Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
daz nunda wanaimba wimbo wa nipe tano.nshaingia tayari. mia
Dah hilo SOng nalizimia mnooooo. kweli DAZ NUNDAZ hapo waliptoa pini ya maana mnooooo. VINEGAAAAAAA, chahcusha wafu fm wooote
daz nunda wanaimba wimbo wa nipe tano.nshaingia tayari. mia
Acha ushabiki wewe mi niko leaders nyomi muntarazaki, yaani nyomi imejitoshelezanasikia watu wachache sana lakin bado hawajaanza
Acha ushabiki wewe mi niko leaders nyomi muntarazaki, yaani nyomi imejitosheleza
Nami nipo Uwanjani kumsupport Kamanda Sugu.Kwa kweli watu wamejitahidi kuitikia wito na bado watu wanamiminika kwa wingi.Show yenyewe bado haijaanza bado wako kwenye trela.Leo pia Sugu atazindua KITABU chake Cha Muziki na Maisha,from the street to the Parliament,nikitabu kizuri sana,nilikisoma kidogo nilipokuwa Bungeni,Kinatia moyo wale waliokata tamaa ya kutoka.Kinauzwa sh elfu tano tu.Wahi Nakala yako.
Acha ushabiki wewe mi niko leaders nyomi muntarazaki, yaani nyomi imejitosheleza
Nami nipo Uwanjani kumsupport Kamanda Sugu.Kwa kweli watu wamejitahidi kuitikia wito na bado watu wanamiminika kwa wingi.Show yenyewe bado haijaanza bado wako kwenye trela.Leo pia Sugu atazindua KITABU chake Cha Muziki na Maisha,from the street to the Parliament,nikitabu kizuri sana,nilikisoma kidogo nilipokuwa Bungeni,Kinatia moyo wale waliokata tamaa ya kutoka.Kinauzwa sh elfu tano tu.Wahi Nakala yako.
Dada yangu Regia, swali dogo tu. Madhumuni ya kusoma hicho kitabu ukiwa bungeni ulikuwa na dhamira ya kutoa quotes ndani ya hicho kitabu kwa shughuli za kibunge au ulikuwa unasoma tu kwa sababu kilikuvutia. Najaribu tu kupata uelewa, ni vipi ukisome bungeni wakati unatakiwa kuwa bize na shughuli zilizokupeleka ndani ya mjengo. Hicho kitabu kilikuwa na mchango gani kwenye miswada ilyosomwa kwenye session iliyopita?
I'm not trying to pick on you but am trying to comprehend what's going on in mjengoni.