Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,327
- 8,243
Mkuu umekosea sana, hao viongozi wetu hawana uwezo basi tu. Wanadanganya kila kitu. Kwa mwaka mzima ni lazima maji yapungue hasa msimu ambao mvua hazipo lakini haiwezi kuwa sababu ya kukatika kwa umeme wala kukosekana kwa maji. Na hii evidence tumeiona kuanzia mwaka 2015 Hadi 2021 Mwezi wa kumi. Ni range ya miaka mitano. Hiyo probability haiwezi kubadirika kwasababu katika hiyo miaka mitano kuna misimu hapo maji yalikua yanapungua lakini hatukuona umeme wala maji yakikatika.Nadhani kama usingekuwa mwandika ujinga, ungejadili hoja ya nilichoandika!!
Lakini siwezi kushangaa...
Hata tukisema tufanye utafiti kwa kutumia data za Tanesco tutagundua kabisa hii model haiwezi kubadilika kwa jinsi tulivyokua tumejipanga na tulivyokua tunaendelea. 🤪🤪🤪🤪🤪Nadhani umenielewa nini namaanisha. Kuna vitu vya kutetea ila sio swala la umeme na maji na ukizingatia joto limeongezeka. Joto likiongezeka rafiki yetu ni maji na umeme.