote.

Hata hivyo, pamoja na Waziri Mkuu kukubaliana na Mbowe juu ya umuhimu wa Serikali kuipatia Tume fedha za kutosha ili iweze kukamilisha kazi yake kwa wakati, Waziri Mkuu anasema kuwa hawezi kubishana na Mbowe juu ya uwezo wa mashine hizo ila taarifa anazotoa juu ya uwezo wa mashine hizo yawezekana kuwa zisiwe za kweli. Waziri Mkuu anasema kuwa kwa taarifa alizopata na Tume ni kwamba, awali walijua kuwa mashine hizo zilikuwa na uwezo wa kuandikisha watu 70. Hata hivyo, uzoefu waliopata kwenye wilaya za majaribio za Mlele, Kinondoni na Kilombero ni kwamba imebainika kuwa mashine moja ina uwezo wa kuandikisha mara mbili ya makadirio ya awali.

Kwa maelezo haya ya Waziri Mkuu, ni wazi kuwa Mbowe alikusudia kulidanganya taifa kwa malengo anayoyajua

Nawasilisha

Subiri ukweli utapatikana wakati wa kuifanya hiyo kazi ya kuandikisha wapiga kura, sasa hivi sioni haja ya kuanzisha malumbano ya kufikirika.
 
Hoja ya dharura inajadiliwa. Waziri wa mambo ya ndani yupo hewani.
 
nimepata kitu kuhusu makinda kukataa hoja ya kuhusu lipumba. leo ni baada ya kusema watajadili ila swala liko mahakamani. kwa hiyo alifanya hivyo ili kesi ifunguliwe Kwani wanajua kitu kikishafika mahakamani bunge haliwezi kuijadili. huu ni uhuni

Suala lililoko mahakamani ni la Lipumba kuwashawishi wananchi kufanya uhalifu. Suala lililo bungeni ni matumizi makubwa ya nguvu na udhalilishaji uliofanywa na jeshi la polisi. Ili lisijadiliwe bungeni ni lazima kuwe na polisi waliofikishwa mahakamani kwa kosa la kupiga raia.
 
Well, Tayari inajadiliwa... CHIKAWE anatoa Taarifa ya Serikali jinsi ambavyo Police wanavyoruhusiwa kutumia Spanner kuwaadhibu raia wasiokuwa na hatia ..
 
Kama hiyo ilikuwa nia yake, basi, ni nia ovu yenye lengo la kuibeba serikali. Sijui kama ni sahihi.
 
Nimefurahishwa sana na uwakilishi kwa leo kutoka kwa Mbunge wangu wa jimbo la Gairo, Ahmed Shabiby kuhusu REA QUOTE; Swali la nyongeza: Kwanza siridhiki na haya majibu, kwakuwa nina uhakika kuwa mkandarasi hajasaini mkataba kwenye hayo maeneo, Je mpo tayari twende Gairo kuhakiki kama wamesaini!? Pamoja na majibu ya Serikali kuwa watakwenda kuhakiki kama TANESCO wanaendelea na kazi kutekeleza miradi hii ya REA na ihakikishe inashirikiana vizuri na Wabunge wa maeneo husika! Serikali wamejenga mazoea ya kuleta majibu ya porojo na kuja na majibu ya jumla na ya uongo yaliyojaa kipropaganda kwa minajiri ya kutuongopea sisi wananchi! Nashukuru kwa kumwambia ukweli(kumpa makavu live) huyo Naibu Waziri wa Nishati na Madini! Asante sana Mbunge wangu wa Gairo kwa ujengaji wa hoja wenye maslahi kwetu sisi Wananchi tunaoishi Msingisi, Kwipipa, Rubeho, Kitange A&B, Chakwale, Mtumbatu na maeneo mengine! Naomba na wabunge wanaopakana na jimbo la Gairo(Kongwa,Mpwapwa) waige mfano huu kuondoa unafki!
 
Bunge lililopo limekuwa likidharau sana mahakama kwa kuamua kujadili mambo yaliyoko mahakamani.Hizo ni dharau za wazi kwa mahakama.Ushauri wangu ni kuwa wengi wa wabunge wataenda kugombea uchaguzi mwaka huu 2015.Baada ya uchaguzi wabunge wengi ushindi wao hupingwa mahakamani n.k Ninaomba mahakama zijiandae mkao wa kulipa kisasi ili kila mbunge aliyeko sasa akifunguliwa kesi au kufungua kesi kulalamikia matokeo au pingamizi n.k mahakama zihakikishe huyo mbunge aliyefungua kesi au kufunguliwa anashindwa kwenye hiyo kesi.

Na mbunge yeyote akiwa na kesi mahakamani mahakama zihakikishe zinampa ile maximum sentence ya hukumu

Hii ndio njia sahihi ya kuwashikisha adabu hawa wabunge waliopo hili bunge lisilo jali mahakama.
 
Suala lililoko mahakamani ni la Lipumba kuwashawishi wananchi kufanya uhalifu. Suala lililo bungeni ni matumizi makubwa ya nguvu na udhalilishaji uliofanywa na jeshi la polisi. Ili lisijadiliwe bungeni ni lazima kuwe na polisi waliofikishwa mahakamani kwa kosa la kupiga raia.


kwa hiyo na mwandishi wa habari kwa nini amepigwa na kukamatwa
 
Wadau, natumai kuwa mnaendelea kufuatilia mjadala wa bunge linaloendelea mjini Dodoma.

Katika maswali ya papo kwa papo, Freeman Mbowe alionesha wasiwasi juu ya muda wa siku 90 uliotengwa na Tume ya Uchaguzi wa kuwaandikisha wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015. Katika maelezo yake, Mbowe amesema kuwa Kit moja ya BVR ina uwezo wa kuandikisha watu 22 tu kwa siku hali ambayo anasema kuwa itakuwa vigumu kuandikisha takriban watu milioni 24 wanaotarajiwa kuandikishwa. Hivyo alipendekeza Tume ipate fedha na muda wa kutosha ili iweze kuandikisha watu wote.

Hata hivyo, pamoja na Waziri Mkuu kukubaliana na Mbowe juu ya umuhimu wa Serikali kuipatia Tume fedha za kutosha ili iweze kukamilisha kazi yake kwa wakati, Waziri Mkuu anasema kuwa hawezi kubishana na Mbowe juu ya uwezo wa mashine hizo ila taarifa anazotoa juu ya uwezo wa mashine hizo yawezekana kuwa zisiwe za kweli. Waziri Mkuu anasema kuwa kwa taarifa alizopata na Tume ni kwamba, awali walijua kuwa mashine hizo zilikuwa na uwezo wa kuandikisha watu 70. Hata hivyo, uzoefu waliopata kwenye wilaya za majaribio za Mlele, Kinondoni na Kilombero ni kwamba imebainika kuwa mashine moja ina uwezo wa kuandikisha mara mbili ya makadirio ya awali.

Kwa maelezo haya ya Waziri Mkuu, ni wazi kuwa Mbowe alikusudia kulidanganya taifa kwa malengo anayoyajua

Nawasilisha
acha ubwege kama Pinda kadanganya tena je? Ref
Vurugu za arusha na uongo uliosema wakati ule.
 
Umevimbiwa fedha za ESCROW, EPA na Ufisadi kwenye Taasisi za Serikali ... Police brutality iko wazi, watoto wadogo sana wanapigwa mabomu... Wanatumia virungu na Spanner za Magari kuwapiga wananchi waliotii mamlaka huku real Criminals wakilindwa kwa mtutu wa Bunduki ... EHM Muhongo anafanya nini zaidi ya kuendelea kula bata ughaibuni? ...
Bunge lililopo limekuwa likidharau sana mahakama kwa kuamua kujadili mambo yaliyoko mahakamani.Hizo ni dharau za wazi kwa mahakama.Ushauri wangu ni kuwa wengi wa wabunge wataenda kugombea uchaguzi mwaka huu 2015.Baada ya uchaguzi wabunge wengi ushindi wao hupingwa mahakamani n.k Ninaomba mahakama zijiandae mkao wa kulipa kisasi ili kila mbunge aliyeko sasa akifunguliwa kesi au kufungua kesi kulalamikia matokeo au pingamizi n.k mahakama zihakikishe huyo mbunge aliyefungua kesi au kufunguliwa anashindwa kwenye hiyo kesi.

Na mbunge yeyote akiwa na kesi mahakamani mahakama zihakikishe zinampa ile maximum sentence ya hukumu

Hii ndio njia sahihi ya kuwashikisha adabu hawa wabunge waliopo hili bunge lisilo jali mahakama.
 
Sijui hii mikanganyiko ndani ya Hoja moja itaisha lini.


user-offline.png
Msamiati

Today 10:14

#1


[h=2]
icon1.png
Yanayojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi, January 29, 2015
[/h]


Kama ni Mods wanaunganisha hoja basi kuna haja ya ku -delete kichwa cha habari na kama ni mchezo wa member kunahaja waache tabia hii.



user-online.png
Lizaboni

Today 10:24
#3


[h=2]
icon1.png
Freeman Mbowe alidanganya Bunge na Taifa[/h]


user-online.png
Salary Slip

Today 10:43

#6


[h=2]
icon1.png
Mtarajie haya kutokea leo bungeni[/h]
 
Back
Top Bottom