Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
😆😆😆Yani kaniudhi kanitia hasira mnooo. Limeshidwa hata kutumia condom fafa sana hili jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
😆😆😆Yani kaniudhi kanitia hasira mnooo. Limeshidwa hata kutumia condom fafa sana hili jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami nangoja jibuHold on, Wema sepetu ni mgumba?
Mr TerminatorWakuu salam kwenu
Poleni kwa Covid-19
Ngoja niwape mkasa niliona nao kwa sasa
Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 niliingia kwenye mahusiano na binti fulani ambaye kwa sasa ana miaka 19
Nimetoka na huyu binti tangu mwaka Jana hadi sasa ,ni mwanachuo ila kwa sasa keshamaliza yupo field
Sasa hivi majuzi kaniambia ana mimba ,mi nikamkatalia ila kasisitiza sana mimba ni Yangu
Nikamwambia mi nina familia ya watoto wawili na mke ingawa tunaishi mbalimbali
Nikamwambia hiyo mimba inabidi itolewe (hapa mnisamehe tu najua watu mtanitukana) kwa sababu sijajiandaa kulea mtoto yoyote kwa sasa na isitoshe hatukupanga kuzaa mtoto Mimi na wewe so mimba itolewe angali changa
Binti kagoma ,na isitoshe haoneshi ushirikiano wowote ,kiukweli nashindwa kumwelewa huyu binti ananitafuta nini?
Nipeni ushauri jamani nifanyaje manake naona atakuja kuniletea msala tu mbeleni.
Mimi situmii condom ila namwaga njeYani kaniudhi kanitia hasira mnooo. Limeshidwa hata kutumia condom fafa sana hili jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hivyo bro lea mimba binti azae tuu.Wakuu salam kwenu
Poleni kwa Covid-19
Ngoja niwape mkasa niliona nao kwa sasa
Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 niliingia kwenye mahusiano na binti fulani ambaye kwa sasa ana miaka 19
Nimetoka na huyu binti tangu mwaka Jana hadi sasa ,ni mwanachuo ila kwa sasa keshamaliza yupo field
Sasa hivi majuzi kaniambia ana mimba ,mi nikamkatalia ila kasisitiza sana mimba ni Yangu
Nikamwambia mi nina familia ya watoto wawili na mke ingawa tunaishi mbalimbali
Nikamwambia hiyo mimba inabidi itolewe (hapa mnisamehe tu najua watu mtanitukana) kwa sababu sijajiandaa kulea mtoto yoyote kwa sasa na isitoshe hatukupanga kuzaa mtoto Mimi na wewe so mimba itolewe angali changa
Binti kagoma ,na isitoshe haoneshi ushirikiano wowote ,kiukweli nashindwa kumwelewa huyu binti ananitafuta nini?
Nipeni ushauri jamani nifanyaje manake naona atakuja kuniletea msala tu mbeleni.
If he takes the second option he'll never know peace in his life. This sin will haunt him to his grave!!Mr Terminator
U have two options...
Swallow ur pride and ur dirty mipango ya kando... Get a sucker punch and raise the kid
Be an asshole, pretend like u don't care, mind ur business she will take care od herself
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu salam kwenu
Poleni kwa Covid-19
Ngoja niwape mkasa niliona nao kwa sasa
Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 niliingia kwenye mahusiano na binti fulani ambaye kwa sasa ana miaka 19
Nimetoka na huyu binti tangu mwaka Jana hadi sasa ,ni mwanachuo ila kwa sasa keshamaliza yupo field
Sasa hivi majuzi kaniambia ana mimba ,mi nikamkatalia ila kasisitiza sana mimba ni Yangu
Nikamwambia mi nina familia ya watoto wawili na mke ingawa tunaishi mbalimbali
Nikamwambia hiyo mimba inabidi itolewe (hapa mnisamehe tu najua watu mtanitukana) kwa sababu sijajiandaa kulea mtoto yoyote kwa sasa na isitoshe hatukupanga kuzaa mtoto Mimi na wewe so mimba itolewe angali changa
Binti kagoma ,na isitoshe haoneshi ushirikiano wowote ,kiukweli nashindwa kumwelewa huyu binti ananitafuta nini?
Nipeni ushauri jamani nifanyaje manake naona atakuja kuniletea msala tu mbeleni.
Nimempima ipoHyo mimba ulimpima au uliambiwa kwenye simu?
Muite jiridhishe kwanza kama anayo then hayo mengne ya kishetan unayoyawaza yafuatie..
Sent using Jamii Forums mobile app
haraka haraka bila kufikiria sana nimeona huyo bint ana akili sana kukuzidi wewe, sijui unawezaje kulea hiyo familia uliyonayo mkuu!Binti kagoma ,na isitoshe haoneshi ushirikiano wowote ,kiukweli nashindwa kumwelewa huyu binti ananitafuta nini?
Then lea mtoto au ugeuke Muhujumu uchumi maana kuna sehem nilisoma ukitoa mimba ni sawa na uhujumu uchumiNimempima ipo