Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,327
- 83,772
Siyo sababu, nawajua Wanaume wanaotoa hizo proteins kila siku na wana akili za kitoto na wanaotoa once in a while na wana akili timamu tu.Mkuu si unajua protein ikijaa,inatakiwa itoke ili itengenezwe nyingine?sasa kama mwenza wako yuko mbali utafanyaje?inabidi kuangalia njia mbadala...bila kuipunguza inaathiri ubongo,ndio maana kuna wengine ni wakubwa ila wanakuwa na mambo ya kitoto hiyo inatokana na madhara ya kutokuipunguza.
Msitafute sababu za kuhalalisha uzinzi, Mungu siyo mjinga kukataza uzinzi.