Yametimia: TANESCO yakiri uhaba wa umeme. Kutoa 'Taarifa' watu wapange kazi zao

Duh!, Haya maji yalisubiri Magufuri kutoweka ndio yameanza kupungua?.

Kwa nini tangu tupate uhuru hadi karne hii bado tunategemea mito tu, kwanini tusianze kufikiria uzalishaji wa umeme wa upepo kule kwenye Mkoa kama Singida?, Au sehemu zenye Milima?.. Halafu ile gesi toka Mtwara imeishia wapi?.

Nawashauri mnapoanza kukata umeme kila Mkoa msisahau kufanya biashara zenu za kuuza Majenereta maana kwa sasa ni kama vile ufisadi umeanza kurudi.

JPM alikuwa na mapungufu yake mengi, ila kuna mahali alifanya vizuri.
Dikteta Magufuli alikuwa janga la Taifa! Yeye ndiye aliyesitisha ukamilishaji wa miradi ya umeme wa gesi kutoka Mtwara akaanza kujenga bwawa la Nyerere.

Kwa upumbavu wake amenajisi jina la Nyerere!
 
Nadhani hatimae watu ndo wataelewa...

It's just last week nimehoji mara kadhaa hapa, kama sio 57% ya umeme unaotokana na gesi, nchi ingekuwa katika hali gani wakati umeme wa maji ni ONLY around 36%?!

Kiukame kidogo tu, tushaanza kutafutana...

Huku Misukule ikikazana kwamba, kwavile kuna Bwawa la Nyerere linajengwa basi ku-explore vyanzo vingine vya umeme ni kutaka kumhujumu JPM ili ionekane Mradi wa Bwawa la Nyerere haufai!!

Tuna taifa lenye viumbe wa ajabu sana...
Muhongo alijaribu kule bungeni kutoa shule juu ya umeme wa maji kutokuwa endelevu, lakini Ndugai na wajinga wenzie akina Kibajaji na Msukuma wakapinga, na kushabikia uwendawazimu.

Umeme wa maji siyo sustainable. Tunazidi kupoteza fedha kufuata mawazo wa wajinga.

Pesa iliyoingizwa kwenye hilo bwawa tungepeleka kwenye gas na makaa ya mawe, tungekuwa tumepiga hatua kubwa.
 
Maji ni seasonal so kuna msimu yanapungua ndani ya mwaka hilo halina ubishi.

Lakini mabwawa ya vituo vya kufua umeme yanauwezo wa kutunza maji kwa zaidi ya mwaka.

Knowing it’s a JIC buffer system watu wanasubiri msimu wa mvua upite wanafungulia mabwawa na kutengeneza artificial shortage mpaka mvua zije tena.

Mtanikumbuka JPM
Acha uongo hapa, kuna bwawa gani hapa nchini linaloweza kutunza maji zaidi ya mwaka?
 
Muhongo alijaribu kule bungeni kutoa shule juu ya umeme wa maji kutokuwa endelevu, lakini Ndugai na wajinga wenzie akina Kibajaji na Msukuma wakapinga, na kushabikia uwendawazimu.

Umeme wa maji siyo sustainable. Tunazidi kupoteza fedha kufuata mawazo wa wajinga.

Pesa iliyoingizwa kwenye hilo bwawa tungepeleka kwenye gas na makaa ya mawe, tungekuwa tumepiga hatua kubwa.
Tatizo la Prof Muhongo ni mpigaji mno. Kwa hiyo hata akiwa na point muhimu watu wanaikataa wanajua watapigwa fedha kwrnye huo mradi
 
Nadhani hatimae watu ndo wataelewa...

It's just last week nimehoji mara kadhaa hapa, kama sio 57% ya umeme unaotokana na gesi, nchi ingekuwa katika hali gani wakati umeme wa maji ni ONLY around 36%?!

Kiukame kidogo tu, tushaanza kutafutana...

Huku Misukule ikikazana kwamba, kwavile kuna Bwawa la Nyerere linajengwa basi ku-explore vyanzo vingine vya umeme ni kutaka kumhujumu JPM ili ionekane Mradi wa Bwawa la Nyerere haufai!!

Tuna taifa lenye viumbe wa ajabu sana...
Wewe ndio msukule!

Toka jana nakuuliza tuoneshe ni nani anasema hataki kuanzishwa kwa chanzo kingine cha nishati kwa sababu ya bwawa mbona hutaki kutuonesha?
 
kama uliendesha gari lako bila service kuna siku litakuzimikia barabarani - ndiyo hivi sasa !! tulia ukweli uzungumzwe. Makamba na Tanesco wapo sahihi, miaka 5 no service ya mitambo unategemea nini hapo? washa, washaa, washa sasa matokeo yake ndiyo haya.
Ccm huwa inawafinyanga inavyotaka sababu ya wapumbavu kama wewe!

Nadhani hata Lisu akisoma hii coment yako atatamani kutapika
 
Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao

View attachment 2015253
Wewe Nipo huru, embu lete nyago huku, ujionee mgao wa umeme. Mkiwa mnaambiwa vitu au kuelekezwa vitu msijifanye kushupaza shingo. Kuja ujionee madudu yenu ulokuwa unayetetea jana, kwenye uzi wa biashara za majenerator na Solar kupamba moto.
 
Kama hayo anayosema Zito ni kweli basi Jiwe alikuwa mtu wa fix sana - katudanganya mambo mengi makubwa hasa hili la umeme, Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo hadi kufikia hatua kuuita mradi huo hata mwendawazimu hawezi kuukubali, akatudanganya kuhusu Covid kwamba ni vi-mafua mfua - ila vimafua vikamfanyizia...

Aisee, bac sawa tumejifunza !! wacha tuhangaike na hii migawo 2, maji na umeme kwa pamoja na joto hili la dar aisee !!
Kabla ya jiwe vipi hali ya upatikanaji wa umeme ilikuwaje? Kipindi chake hali ilikuwaje? Baada ya yeye kuondoka hali ikoje?

Muda ni mwalimu mzuri sana!
Uzuri wanaomfagilia Makamba sasa hivi ni wapinzani
 
An aimed shortage to allow investors!

Upuuzi huu unarejea kwa kasi sana, JPM alikuwa mfuatiliaji na alihitaji sababu za kueleweka kwa mambo kama haya.

Wanaosema kuwa enzi za JPM hakukuwa na ukarabati wa mitambo, niwaulize kuwa; hii mitambo ilisubiri JPM aondoke na Kalemani aondolewe madarakani ndipo ianze kuzima?

Mwanzoni makamba alisema ni "Maintenance" tu, mbona wamesema tena maji yamepungua?


Mnarudishwa kwenye enzi za mateso kuliko hata mwendazake
 
Kifupi sio magufuli wala Samia wala Kikwete ndio chanzo cha haya yote!
Tukubali mabadiliko ya hali ya hewa yanachangia kwa kiasi kikubwa.
Lakini sera za nchi yetu bado ni za hovyo sana, na uhakika ni kwamba kama tuliendelea hivi tutasherehekea miaka 60 mingine ya uhuru hali ikiwa hivi.
 
Back
Top Bottom