Ndesalee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 1,092
- 522
Tundulisu leo amesema magali ya polisi yameandikwa PT heti ni Piga Tu.
"Akili za kuambiwa,changanya na zako."
Tundulisu leo amesema magali ya polisi yameandikwa PT heti ni Piga Tu.
Lissu nimetokea kumpenda automatic.
Dah! Asante sana ndugu, nilikuwa sielewagi haya mambo. Escrow ndo ilinileta kwenye siasa, kabla ya hapo, nilikuwa sijali.
Kuna hayawani zaidi ya Mbowe?
Dah! Asante sana ndugu, nilikuwa sielewagi haya mambo. Escrow ndo ilinileta kwenye siasa, kabla ya hapo, nilikuwa sijali.
Sina sababu ya kubishana na weweBaba yako mzazi nae vipi.?
Naona unaishiwa hoja unaleta matusi hapa na viroja.
Ni vema ukawashirikisha wazazi wako kuhusu hii ajira yako ya kutukana JF maana ni kama unawatukana wao.
Kakuingiza Chaka. Mkutano wa 18 tangu JK azindue bunge 2010
Na wapigwe tuSasa naona watu wabunge wa upinzani wanatoa madukuduku yao dhidi ya polisi. Polisi wana wakati mgumu sana.
-Madereva, hawawapendi.
-boda doda, hawawapendi.
-wanafunzi wa chuo, wengi hawawapendi.
-wafanyabiashara ndogo ndogo, wamachinga ndo kabisaaaa.
-nk
Ni hatari.
Na alietoa amri huko juu ni nani??