Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
- Thread starter
- #41
Magufuli alipaswa kwenda taratibu na sisi wengine tulishauri kupitia hapa JF nini kinaweza kutokea siku za usoni.Ngoja ni-quote hiyo post kwa kuinakili kwako.Kama mizigo ilikuwa inaingia lakini hela ilikuwa haionekani nini faida yake? Bora tuwe na mizigo michache lakini inayoleta tija kwa taifa.