Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Hii iko kisiasa zaidi, na JF ipo biased. Chadema kwa Sugu, CCM kwa Ruge.
We hukupenda?
Kizuri siku zote hukaa na kizuri kingine!!!
Hii iko kisiasa zaidi, na JF ipo biased. Chadema kwa Sugu, CCM kwa Ruge.
Sugu na vinega kafunika ile mbaya na huu ni mwanzo tu.....tuwape support vinega
Kwahiyo wewe ni muzeeiya!, mijitu mingine hopeless kabisa, sasa stay tune kuanzia week ijayo nitaupload video za ile concert kwenye you tube ili ujuwe kwamba wazalendo walivyoonesha mapenzi kwa wasanii wa nyumbani na halafu nitaupload video ya concert la machoko wa redio ya wafu uwone walivyofunikwa na kupata aibu jana.Wewe ni kinega?
Ndiyo, tena bunge lenyewe lipo ustawi wa jamii, na hoja ni Antivirus with no apology.Duh!! Kajilalie tu. Ndicho kilichowapeleka bungeni hiki
Kwahiyo wewe ni muzeeiya!, mijitu mingine hopeless kabisa, sasa stay tune kuanzia week ijayo nitaupload video za ile concert kwenye you tube ili ujuwe kwamba wazalendo walivyoonesha mapenzi kwa wasanii wa nyumbani na halafu nitaupload video ya concert la machoko wa redio ya wafu uwone walivyofunikwa na kupata aibu jana.
Sisi tuliipenda redio ya wafu ila mungu ameipenda zaidi, na ipumzike kwa amani,.......Wewe ni kinega?
kinyama kulikuwa poa.kulikuwepo redcross,gari la fire, magari ya polisi, mabaunsa, vyakula, sikuona vinywaji vya kwenye chupa labda nilikuta vimeisha. taa za kumwaga, watu walikuwa wamechangamka, kilichonifurahisha ni kitendo cha hyness mbunge wa chadema kucheza miondoko ya hiphop bila kukosea, akishirikiana na mnyika japo mnyika alikuwa na aibu, aliyeniua ni mbowe na salamu yake ya"yooooo.....niaje yooo...!!tupo pamoja sasa nahitaji vinega wachane bila beat(freestyle)kwa lisaa1 kisha tutawanyike".mia