Yamenikuta mwenzenu. Ushauri tafadhali

Yamenikuta mwenzenu. Ushauri tafadhali

Wakuu salam kwenu

Poleni kwa Covid-19

Ngoja niwape mkasa niliona nao kwa sasa

Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 niliingia kwenye mahusiano na binti fulani ambaye kwa sasa ana miaka 19

Nimetoka na huyu binti tangu mwaka Jana hadi sasa ,ni mwanachuo ila kwa sasa keshamaliza yupo field

Sasa hivi majuzi kaniambia ana mimba ,mi nikamkatalia ila kasisitiza sana mimba ni Yangu

Nikamwambia mi nina familia ya watoto wawili na mke ingawa tunaishi mbalimbali

Nikamwambia hiyo mimba inabidi itolewe (hapa mnisamehe tu najua watu mtanitukana) kwa sababu sijajiandaa kulea mtoto yoyote kwa sasa na isitoshe hatukupanga kuzaa mtoto Mimi na wewe so mimba itolewe angali changa

Binti kagoma, na isitoshe haoneshi ushirikiano wowote, kiukweli nashindwa kumwelewa huyu binti ananitafuta nini?

Nipeni ushauri jamani nifanyaje manake naona atakuja kuniletea msala tu mbeleni.
Huna akili ndio maana unajiita HPV,!! Siwezi kushauri uue! Never ever! I am so glad mwanangu sasa ni mkubwa na amekua faraja kubwa sana kama ningekubali like wazo la kutoa mimba leo hii ningekua sina mtu wa kuongea nae, nisingekua na mtu wa kucheka nae, nisingekua na mshauri! Usifanye huo ujinga, mtoto ni baraka njoo PM nikupe ushuhuda.
 
Wewe unaona atakuletea msala ila wewe huoni kama ushamletea msala na unataka kumletea msala unaoweza kupelekea hata kifo chake wakati wewe ukipitisha makende yako mtaani na kuandika R.I.P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna akili ndio maana unajiita HPV,!! Siwezi kushauri uue! Never ever! I am so glad mwanangu sasa ni mkubwa na amekua faraja kubwa sana kama ningekubali like wazo la kutoa mimba leo hii ningekua sina mtu wa kuongea nae, nisingekua na mtu wa kucheka nae, nisingekua na mshauri! Usifanye huo ujinga, mtoto ni baraka njoo PM nikupe ushuhuda.
Shuhudia hapa wote tufaidi.
 
Kiwanda cha kutengeneza single moms. Na baadae tunaanza kuwananga hao single moms

Mimi nimekaa chini wiki hii nikawaza na nikajiapiza nikioa nitatulia tuli na mke wangu..gharama za kurukaruka na mademu tofauti ni nyingi sana(yaani Negative outcomes ni nyingi kuliko positive)
 
Kiwanda cha kutengeneza single moms. Na baadae tunaanza kuwananga hao single moms

Mimi nimekaa chini wiki hii nikawaza na nikajiapiza nikioa nitatulia tuli na mke wangu..gharama za kurukaruka na mademu tofauti ni nyingi sana(yaani Negative outcomes ni nyingi kuliko positive)
Ni nyingi mno na risks pia but wengi walisema kama wewe....Mungu akutangulie!
 
Muache nayo tu, kwanza kutoa mimba ni dhambi ndugu , hata kama hutalea lakini kuwa kiumbe ni dhambi kubwa , hivyo muache atalea mwenyewe au na mwanamume atakaye kuwa naye watalea mtoto wao na wewe hutahusika kuwa baba yake bali mwanaume atakaye kuwa bega kwa bega na binti huyo kwa sasa
 
Shida inakuja pale unapata janga la namna hii huku uchumi hauko vizuri,lakini kama utakuwa powa..utampatia kitita ili asikusumbue,mpaka miaka 10 ipite
 
Hana Mimba huyu anakujaribu
Wakuu salam kwenu

Poleni kwa Covid-19

Ngoja niwape mkasa niliona nao kwa sasa

Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 niliingia kwenye mahusiano na binti fulani ambaye kwa sasa ana miaka 19

Nimetoka na huyu binti tangu mwaka Jana hadi sasa ,ni mwanachuo ila kwa sasa keshamaliza yupo field

Sasa hivi majuzi kaniambia ana mimba ,mi nikamkatalia ila kasisitiza sana mimba ni Yangu

Nikamwambia mi nina familia ya watoto wawili na mke ingawa tunaishi mbalimbali

Nikamwambia hiyo mimba inabidi itolewe (hapa mnisamehe tu najua watu mtanitukana) kwa sababu sijajiandaa kulea mtoto yoyote kwa sasa na isitoshe hatukupanga kuzaa mtoto Mimi na wewe so mimba itolewe angali changa

Binti kagoma, na isitoshe haoneshi ushirikiano wowote, kiukweli nashindwa kumwelewa huyu binti ananitafuta nini?

Nipeni ushauri jamani nifanyaje manake naona atakuja kuniletea msala tu mbeleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika umenena ukweli haya wanayoyafanya madeni yao watalipa watoto wao au wajukuu
Hivi ndo viwanda vya kutengeneza ma single mama, alafu mkishawazalisha mnaanza kuwatukana huku mitandaoni

Alafu naamini kabisa ulimficha kuwa huna mke na ndo maana baada ya mimba una kiri umemwambia una mke yupo mkoa mwingine

Men:Be careful, madhambi mnayofanya kuna siku yatawarudia mnatengeneza kizazi kilichojaa machungu na maumivu kwa tamaa zenu wenyewe

Imagine una date katoto ka 19 yrs, ni aibu mnooooo, at least kama ni lazima kwako basi ungedate hata na 23,24,25 wanakuwa wamepevuka akili hata kuzuia mimba wanajuwa

Sina mengi zaidi ila malipo ni hapa hapa duniani

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu salam kwenu

Poleni kwa Covid-19

Ngoja niwape mkasa niliona nao kwa sasa

Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 niliingia kwenye mahusiano na binti fulani ambaye kwa sasa ana miaka 19

Nimetoka na huyu binti tangu mwaka Jana hadi sasa ,ni mwanachuo ila kwa sasa keshamaliza yupo field

Sasa hivi majuzi kaniambia ana mimba ,mi nikamkatalia ila kasisitiza sana mimba ni Yangu

Nikamwambia mi nina familia ya watoto wawili na mke ingawa tunaishi mbalimbali

Nikamwambia hiyo mimba inabidi itolewe (hapa mnisamehe tu najua watu mtanitukana) kwa sababu sijajiandaa kulea mtoto yoyote kwa sasa na isitoshe hatukupanga kuzaa mtoto Mimi na wewe so mimba itolewe angali changa

Binti kagoma, na isitoshe haoneshi ushirikiano wowote, kiukweli nashindwa kumwelewa huyu binti ananitafuta nini?

Nipeni ushauri jamani nifanyaje manake naona atakuja kuniletea msala tu mbeleni.
Pumbavu sana wewe kama una mke na watoto kwa nini ulienda kuwaharibia vijana their future wife? Aku expose tu kwa mkeo awe mke wa pili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu salam kwenu

Poleni kwa Covid-19

Ngoja niwape mkasa niliona nao kwa sasa

Mnamo mwaka jana mwezi wa 7 niliingia kwenye mahusiano na binti fulani ambaye kwa sasa ana miaka 19

Nimetoka na huyu binti tangu mwaka Jana hadi sasa ,ni mwanachuo ila kwa sasa keshamaliza yupo field

Sasa hivi majuzi kaniambia ana mimba ,mi nikamkatalia ila kasisitiza sana mimba ni Yangu

Nikamwambia mi nina familia ya watoto wawili na mke ingawa tunaishi mbalimbali

Nikamwambia hiyo mimba inabidi itolewe (hapa mnisamehe tu najua watu mtanitukana) kwa sababu sijajiandaa kulea mtoto yoyote kwa sasa na isitoshe hatukupanga kuzaa mtoto Mimi na wewe so mimba itolewe angali changa

Binti kagoma, na isitoshe haoneshi ushirikiano wowote, kiukweli nashindwa kumwelewa huyu binti ananitafuta nini?

Nipeni ushauri jamani nifanyaje manake naona atakuja kuniletea msala tu mbeleni.
Muombe ushauri mkeo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom