Yamenikuta mwenzenu. Ushauri tafadhali

Yamenikuta mwenzenu. Ushauri tafadhali

Nimesoma yote sasa ulichomshauri hapo juu ni kipi nani amekwambia nimekurupuka naisi wewe una shida mahali jichunguze, huenda na wewe ni mdau wa hizo mambo, ushauri UPI umempa mwenzio badilika unapotokea ujinga lazima tukemee.
Rudi kasome tena, inainesha ubongo wako mzito Sana kuelewa! Kilaza kweli ww, mbna Mambo rahis tu Aya hayahitaji Phd kueleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa n fala kichizi, ivi kwa akili yako unawaza kuwa tutakushauri uue kiumbe kisicho na hatia? We kama Unajua umeoa ulkuwa unamchezea binti wa kaz gani?

Nyie ndo mnaleta machukizo mbele za Mungu ndo maana anaamua kutuadhibu kwa magonjwa makubwa kama corona!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudi kasome tena, inainesha ubongo wako mzito Sana kuelewa! Kilaza kweli ww, mbna Mambo rahis tu Aya hayahitaji Phd kueleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo wale wale tu huenda waliokunywa uji wa mgonjwa unaisi ukitukana ndo utaniweza au, matusi hayaniongezei au kunipunguxia chochote maana nishajua naongea na mtu gani. Tena unashauri kifua mbele eti hays mambo Kwa Mwanaume ni kawaida unahalisha uchafu
 
Mungu anakuona mkuu yaani baada ya mambo kuharibika ndyo unakumbuka kama una ndoa eeh?, tena binti mdogo 19 yrs unambatiza jina la usingle mother dah.kwanini usitulie na familia yako?

Mlee huyo binti wa watu ikibidi oa kabisa mke wa pili
 
Nimefungua nikafikiri kuna kitu cha maana kumbe upuuzi tu!
Usaliti, zinaa, abortion.... devil at work
 
Mkuu umenena kwa machungu sana na unajua maana ya P2 safi nimekuelewa tamaa sio nzur ila mshaur alee tu mimba kunaraha yake bint akizaa mapema japo ni risk nyng


Sent from my iPhone using JamiiForums
P2 aliwahi kutumia nlimshtukia mapema ,ila hii naona kaamua kabisa kutega
 
Wakuu salam kwenu

Poleni kwa Covid-19

Ngoja niwape mkasa niliona nao kwa sasa

Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 niliingia kwenye mahusiano na binti fulani ambaye kwa sasa ana miaka 19

Nimetoka na huyu binti tangu mwaka Jana hadi sasa ,ni mwanachuo ila kwa sasa keshamaliza yupo field

Sasa hivi majuzi kaniambia ana mimba ,mi nikamkatalia ila kasisitiza sana mimba ni Yangu

Nikamwambia mi nina familia ya watoto wawili na mke ingawa tunaishi mbalimbali

Nikamwambia hiyo mimba inabidi itolewe (hapa mnisamehe tu najua watu mtanitukana) kwa sababu sijajiandaa kulea mtoto yoyote kwa sasa na isitoshe hatukupanga kuzaa mtoto Mimi na wewe so mimba itolewe angali changa

Binti kagoma, na isitoshe haoneshi ushirikiano wowote, kiukweli nashindwa kumwelewa huyu binti ananitafuta nini?

Nipeni ushauri jamani nifanyaje manake naona atakuja kuniletea msala tu mbeleni.
Mkuu binti wa miaka 19 ameshamaliza chuo? Au alimaliza form 4 then akasoma certificate?
 
Wakuu salam kwenu

Poleni kwa Covid-19

Ngoja niwape mkasa niliona nao kwa sasa

Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 niliingia kwenye mahusiano na binti fulani ambaye kwa sasa ana miaka 19

Nimetoka na huyu binti tangu mwaka Jana hadi sasa ,ni mwanachuo ila kwa sasa keshamaliza yupo field

Sasa hivi majuzi kaniambia ana mimba ,mi nikamkatalia ila kasisitiza sana mimba ni Yangu

Nikamwambia mi nina familia ya watoto wawili na mke ingawa tunaishi mbalimbali

Nikamwambia hiyo mimba inabidi itolewe (hapa mnisamehe tu najua watu mtanitukana) kwa sababu sijajiandaa kulea mtoto yoyote kwa sasa na isitoshe hatukupanga kuzaa mtoto Mimi na wewe so mimba itolewe angali changa

Binti kagoma, na isitoshe haoneshi ushirikiano wowote, kiukweli nashindwa kumwelewa huyu binti ananitafuta nini?

Nipeni ushauri jamani nifanyaje manake naona atakuja kuniletea msala tu mbeleni.
Kwani mke umemuowa kabla au baada ya mimba?
 
Tatizo dogo hilo,amwandalie bajeti ndogo ya uzazi na kulea inatosha..ila asihishi na huyo binti...watoto ni hazina hapo uzeeni.Kataa maradhi ila usikatae mtoto
Khaa, mimi nilikuwa nakazia pale aliposema "kwa vile mkeo yuko mbali ndiyo uchepuke" ndiyo maana nikakuita maana wewe...
 
Khaa, mimi nilikuwa nakazia pale aliposema "kwa vile mkeo yuko mbali ndiyo uchepuke" ndiyo maana nikakuita maana wewe...
Mkuu si unajua protein ikijaa,inatakiwa itoke ili itengenezwe nyingine?sasa kama mwenza wako yuko mbali utafanyaje?inabidi kuangalia njia mbadala...bila kuipunguza inaathiri ubongo,ndio maana kuna wengine ni wakubwa ila wanakuwa na mambo ya kitoto hiyo inatokana na madhara ya kutokuipunguza.
 
Pole sana mkuu, hivi mnapataje uthubutu wa kutoka na vibinti vidogo hivyo???
 
Wakuu salam kwenu

Poleni kwa Covid-19

Ngoja niwape mkasa niliona nao kwa sasa

Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 niliingia kwenye mahusiano na binti fulani ambaye kwa sasa ana miaka 19

Nimetoka na huyu binti tangu mwaka Jana hadi sasa ,ni mwanachuo ila kwa sasa keshamaliza yupo field

Sasa hivi majuzi kaniambia ana mimba ,mi nikamkatalia ila kasisitiza sana mimba ni Yangu

Nikamwambia mi nina familia ya watoto wawili na mke ingawa tunaishi mbalimbali

Nikamwambia hiyo mimba inabidi itolewe (hapa mnisamehe tu najua watu mtanitukana) kwa sababu sijajiandaa kulea mtoto yoyote kwa sasa na isitoshe hatukupanga kuzaa mtoto Mimi na wewe so mimba itolewe angali changa

Binti kagoma, na isitoshe haoneshi ushirikiano wowote, kiukweli nashindwa kumwelewa huyu binti ananitafuta nini?

Nipeni ushauri jamani nifanyaje manake naona atakuja kuniletea msala tu mbeleni.
Ulikua unapanda mbegu ulitegemea zisiote?,hili pambana nalo mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mechi uuze mwenyewe ushauri uutafute kwetu,pambana na hali yako,jiandae kulea
 
Back
Top Bottom