Kibwengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 6,838
- 5,294
Wasichana wa miaka 22 hadi 26 wengi wanashika na kutoa mimba kuliko unavyo dhania.Imagine una date katoto ka 19 yrs, ni aibu mnooooo, at least kama ni lazima kwako basi ungedate hata na 23,24,25 wanakuwa wamepevuka akili hata kuzuia mimba wanajuwa
Asante mkuuHoooooh mpaka nimeshusha pumzi Kwa huzuni, Bora usingeleta huu uzi( upupu wako) humu Mjnga kabisa wewe, afu umejihami kabisa hapo kuwa unajua kuwa wengi watakutukana jiulize kwann? na hiii iwe mfano Kwa wengine(wenye akili kama zako)
Na Kila Siku huwa nasema Watu wengi hawajui Ndoa ni nn, Wanakurupuka na wengine hushabikia ujinga kutafuta mwenzi mtandaoni bila kumjua mtu vizuri haya ndo matokeo yake.
Sijui tu tutaishia wap kuna single mother wengi mnoo mitaani je, unajua sababu ni nn? Wewe mtoa mada kama unataka kuua kiumbe kisichokuwa na hatia, jiuwe wewe kama ni vizuri usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwingine.
Na kumbuka malipo ni hapa hapa Duniani mjinga mkubwa wewe.
Asante mkuu,comment yako imenitia nguvu sanaPole kwa changamoto mkuu (as you call yourself"janga") hiyo isijuchanganye sana kichwa, kwa wanaume wengi ni kawaida na unatokea Sana tu kuchepuka hasa mwenzi wako anapokua mbali, Cha msingi jidhihirishe Kwanza kama ana mimba au anakutishia nyau huenda hata anataka kukupa presha tu au kukupiga hela ukizingatia kwass Yuko field (mbali naww) maan haiwezekani tatzo limetokea baina yenu afu yy ndo awe karelax as if nothing bad happened ukizingatia yy ndo muhanga mkuu na maamuzi yako kwako eidha umjali kwa kuksaudia au umtelekeze aangaike nayo (though sio poa)! So, fanya kumtishia tu kwamba hauna mpango nae endapo hata fanya unavotaka wew afu uone reaction yake (inabd unkazie kwel kuonesha how serious you are on such issue) then ikiwa kweli anayo bas muache tu azae Mambo yatajiset huko mbali na kilakitu kitakua okay, wew sio wa Kwanza wala hauta kuwa wa mwisho kuchepuka adi kuvuna matunda! Pole& Hongera mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga huu sijui utawaisha lini, Ivi unajua stress ukipata Mwanamke mwenye mimba INA sababisha effect mpaka Kwa mtoto?Pole kwa changamoto mkuu (as you call yourself"janga") hiyo isijuchanganye sana kichwa, kwa wanaume wengi ni kawaida na unatokea Sana tu kuchepuka hasa mwenzi wako anapokua mbali, Cha msingi jidhihirishe Kwanza kama ana mimba au anakutishia nyau huenda hata anataka kukupa presha tu au kukupiga hela ukizingatia kwass Yuko field (mbali naww) maan haiwezekani tatzo limetokea baina yenu afu yy ndo awe karelax as if nothing bad happened ukizingatia yy ndo muhanga mkuu na maamuzi yako kwako eidha umjali kwa kuksaudia au umtelekeze aangaike nayo (though sio poa)! So, fanya kumtishia tu kwamba hauna mpango nae endapo hata fanya unavotaka wew afu uone reaction yake (inabd unkazie kwel kuonesha how serious you are on such issue) then ikiwa kweli anayo bas muache tu azae Mambo yatajiset huko mbali na kilakitu kitakua okay, wew sio wa Kwanza wala hauta kuwa wa mwisho kuchepuka adi kuvuna matunda! Pole& Hongera mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
You took advantage of the poor 19 year old girl. Yawezekana ulimuona mkubwa ila hajakomaa kiasi cha kufanya maamuzi makubwa.Yawezekana hakua na uhuru wa kukwambia utumie condom au hakujua kuna P2...probably you controlled her.
Ulishindwa kupata mtu saizi yako ukaenda mparamia mtoto wa watu???
Kwa utu uzima huo wa mke na watoto wa wawili ulifikiri kwa huyo binti unamwaga uji au maji??? Uliona ubahili kununua condom???
1. I hate abortion but akikubali shukuru sana and make sure you take her to the best medics usimtie ulemavu na majuto ya baadae mtoto wa watu kwa tamaa zako make sure anapata huduma nzuri.
2. Akishikilia msimamo wa kutunza mimba na kuzaa pia m-support kwasabu utakua umevuruga ramani yake ya maisha....hata kama ataendelea na masomo ila utakua umetia doa kwenye maisha yake.
3. I hope she has a strict family that will stand by her and support her.A family that will also take legal measures againts you ikibidi upigwe mvua za kutosha kwa ujinga wako.
4. Katika hao wanao wawili I hope una binti ambae by the time anafikisha miaka 17 libazazi lingine lijisevie na wewe uone machungu na ugumu wa kuharibiwa mtoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wa bure kwako "Soma kwa kutulia uelewe kilichoandikwa" acha kukurupuka unaposoma kwa sentence moja! Maliza paragraph nzima ndo ujue ujib nn 'jinga' kabsa wwUjinga huu sijui utawaisha lini, Ivi unajua stress ukipata Mwanamke mwenye mimba INA sababisha effect mpaka Kwa mtoto?
Eti una mshauri ajifanye kama ana mkataa? Upupu umeandika,ukiona ushauri kama huu basi na wewe ushafanya ujinga huu. Ni mda kujifunza Kwa huyu jamaa na kujifunza kuwa waaminifu
Nimesoma yote sasa ulichomshauri hapo juu ni kipi nani amekwambia nimekurupuka naisi wewe una shida mahali jichunguze, huenda na wewe ni mdau wa hizo mambo, ushauri UPI umempa mwenzio badilika unapotokea ujinga lazima tukemee.Ushauri wa bure kwako "Soma kwa kutulia uelewe kilichoandikwa" acha kukurupuka unaposoma kwa sentence moja! Maliza paragraph nzima ndo ujue ujib nn 'jinga' kabsa ww
Sent using Jamii Forums mobile app