Sina sababu ya kubishana na wewe
Kuna mstaarabu atakayepoteza muda kubishana na uharo unaoumwaga hapa?
Sina sababu ya kubishana na wewe
naweza kusikiliza redio station gan? give its frequency in Dar.
Wazee wa escrow
kasema tbc1tbc taifa haipo hewani ni uwongo kweli mwenye asili ya uongo ni hatari na ndio maana wanaitwa PANYA ROAD tv radio zipo live na mambo ya bunge
lissu muongo anasema tbc wamekata matangazo nchi nzima ..mbona kwetu hawajakata hata kidogo...
Hata kwangu upo, ila nafikiri kasema radio, sio Tv.
TBC taifa radio wako hewani nawashukuru sana Leo.
Hawawezi kukata matangazo kwani hivyo vombo vya habari ni vyao?
Tunataka jina la alietoa hyo amri
radio iko hewani.
Kimsingi Jeshi la polisi ndo fimbo ya ccm ya kuwachapa wapinzani.Mikakati muhimu ni kuhakikisha sheria inayoliendesha jeshi hili inafanyiwa marekebisho ili iendane na hali iloyopo hivi sasa.
wewe nawe unamavi kichwani?