Human Papiloma Virus
Member
- May 20, 2017
- 73
- 166
Wakuu salam kwenu
Poleni kwa Covid-19
Ngoja niwape mkasa niliona nao kwa sasa
Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 niliingia kwenye mahusiano na binti fulani ambaye kwa sasa ana miaka 19
Nimetoka na huyu binti tangu mwaka Jana hadi sasa ,ni mwanachuo ila kwa sasa keshamaliza yupo field
Sasa hivi majuzi kaniambia ana mimba ,mi nikamkatalia ila kasisitiza sana mimba ni Yangu
Nikamwambia mi nina familia ya watoto wawili na mke ingawa tunaishi mbalimbali
Nikamwambia hiyo mimba inabidi itolewe (hapa mnisamehe tu najua watu mtanitukana) kwa sababu sijajiandaa kulea mtoto yoyote kwa sasa na isitoshe hatukupanga kuzaa mtoto Mimi na wewe so mimba itolewe angali changa
Binti kagoma, na isitoshe haoneshi ushirikiano wowote, kiukweli nashindwa kumwelewa huyu binti ananitafuta nini?
Nipeni ushauri jamani nifanyaje manake naona atakuja kuniletea msala tu mbeleni.
-------------------------------------------------------------
UPDATE
-------------------------------------------------------------
BINTI KAKUBALI YAISHE ,AMETOA
Baada ya binti kumshawishi aitoe mimba ambayo hatukuitarajia na akagoma
Niliamua kuachana nae,ila juzi nimekaa zangu home kanitumia msg amekubali aitoe kwa sababu ana wasi wasi kwao watamzingua
Nikamwambia poa ,tukakutana hotelin nikachukua room
Mtoto katumia dawa ndani ya masaa mawili mimba ikatoka na sasa anaendelea vizuri buheri was afya
ONYO: Wanaume wenzangu tuache/tupunguze michepuko na tuangalie wanawake wa kudate nao
Pia tujitahidi kukojolea nje kama tumeshindwa kutumia condom.
Poleni kwa Covid-19
Ngoja niwape mkasa niliona nao kwa sasa
Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 niliingia kwenye mahusiano na binti fulani ambaye kwa sasa ana miaka 19
Nimetoka na huyu binti tangu mwaka Jana hadi sasa ,ni mwanachuo ila kwa sasa keshamaliza yupo field
Sasa hivi majuzi kaniambia ana mimba ,mi nikamkatalia ila kasisitiza sana mimba ni Yangu
Nikamwambia mi nina familia ya watoto wawili na mke ingawa tunaishi mbalimbali
Nikamwambia hiyo mimba inabidi itolewe (hapa mnisamehe tu najua watu mtanitukana) kwa sababu sijajiandaa kulea mtoto yoyote kwa sasa na isitoshe hatukupanga kuzaa mtoto Mimi na wewe so mimba itolewe angali changa
Binti kagoma, na isitoshe haoneshi ushirikiano wowote, kiukweli nashindwa kumwelewa huyu binti ananitafuta nini?
Nipeni ushauri jamani nifanyaje manake naona atakuja kuniletea msala tu mbeleni.
-------------------------------------------------------------
UPDATE
-------------------------------------------------------------
BINTI KAKUBALI YAISHE ,AMETOA
Baada ya binti kumshawishi aitoe mimba ambayo hatukuitarajia na akagoma
Niliamua kuachana nae,ila juzi nimekaa zangu home kanitumia msg amekubali aitoe kwa sababu ana wasi wasi kwao watamzingua
Nikamwambia poa ,tukakutana hotelin nikachukua room
Mtoto katumia dawa ndani ya masaa mawili mimba ikatoka na sasa anaendelea vizuri buheri was afya
ONYO: Wanaume wenzangu tuache/tupunguze michepuko na tuangalie wanawake wa kudate nao
Pia tujitahidi kukojolea nje kama tumeshindwa kutumia condom.