babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,110
- 16,006
Kapewa kazi kuubwa ambayo hata ashikiwe fimbo haweziMakamba, January Makamba. Shirika hili unaliweza?
Kapewa kazi kuubwa ambayo hata ashikiwe fimbo haweziMakamba, January Makamba. Shirika hili unaliweza?
Wewe endelea kusubiri kudanganywa na wanasiasa bila kuhoji...taarifa ya awali waliyoitoa unaifahamu??Kwahiyo Magufuli angezuia maji kupungua!!? Tushajua unakoelekea hivyo tuna kupuuza.
Halotel imemshinda na ni kampuni yake sembuse Tanesco?Kapewa kazi kuubwa ambayo hata ashikiwe fimbo hawezi
Dikteta Magufuli alikuwa janga la Taifa! Yeye ndiye aliyesitisha ukamilishaji wa miradi ya umeme wa gesi kutoka Mtwara akaanza kujenga bwawa la Nyerere.Duh!, Haya maji yalisubiri Magufuri kutoweka ndio yameanza kupungua?.
Kwa nini tangu tupate uhuru hadi karne hii bado tunategemea mito tu, kwanini tusianze kufikiria uzalishaji wa umeme wa upepo kule kwenye Mkoa kama Singida?, Au sehemu zenye Milima?.. Halafu ile gesi toka Mtwara imeishia wapi?.
Nawashauri mnapoanza kukata umeme kila Mkoa msisahau kufanya biashara zenu za kuuza Majenereta maana kwa sasa ni kama vile ufisadi umeanza kurudi.
JPM alikuwa na mapungufu yake mengi, ila kuna mahali alifanya vizuri.
Ukiona zito kabwe anakusifia ujue siku yako ya kufa imekaribiaHuyo zito ni taahira! Anachojali yeye kumtetea mama hata kwenye ujinga! Huyu kwamza ana udini na mnafiki mkubwa!
Muhongo alijaribu kule bungeni kutoa shule juu ya umeme wa maji kutokuwa endelevu, lakini Ndugai na wajinga wenzie akina Kibajaji na Msukuma wakapinga, na kushabikia uwendawazimu.Nadhani hatimae watu ndo wataelewa...
It's just last week nimehoji mara kadhaa hapa, kama sio 57% ya umeme unaotokana na gesi, nchi ingekuwa katika hali gani wakati umeme wa maji ni ONLY around 36%?!
Kiukame kidogo tu, tushaanza kutafutana...
Huku Misukule ikikazana kwamba, kwavile kuna Bwawa la Nyerere linajengwa basi ku-explore vyanzo vingine vya umeme ni kutaka kumhujumu JPM ili ionekane Mradi wa Bwawa la Nyerere haufai!!
Tuna taifa lenye viumbe wa ajabu sana...
Unaulliza embe kibanda wapigaji wanalidi hii ndo TanzaniaHi isije ikawa ni mbinu za kuwaludisha kina singa singa kwenye harakati za upigaji,
Acha uongo hapa, kuna bwawa gani hapa nchini linaloweza kutunza maji zaidi ya mwaka?Maji ni seasonal so kuna msimu yanapungua ndani ya mwaka hilo halina ubishi.
Lakini mabwawa ya vituo vya kufua umeme yanauwezo wa kutunza maji kwa zaidi ya mwaka.
Knowing it’s a JIC buffer system watu wanasubiri msimu wa mvua upite wanafungulia mabwawa na kutengeneza artificial shortage mpaka mvua zije tena.
Mtanikumbuka JPM
Tatizo la Prof Muhongo ni mpigaji mno. Kwa hiyo hata akiwa na point muhimu watu wanaikataa wanajua watapigwa fedha kwrnye huo mradiMuhongo alijaribu kule bungeni kutoa shule juu ya umeme wa maji kutokuwa endelevu, lakini Ndugai na wajinga wenzie akina Kibajaji na Msukuma wakapinga, na kushabikia uwendawazimu.
Umeme wa maji siyo sustainable. Tunazidi kupoteza fedha kufuata mawazo wa wajinga.
Pesa iliyoingizwa kwenye hilo bwawa tungepeleka kwenye gas na makaa ya mawe, tungekuwa tumepiga hatua kubwa.
Wewe ndio msukule!Nadhani hatimae watu ndo wataelewa...
It's just last week nimehoji mara kadhaa hapa, kama sio 57% ya umeme unaotokana na gesi, nchi ingekuwa katika hali gani wakati umeme wa maji ni ONLY around 36%?!
Kiukame kidogo tu, tushaanza kutafutana...
Huku Misukule ikikazana kwamba, kwavile kuna Bwawa la Nyerere linajengwa basi ku-explore vyanzo vingine vya umeme ni kutaka kumhujumu JPM ili ionekane Mradi wa Bwawa la Nyerere haufai!!
Tuna taifa lenye viumbe wa ajabu sana...
Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao
View attachment 2015253
PiganeniWewe ndio msukule!
Toka jana nakuuliza tuoneshe ni nani anasema hataki kuanzishwa kwa chanzo kingine cha nishati kwa sababu ya bwawa mbona hutaki kutuonesha?
Mimba yake bado inakusumbua!Dikteta Magufuli alikuwa janga la Taifa! Yeye ndiye aliyesitisha ukamilishaji wa miradi ya umeme wa gesi kutoka Mtwara akaanza kujenga bwawa la Nyerere.
Kwa upumbavu wake anenajisi jina la Nyerere!
Ccm huwa inawafinyanga inavyotaka sababu ya wapumbavu kama wewe!kama uliendesha gari lako bila service kuna siku litakuzimikia barabarani - ndiyo hivi sasa !! tulia ukweli uzungumzwe. Makamba na Tanesco wapo sahihi, miaka 5 no service ya mitambo unategemea nini hapo? washa, washaa, washa sasa matokeo yake ndiyo haya.
Wewe Nipo huru, embu lete nyago huku, ujionee mgao wa umeme. Mkiwa mnaambiwa vitu au kuelekezwa vitu msijifanye kushupaza shingo. Kuja ujionee madudu yenu ulokuwa unayetetea jana, kwenye uzi wa biashara za majenerator na Solar kupamba moto.Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao
View attachment 2015253
Kabla ya jiwe vipi hali ya upatikanaji wa umeme ilikuwaje? Kipindi chake hali ilikuwaje? Baada ya yeye kuondoka hali ikoje?Kama hayo anayosema Zito ni kweli basi Jiwe alikuwa mtu wa fix sana - katudanganya mambo mengi makubwa hasa hili la umeme, Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo hadi kufikia hatua kuuita mradi huo hata mwendawazimu hawezi kuukubali, akatudanganya kuhusu Covid kwamba ni vi-mafua mfua - ila vimafua vikamfanyizia...
Aisee, bac sawa tumejifunza !! wacha tuhangaike na hii migawo 2, maji na umeme kwa pamoja na joto hili la dar aisee !!
Tuliambiwa kuwa kuna ziada ya megawat 200 na zaidi, je hilo bwawa linatao mgwt ngapi?Kwahiyo Magufuli angezuia maji kupungua!!? Tushajua unakoelekea hivyo tuna kupuuza.