poor uUmesahau makontena yalikuwa 'yanapotea'? Wingi wa makontena bandarini haiminishi kuwa mapato nayo yatakuwa mengi kama mfumo wa kukusanya mapato ni mbovu & vice versa.
Huenda akili huna,,, navipi ao wafanyakazi wataopunguzwa
Wapandishe mishahara kama mapato yameongezeka, utasikia wanabana matumizi halafu wanatembea na mabulungutu kwenye briefcaseWanasema pamoja na mizigo kupungua lakini mapato yameongezeka sijui kwa kutumia formula gani.
Wewe kama baba watoto wako wakiwa wengi unafanyaje? Unaanza kuwaua au unatafuta namna ya kuongeza kipato sehemu husika?Mlitkaje ninyii..kwani kupunguza watu kazi ni dhambi..si tunabana matumizi jamani. Mbona UKAWA mnashida sana...
Mlitkaje ninyii..kwani kupunguza watu kazi ni dhambi..si tunabana matumizi jamani. Mbona UKAWA mnashida sana...
Ngoja wakutundulisu safari hii hawatachangashida Ni kwamba bichwa anapenda sifa za kijinga Sana,sijawahi ona msukuma anayependa sifa kama bichwa
Hahahahah bado kuna watu kama nyie kweli hivi hawa watu waende wapi kupata riziki kweli huu ndo mkakati wa kuwafikisha watu middle class bila ajira na huku kuwanyima wasichukue mafao yao wakajiajiri?Kweli akili ni nywele....Mlitkaje ninyii..kwani kupunguza watu kazi ni dhambi..si tunabana matumizi jamani. Mbona UKAWA mnashida sana...
Je kuna tija tangu Serikali ya awamu ya tano iingie madarakani? Na kama ndiyo, je tija ikiongezeka ajira zinapungua au zinaongezeka?Mlitkaje ninyii..kwani kupunguza watu kazi ni dhambi..si tunabana matumizi jamani. Mbona UKAWA mnashida sana...
Ndio mwisho wa akili yako?Kama mizigo ilikuwa inaingia lakini hela ilikuwa haionekani nini faida yake? Bora tuwe na mizigo michache lakini inayoleta tija kwa taifa.
Hajielewi huyoAcha utoto, tunabana matumizi au watu wanapunguzwa kwa pato kupungua? Ingekuwa pato limeongezeka halafu ukasema ubane matumizi tungekuelewa, na wala sio huna kitu halafu useme unabana matumizi.
Time will tellKutokana na hali ya bandari kuzidi kuwa tete kila siku hatimaye wanajiandaa kupunguza wafanyakazi.
Chanzo: ITV
Tuendelee kuisoma namba, CCM oye
Hiii hapaYa nini mizigo kuingia af hakuna faida
Hivi yale matani ya Sukari tuliyoaminishwa yameagizwa kutoka nje yapo wapi au nimwendelezo wa changa za macho
acha mpunguzwe tu maana kazi zenyewe mlikuwa mnapeana kwa kujuana................mje muone maisha halisi yalivyo sio ya mkatomkato.Kutokana na hali ya bandari kuzidi kuwa tete kila siku hatimaye wanajiandaa kupunguza wafanyakazi.
Chanzo: ITV
Tuendelee kuisoma namba, CCM oye