Wanazuoni watoa tamko: Bandari ni mali za Watanzania wote hatuna wanahisa na hatuhitaji wanahisa

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,987
Kuuza lango la uchumi wa nchi au kutafuta wanahisa ni usariti mkubwa katika kuvunja katiba ya nchi: Bandari ni mali za watanzania wote hatuna wanahisa (shareholders) na hatuhitaji wanahisa.

Waraka wa wazi kwa waheshimiwa wabunge
Nakala kwa waheshimiwa viongozi wa dini
Nakala kwa taasisi ya Mwalimu Nyerere chini ya Mzee Joseph Butiku
Nakala kwa wasomi wote nchini
Nakala kwa umma wa Watanzania
Nakala kwa wapenda amani Duniani kote

Jumuiya ya Wanazuoni Nchini ambao tumekaa pamoja kutoka vyuo vikuu mbalimbali kutimiza wajibu wetu kama katiba ya Nchi inavyotaka pamoja na ya Chama Tawala iliyoridhi misingi ya TANU kwamba nitajielimisha kwa uwezo wangu wote kwa manufaa ya nchi yangu na Elimu yangu ni kwa manufaa ya Taifa.

Wanazuoni tunaanza kwa kutumia busara na kujenga hoja mahususi kupinga nchi yetu kuuzwa kienyeji kwa kisingizio cha mashirikiano ya Nchi yetu na Nchi za Falme ya Kiarabu. Hoja zetu ni kama ifuatavyo;

Kwanza; Bandari zetu zote ni mali za Watanzania zinazosimamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hatuna ubia na mtu yeyote wala Taifa lolote.

Baada ya kusoma kwa kina mkataba wa kubadilisha uendeshaji wa Bandari zetu na kufuatilia hoja mbalimbali za wanaunga mkono na wanaopinga.

Wanazuoni tunapenda kutoa tafsiri sahihi ya kinachoitwa mkataba kuwa ni kuuza Nchi kwa bei rahisi sana na kuingiza mwanahisa mpya kwenye umiliki wa Bandari zetu ambao hutakuwa umiliki wa milele na ukiliziwa na Bunge utalindwa na sheria za Kimataifa huwezi kuuvunja na ukifanya hivyo Nchi itaingia kwenye vita maana kila upande wa umiliki wa Bandari utatumia jeshi kulinda haki zake za kiuchumi (economic interests).

Hoja yetu ya msingi hapa kuwa tutapoteza umiliki ambao tulipewa na Mungu “Sovereign ownership of the ports”. Wanazuoni tunasikitika kwani serikali zilizotangulia zote zimewekeza sana kwenye maboresho ya Bandari zetu kwa kiwango cha juu mno kwa viwango vya Afrika.

Ni ujinga (ignorance) wa kiwango cha juu sana kujilinganisha na Nchi za Falme za Kiarabu (Emirates au Dubai) ambazo zinamilikiwa na falme au koo. Ni rahisi sana Mabeberu wa Kimarekani kujificha kwenye kivuli cha Falme za Kiarabu au Umoja wa Ulaya ambao wanao mkataba mbovu wa EPA uliokataliwa na Afrika.

Kumbuka Umoja wa Ulaya ulitumia pesa nyingi na muda wa miaka mingi kutaka moja ya masharti yao ya EPA ni kutumia Bandari zetu bila malipo yoyote as Free ports for European goods/products.

Ukizingatia uchumi wa Marekani na Umoja wa Ulaya upo kwenye kipindi kigumu sana kuliko wakati wowote.

Marekani na Umoja wa Ulaya wanaongezeko kubwa la umasikini, hukosefu wa Ajira na wamezidiwa na China katika uzalishaji viwandani (Manufacturing industries).

Hivyo basi, sehemu pekee ya wao kupona na kushindana na China ni kupora utajiri wa Tanzania (Afrika) na kuendeleza unyonyaji ili waweze kuwatunza wazungu wenzao kwa kuwapa sera kinga (social Protection policies).

Hii inawezekana tu kwa kuendelea kupora rasimali za Afrika na kupora uchumi wa Nchi zetu. Wanajua wakichukua Bandari zote za Tanzania watakuwa wanamiliki uchumi wa Nchi Karibia kumi zinazotegemea Bandari zetu kwa sababu Nchi yetu ipo kijiographia eneo la kimkakati sana na ndiyo moyo wa Nchi zote zinazotuzunguka.

Ukiharibu uchumi wa Tanzania na Amani ya Tanzania umeharibu uchumi wa majirani zetu, Rejea Wosia wa Baba Taifa Mwalimu Nyerere kwenye hotuba aliyotoa SADC mwaka 1984 akiwa sehemu ya kuaga kama Mkuu wa Nchi.

Hivyo, Wanazuoni tunawaomba Waheshimiwa Wabunge wetu wakatae kabisa siyo tu kubadili vipengele vya mkataba waachane kabisa kucheza na Taifa letu maana historia itawahukumu vibaya sana. Wajifunze Libya jinsi Mabeberu walivyowatumia wanasiasa na kuharibu Taifa lile.

Ukiingiza Mabeberu wa kimarekani na Ulaya kwenye umiliki wa Nchi kama wanahisa wa Bandari zetu kwa mgongo wa Madalali wa Vi-nchi vya Falme za Kiarabu vinavyomilikiwa na kuendeshwa na familia za Kifalme ujue umeuza Nchi kabisa na Rushwa waliokupa utajuta maana watakutupa mbali na kutafuta serikali ya kulinda masilahi yao.

Hiki ndicho kitakuwa kifo cha Chama Cha Mapinduzi na laana ya Waasisi na Watangulizi itatutafuna na kuwatafuna wabunge wote pamoja na spika wao. Mungu tuepushe laana hii.

Hoja ya pili ya Wanazuoni ni kwamba Uchumi wa Tanzania tangia awamu zilizopita na kuchagizwa na Awamu ya Tano imeweka Miundo Mbinu mikubwa sana ya Matrilioni ya Shilingi.

Tumejenga reli ya Kisasa na tunamiliki wenyewe hatuna ubia, tumejenga vyanzo vya umeme ili kuweza kuendesha Treini za umeme.

Tumewekeza sana kuboresha Bandari zetu kwa uwekezaji wa matrilioni ya shilingi na hatuna ubia.

Tunahitaji kuendesha wenyewe Bandari na kutumia treini ya umeme kufikisha mizigo ndani ya masaa 20 kwenye Nchi zinazotuzunguka na tutaweza kupata pesa nyingi za kulipa madeni ya miundo mbinu.

Ukiweka mbia yaani shareholder kwenye Bandari zetu hutaweza kucontrol mapato na matumizi ili uweze kulipa deni.

Hawa Madalali mabeberu wa Vi-nchi vya Falme za Kiarabu watapewa mgao wao yaani dividends na Tanzania itapewa dividends na tutakuwa wajinga kusaini mikataba kabla iliyosainiwa na Kar Peter karne za 14 na Chifu wa Msovero.

Mikataba siyo tu ya kitapeli bali ni ya kinyonyaji maana thamani ya Bandari ni kubwa mno ni Sovereign wealth na hawa madalali wa Mabeberu watatumia bandari zetu kukopa Duniani hawaji na chochote bali pesa za kuwahonga viongozi wetu pamoja na kuwapa ahadi hewa za umiliki sehemu ya shares.

Watawatupa nje kama Mobutu wa Congo zamani Zaire. Imperialists have permanent interests not permanent friends. Baada ya miaka ishirini Nchi itakuwa imeuzwa kabisa kwa Mabeberu ambao watajitanua sana na tutajiingiza kwenye mgongoro wa kuchumi wa Kimtaifa (Geo political conflicts among imperialists powers).

Tujifunze kwa Ufaransa na Nchi walizozitawala wanaendelea kuzinyonya kichumi.

Hivyo basi tunawaomba Waheshimiwa Wabunge tusikubali kupuuza ushauri huu wa wasomi na kukubali mawazo ya kijinga ya wanaojiita darasa la saba ambao hawana uelewa wa uchumi wa Dunia na vita ya kiuchumi Duniani.

Hoja ya tatu ya Wanazuoni kwa Waheshimiwa Wabunge ni kuomba kabisa kukataa kabisa kutumika kuuza Nchi. Tunapinga hoja ya kusema kuwa wenzetu wana mitaji na technolojia hivyo tutaboresha uendeshaji siyo kweli.

Hatuwezi kujilinganisha na Vi-nchi vinavyomilikiwa na familia za Kifalme ambavyo ni madalali ya mabeberu. Tutaboresha kwa viwango vyetu na tunaweza kuajili mtu yeyote kutoka Dunia kuboresha uendeshaji.

Tunaweza kuajili Mzungu, au Mhindi, au Mwarabu au Mkorea au MwaAfrika yoyote na tunaweza kununua technolojia popote duniani na kuweka mifumo ya Komputer ili kuondoa kero na Rushwa Bandari.

Ni Ujinga wa kiwango cha Uprofesa wau juu zaidi kwa kuuza Nchi kwa kumpa mtu ubia ili aweze kuendesha Bandari zetu kwa niaba. Tutakuwa tumewasaliti watanzania.

Waheshimiwa wabunge mkataba huo mpe GSM au Bharesa au Jumuiya ya Wafanya biashara Nchi watafanya maboresho na utajiri utabaki hapa hapa na usalama wa Taifa utabaki palepale.

Huhitaji kuwa Profesa wa Uchumi kuona kuwa mkataba tajwa ni utapeli wa kimataifa na kuuza Nchi kienyeji ni mjinga tu anaweza kukubali.

Hoja ya Nne kutoka kwa Wanazuoni, tunakataa Madalali wa Kiarabu wanaotumiwa na Mabeberu na wanaomiliki Vinchi vyao kupitia familia za kifalme zenye idadi ya watu ndogo na wote wananufaika na utajiri wa Nchi zao, mfano Dubai watu milioni mbili tu na wote wanatunzwa na serikali ya kifalme.

Hivyo, Social anthropology ya WaAfrika na WaTanzania ni tofauti na hao WaArabu kabisa kwa idadi ya watu na mambo mengine mengi ya kijamii, kisiasa, kiuchumi , kiutamaduni na kihistoria.

Bunge lenye maprofesa wengi wazuri wakiwepo Prof. Kabudi, Prof. Kitila, Prof. Mkenda, Prof. Ndalichako na wengine. Halafu Bunge lenye Madaktari wa kusomea (PhD) nao ni wengi pia. Wapo Madaktari wa Binadamu (MD) nao wengi.

Wapo wasomi wa aina mbali mbali wakiwemo wachumi . Hivyo sisi Wanazuoni tunaomba mkataba wa kukodisha Bandari husipitishwe kwani ni kuuza Nchi. Hawa wasomi wakikaa kimya historia itawaukumu huko mbele ya safari.

MAPENDEKEZO
Wanazuoni tunatoa mapendekezo yafuatayo kwa Waheshimiwa Wabunge pamoja na viongozi wote ambao wamepewa nakala ya wakara huu kutoka kwa wasomi wa Taifa.

Kwanza; tunaomba kabisa Bunge lisitishe kabisa mkataba huu siyo kuboresha bali kusitisha mara moja na ktunga sheria ya kutoweka mbia yoyote kwenye Bandari zetu zote, iwe Bagamoyo au iwe yoyote. Liwepo katazo la kibunge.

Pili, tunaomba wabunge na spika wamaqshauri vizuri Mh. Rais kwa upole na uzalendo wa hali ya juu. Inawezekana washauri na wachumi wa Rais hawajaliona jambo hili kwa bahati mbaya hivyo ushauri wetu utawaamusha uzingizini.

Tatu tunashauri Treini ya Umeme ambayo Mh. JPM aliacha imekamilika kipande cha DSM na kipande chas Dodoma ilikuwa imefikia asilimia 80%.

Tunaomba mshauri Rais azindue Treini hiyo na kwenye bajeti ya mwaka huu tuwekeze kujenga reli mpaka Bandari.

Tujenge Bandari kavu kubwa Dodoma kwa kutumia SUMA JKT kwa muda mfupi na gharama ndogo ili treini ianze kubeba mizigo na kuongeza ufanisi wa Bandari bila kuweka madalali waq Mabeberu wanaokuja kwa mgogo wa Vinchi vya Falme za Kiarabu wanavyomilikiwa na Familia.

Tanzania ni Nchi yenye hadhi kubwa ndani ya Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Kimtaifa. Tanzania ni Nchi na Taifa ambalo halimilikiwi na Familia ni Nchi solid kabisa yenye kuheshimika Duiniani tusipoteza mwerekeo tuungane na tujenge Nchi yetu.

Nne Wanazuoni tunashauri Waheshimiwa Wabunge wetu waweze kutafuta busara za wazee wa Taifa, Mzee Joseph Butiku, Mzee Warioba, Mzee Mangula, Wastaafu wa Jeshi, Wastaafu wa Usalama wa Taifa, Marais Wastaafu, Maprofesa Wastaafu , Wasomi wabobezi kama vile Profesa Shivji na wengine wengi.

Wabunge aandaa semina huko Dodoma na Waite hawa Watanzania Wazalendo wawepe Busara zao ili mkifia maamuzi mtaweza kuliokoa Taifa.

Tano Wanazuoni tunashauri Waheshimiwa Wabunge wamuombe Mh. Rais amsimamishe kazi waziri Mbarawa kupisha uchunguzi maana wizara yake ndiyo inataka kuleta majanga ya Taifa.

Tunatanguliza Shukrani
Wenu Katika Ujenzi wa Taifa
Wanazuoni

Habari zaidi, soma:
  1. Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi
 
Rais Samia na serikali yake wajizulu mara moja.

Kuna document moja nimeiona twitter kwa Martin Maranja Masese inaonyesha Mama akimpa Waziri Mamlaka ya kusaini huu Mkataba, kwahiyo kama hiyo document ni ya kweli, basi Mama nae awajibike kwa kujiuzulu.
 
Kuuza lango la uchumi wa nchi au kutafuta wanahisa ni usariti mkubwa katika kuvunja katiba ya nchi: Bandari ni mali za watanzania wote hatuna wanahisa (shareholders) na hatuhitaji wanahisa.

Waraka wa wazi kwa waheshimiwa wabunge
Nakala kwa waheshimiwa viongozi wa dini
Nakala kwa taasisi ya Mwalimu Nyerere chini ya Mzee Joseph Butiku
Nakala kwa wasomi wote nchini
Nakala kwa umma wa Watanzania
Nakala kwa wapenda amani Duniani kote

Jumuiya ya Wanazuoni Nchini ambao tumekaa pamoja kutoka vyuo vikuu mbalimbali kutimiza wajibu wetu kama katiba ya Nchi inavyotaka pamoja na ya Chama Tawala iliyoridhi misingi ya TANU kwamba nitajielimisha kwa uwezo wangu wote kwa manufaa ya nchi yangu na Elimu yangu ni kwa manufaa ya Taifa.

Wanazuoni tunaanza kwa kutumia busara na kujenga hoja mahususi kupinga nchi yetu kuuzwa kienyeji kwa kisingizio cha mashirikiano ya Nchi yetu na Nchi za Falme ya Kiarabu. Hoja zetu ni kama ifuatavyo;

Kwanza; Bandari zetu zote ni mali za Watanzania zinazosimamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hatuna ubia na mtu yeyote wala Taifa lolote.

Baada ya kusoma kwa kina mkataba wa kubadilisha uendeshaji wa Bandari zetu na kufuatilia hoja mbalimbali za wanaunga mkono na wanaopinga.

Wanazuoni tunapenda kutoa tafsiri sahihi ya kinachoitwa mkataba kuwa ni kuuza Nchi kwa bei rahisi sana na kuingiza mwanahisa mpya kwenye umiliki wa Bandari zetu ambao hutakuwa umiliki wa milele na ukiliziwa na Bunge utalindwa na sheria za Kimataifa huwezi kuuvunja na ukifanya hivyo Nchi itaingia kwenye vita maana kila upande wa umiliki wa Bandari utatumia jeshi kulinda haki zake za kiuchumi (economic interests).

Hoja yetu ya msingi hapa kuwa tutapoteza umiliki ambao tulipewa na Mungu “Sovereign ownership of the ports”. Wanazuoni tunasikitika kwani serikali zilizotangulia zote zimewekeza sana kwenye maboresho ya Bandari zetu kwa kiwango cha juu mno kwa viwango vya Afrika.

Ni ujinga (ignorance) wa kiwango cha juu sana kujilinganisha na Nchi za Falme za Kiarabu (Emirates au Dubai) ambazo zinamilikiwa na falme au koo. Ni rahisi sana Mabeberu wa Kimarekani kujificha kwenye kivuli cha Falme za Kiarabu au Umoja wa Ulaya ambao wanao mkataba mbovu wa EPA uliokataliwa na Afrika.

Kumbuka Umoja wa Ulaya ulitumia pesa nyingi na muda wa miaka mingi kutaka moja ya masharti yao ya EPA ni kutumia Bandari zetu bila malipo yoyote as Free ports for European goods/products.

Ukizingatia uchumi wa Marekani na Umoja wa Ulaya upo kwenye kipindi kigumu sana kuliko wakati wowote.

Marekani na Umoja wa Ulaya wanaongezeko kubwa la umasikini, hukosefu wa Ajira na wamezidiwa na China katika uzalishaji viwandani (Manufacturing industries).

Hivyo basi, sehemu pekee ya wao kupona na kushindana na China ni kupora utajiri wa Tanzania (Afrika) na kuendeleza unyonyaji ili waweze kuwatunza wazungu wenzao kwa kuwapa sera kinga (social Protection policies).

Hii inawezekana tu kwa kuendelea kupora rasimali za Afrika na kupora uchumi wa Nchi zetu. Wanajua wakichukua Bandari zote za Tanzania watakuwa wanamiliki uchumi wa Nchi Karibia kumi zinazotegemea Bandari zetu kwa sababu Nchi yetu ipo kijiographia eneo la kimkakati sana na ndiyo moyo wa Nchi zote zinazotuzunguka.

Ukiharibu uchumi wa Tanzania na Amani ya Tanzania umeharibu uchumi wa majirani zetu, Rejea Wosia wa Baba Taifa Mwalimu Nyerere kwenye hotuba aliyotoa SADC mwaka 1984 akiwa sehemu ya kuaga kama Mkuu wa Nchi.

Hivyo, Wanazuoni tunawaomba Waheshimiwa Wabunge wetu wakatae kabisa siyo tu kubadili vipengele vya mkataba waachane kabisa kucheza na Taifa letu maana historia itawahukumu vibaya sana. Wajifunze Libya jinsi Mabeberu walivyowatumia wanasiasa na kuharibu Taifa lile.

Ukiingiza Mabeberu wa kimarekani na Ulaya kwenye umiliki wa Nchi kama wanahisa wa Bandari zetu kwa mgongo wa Madalali wa Vi-nchi vya Falme za Kiarabu vinavyomilikiwa na kuendeshwa na familia za Kifalme ujue umeuza Nchi kabisa na Rushwa waliokupa utajuta maana watakutupa mbali na kutafuta serikali ya kulinda masilahi yao.

Hiki ndicho kitakuwa kifo cha Chama Cha Mapinduzi na laana ya Waasisi na Watangulizi itatutafuna na kuwatafuna wabunge wote pamoja na spika wao. Mungu tuepushe laana hii.

Hoja ya pili ya Wanazuoni ni kwamba Uchumi wa Tanzania tangia awamu zilizopita na kuchagizwa na Awamu ya Tano imeweka Miundo Mbinu mikubwa sana ya Matrilioni ya Shilingi.

Tumejenga reli ya Kisasa na tunamiliki wenyewe hatuna ubia, tumejenga vyanzo vya umeme ili kuweza kuendesha Treini za umeme.

Tumewekeza sana kuboresha Bandari zetu kwa uwekezaji wa matrilioni ya shilingi na hatuna ubia.

Tunahitaji kuendesha wenyewe Bandari na kutumia treini ya umeme kufikisha mizigo ndani ya masaa 20 kwenye Nchi zinazotuzunguka na tutaweza kupata pesa nyingi za kulipa madeni ya miundo mbinu.

Ukiweka mbia yaani shareholder kwenye Bandari zetu hutaweza kucontrol mapato na matumizi ili uweze kulipa deni.

Hawa Madalali mabeberu wa Vi-nchi vya Falme za Kiarabu watapewa mgao wao yaani dividends na Tanzania itapewa dividends na tutakuwa wajinga kusaini mikataba kabla iliyosainiwa na Kar Peter karne za 14 na Chifu wa Msovero.

Mikataba siyo tu ya kitapeli bali ni ya kinyonyaji maana thamani ya Bandari ni kubwa mno ni Sovereign wealth na hawa madalali wa Mabeberu watatumia bandari zetu kukopa Duniani hawaji na chochote bali pesa za kuwahonga viongozi wetu pamoja na kuwapa ahadi hewa za umiliki sehemu ya shares.

Watawatupa nje kama Mobutu wa Congo zamani Zaire. Imperialists have permanent interests not permanent friends. Baada ya miaka ishirini Nchi itakuwa imeuzwa kabisa kwa Mabeberu ambao watajitanua sana na tutajiingiza kwenye mgongoro wa kuchumi wa Kimtaifa (Geo political conflicts among imperialists powers).

Tujifunze kwa Ufaransa na Nchi walizozitawala wanaendelea kuzinyonya kichumi.

Hivyo basi tunawaomba Waheshimiwa Wabunge tusikubali kupuuza ushauri huu wa wasomi na kukubali mawazo ya kijinga ya wanaojiita darasa la saba ambao hawana uelewa wa uchumi wa Dunia na vita ya kiuchumi Duniani.

Hoja ya tatu ya Wanazuoni kwa Waheshimiwa Wabunge ni kuomba kabisa kukataa kabisa kutumika kuuza Nchi. Tunapinga hoja ya kusema kuwa wenzetu wana mitaji na technolojia hivyo tutaboresha uendeshaji siyo kweli.

Hatuwezi kujilinganisha na Vi-nchi vinavyomilikiwa na familia za Kifalme ambavyo ni madalali ya mabeberu. Tutaboresha kwa viwango vyetu na tunaweza kuajili mtu yeyote kutoka Dunia kuboresha uendeshaji.

Tunaweza kuajili Mzungu, au Mhindi, au Mwarabu au Mkorea au MwaAfrika yoyote na tunaweza kununua technolojia popote duniani na kuweka mifumo ya Komputer ili kuondoa kero na Rushwa Bandari.

Ni Ujinga wa kiwango cha Uprofesa wau juu zaidi kwa kuuza Nchi kwa kumpa mtu ubia ili aweze kuendesha Bandari zetu kwa niaba. Tutakuwa tumewasaliti watanzania.

Waheshimiwa wabunge mkataba huo mpe GSM au Bharesa au Jumuiya ya Wafanya biashara Nchi watafanya maboresho na utajiri utabaki hapa hapa na usalama wa Taifa utabaki palepale.

Huhitaji kuwa Profesa wa Uchumi kuona kuwa mkataba tajwa ni utapeli wa kimataifa na kuuza Nchi kienyeji ni mjinga tu anaweza kukubali.

Hoja ya Nne kutoka kwa Wanazuoni, tunakataa Madalali wa Kiarabu wanaotumiwa na Mabeberu na wanaomiliki Vinchi vyao kupitia familia za kifalme zenye idadi ya watu ndogo na wote wananufaika na utajiri wa Nchi zao, mfano Dubai watu milioni mbili tu na wote wanatunzwa na serikali ya kifalme.

Hivyo, Social anthropology ya WaAfrika na WaTanzania ni tofauti na hao WaArabu kabisa kwa idadi ya watu na mambo mengine mengi ya kijamii, kisiasa, kiuchumi , kiutamaduni na kihistoria.

Bunge lenye maprofesa wengi wazuri wakiwepo Prof. Kabudi, Prof. Kitila, Prof. Mkenda, Prof. Ndalichako na wengine. Halafu Bunge lenye Madaktari wa kusomea (PhD) nao ni wengi pia. Wapo Madaktari wa Binadamu (MD) nao wengi.

Wapo wasomi wa aina mbali mbali wakiwemo wachumi . Hivyo sisi Wanazuoni tunaomba mkataba wa kukodisha Bandari husipitishwe kwani ni kuuza Nchi. Hawa wasomi wakikaa kimya historia itawaukumu huko mbele ya safari.

MAPENDEKEZO
Wanazuoni tunatoa mapendekezo yafuatayo kwa Waheshimiwa Wabunge pamoja na viongozi wote ambao wamepewa nakala ya wakara huu kutoka kwa wasomi wa Taifa.

Kwanza; tunaomba kabisa Bunge lisitishe kabisa mkataba huu siyo kuboresha bali kusitisha mara moja na ktunga sheria ya kutoweka mbia yoyote kwenye Bandari zetu zote, iwe Bagamoyo au iwe yoyote. Liwepo katazo la kibunge.

Pili, tunaomba wabunge na spika wamaqshauri vizuri Mh. Rais kwa upole na uzalendo wa hali ya juu. Inawezekana washauri na wachumi wa Rais hawajaliona jambo hili kwa bahati mbaya hivyo ushauri wetu utawaamusha uzingizini.

Tatu tunashauri Treini ya Umeme ambayo Mh. JPM aliacha imekamilika kipande cha DSM na kipande chas Dodoma ilikuwa imefikia asilimia 80%.

Tunaomba mshauri Rais azindue Treini hiyo na kwenye bajeti ya mwaka huu tuwekeze kujenga reli mpaka Bandari.

Tujenge Bandari kavu kubwa Dodoma kwa kutumia SUMA JKT kwa muda mfupi na gharama ndogo ili treini ianze kubeba mizigo na kuongeza ufanisi wa Bandari bila kuweka madalali waq Mabeberu wanaokuja kwa mgogo wa Vinchi vya Falme za Kiarabu wanavyomilikiwa na Familia.

Tanzania ni Nchi yenye hadhi kubwa ndani ya Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Kimtaifa. Tanzania ni Nchi na Taifa ambalo halimilikiwi na Familia ni Nchi solid kabisa yenye kuheshimika Duiniani tusipoteza mwerekeo tuungane na tujenge Nchi yetu.

Nne Wanazuoni tunashauri Waheshimiwa Wabunge wetu waweze kutafuta busara za wazee wa Taifa, Mzee Joseph Butiku, Mzee Warioba, Mzee Mangula, Wastaafu wa Jeshi, Wastaafu wa Usalama wa Taifa, Marais Wastaafu, Maprofesa Wastaafu , Wasomi wabobezi kama vile Profesa Shivji na wengine wengi.

Wabunge aandaa semina huko Dodoma na Waite hawa Watanzania Wazalendo wawepe Busara zao ili mkifia maamuzi mtaweza kuliokoa Taifa.

Tano Wanazuoni tunashauri Waheshimiwa Wabunge wamuombe Mh. Rais amsimamishe kazi waziri Mbarawa kupisha uchunguzi maana wizara yake ndiyo inataka kuleta majanga ya Taifa.

Tunatanguliza Shukrani
Wenu Katika Ujenzi wa Taifa
Wanazuoni
Hao wana zuoni wa wapi? Hawajui kwamba bunge ni muhimili unao jitegemea kazi yake ni kubariki miswada, kutunga sheria na kushauri serikali kwa niamba ya wananchi wote, waliamua kwamba bandari iendeshwe na BP World kwa masirahi mapana ya nchi yetu, waache kelele za kijinga
 
Kuuza lango la uchumi wa nchi au kutafuta wanahisa ni usariti mkubwa katika kuvunja katiba ya nchi: Bandari ni mali za watanzania wote hatuna wanahisa (shareholders) na hatuhitaji wanahisa.

Waraka wa wazi kwa waheshimiwa wabunge
Nakala kwa waheshimiwa viongozi wa dini
Nakala kwa taasisi ya Mwalimu Nyerere chini ya Mzee Joseph Butiku
Nakala kwa wasomi wote nchini
Nakala kwa umma wa Watanzania
Nakala kwa wapenda amani Duniani kote

Jumuiya ya Wanazuoni Nchini ambao tumekaa pamoja kutoka vyuo vikuu mbalimbali kutimiza wajibu wetu kama katiba ya Nchi inavyotaka pamoja na ya Chama Tawala iliyoridhi misingi ya TANU kwamba nitajielimisha kwa uwezo wangu wote kwa manufaa ya nchi yangu na Elimu yangu ni kwa manufaa ya Taifa.

Wanazuoni tunaanza kwa kutumia busara na kujenga hoja mahususi kupinga nchi yetu kuuzwa kienyeji kwa kisingizio cha mashirikiano ya Nchi yetu na Nchi za Falme ya Kiarabu. Hoja zetu ni kama ifuatavyo;

Kwanza; Bandari zetu zote ni mali za Watanzania zinazosimamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hatuna ubia na mtu yeyote wala Taifa lolote.

Baada ya kusoma kwa kina mkataba wa kubadilisha uendeshaji wa Bandari zetu na kufuatilia hoja mbalimbali za wanaunga mkono na wanaopinga.

Wanazuoni tunapenda kutoa tafsiri sahihi ya kinachoitwa mkataba kuwa ni kuuza Nchi kwa bei rahisi sana na kuingiza mwanahisa mpya kwenye umiliki wa Bandari zetu ambao hutakuwa umiliki wa milele na ukiliziwa na Bunge utalindwa na sheria za Kimataifa huwezi kuuvunja na ukifanya hivyo Nchi itaingia kwenye vita maana kila upande wa umiliki wa Bandari utatumia jeshi kulinda haki zake za kiuchumi (economic interests).

Hoja yetu ya msingi hapa kuwa tutapoteza umiliki ambao tulipewa na Mungu “Sovereign ownership of the ports”. Wanazuoni tunasikitika kwani serikali zilizotangulia zote zimewekeza sana kwenye maboresho ya Bandari zetu kwa kiwango cha juu mno kwa viwango vya Afrika.

Ni ujinga (ignorance) wa kiwango cha juu sana kujilinganisha na Nchi za Falme za Kiarabu (Emirates au Dubai) ambazo zinamilikiwa na falme au koo. Ni rahisi sana Mabeberu wa Kimarekani kujificha kwenye kivuli cha Falme za Kiarabu au Umoja wa Ulaya ambao wanao mkataba mbovu wa EPA uliokataliwa na Afrika.

Kumbuka Umoja wa Ulaya ulitumia pesa nyingi na muda wa miaka mingi kutaka moja ya masharti yao ya EPA ni kutumia Bandari zetu bila malipo yoyote as Free ports for European goods/products.

Ukizingatia uchumi wa Marekani na Umoja wa Ulaya upo kwenye kipindi kigumu sana kuliko wakati wowote.

Marekani na Umoja wa Ulaya wanaongezeko kubwa la umasikini, hukosefu wa Ajira na wamezidiwa na China katika uzalishaji viwandani (Manufacturing industries).

Hivyo basi, sehemu pekee ya wao kupona na kushindana na China ni kupora utajiri wa Tanzania (Afrika) na kuendeleza unyonyaji ili waweze kuwatunza wazungu wenzao kwa kuwapa sera kinga (social Protection policies).

Hii inawezekana tu kwa kuendelea kupora rasimali za Afrika na kupora uchumi wa Nchi zetu. Wanajua wakichukua Bandari zote za Tanzania watakuwa wanamiliki uchumi wa Nchi Karibia kumi zinazotegemea Bandari zetu kwa sababu Nchi yetu ipo kijiographia eneo la kimkakati sana na ndiyo moyo wa Nchi zote zinazotuzunguka.

Ukiharibu uchumi wa Tanzania na Amani ya Tanzania umeharibu uchumi wa majirani zetu, Rejea Wosia wa Baba Taifa Mwalimu Nyerere kwenye hotuba aliyotoa SADC mwaka 1984 akiwa sehemu ya kuaga kama Mkuu wa Nchi.

Hivyo, Wanazuoni tunawaomba Waheshimiwa Wabunge wetu wakatae kabisa siyo tu kubadili vipengele vya mkataba waachane kabisa kucheza na Taifa letu maana historia itawahukumu vibaya sana. Wajifunze Libya jinsi Mabeberu walivyowatumia wanasiasa na kuharibu Taifa lile.

Ukiingiza Mabeberu wa kimarekani na Ulaya kwenye umiliki wa Nchi kama wanahisa wa Bandari zetu kwa mgongo wa Madalali wa Vi-nchi vya Falme za Kiarabu vinavyomilikiwa na kuendeshwa na familia za Kifalme ujue umeuza Nchi kabisa na Rushwa waliokupa utajuta maana watakutupa mbali na kutafuta serikali ya kulinda masilahi yao.

Hiki ndicho kitakuwa kifo cha Chama Cha Mapinduzi na laana ya Waasisi na Watangulizi itatutafuna na kuwatafuna wabunge wote pamoja na spika wao. Mungu tuepushe laana hii.

Hoja ya pili ya Wanazuoni ni kwamba Uchumi wa Tanzania tangia awamu zilizopita na kuchagizwa na Awamu ya Tano imeweka Miundo Mbinu mikubwa sana ya Matrilioni ya Shilingi.

Tumejenga reli ya Kisasa na tunamiliki wenyewe hatuna ubia, tumejenga vyanzo vya umeme ili kuweza kuendesha Treini za umeme.

Tumewekeza sana kuboresha Bandari zetu kwa uwekezaji wa matrilioni ya shilingi na hatuna ubia.

Tunahitaji kuendesha wenyewe Bandari na kutumia treini ya umeme kufikisha mizigo ndani ya masaa 20 kwenye Nchi zinazotuzunguka na tutaweza kupata pesa nyingi za kulipa madeni ya miundo mbinu.

Ukiweka mbia yaani shareholder kwenye Bandari zetu hutaweza kucontrol mapato na matumizi ili uweze kulipa deni.

Hawa Madalali mabeberu wa Vi-nchi vya Falme za Kiarabu watapewa mgao wao yaani dividends na Tanzania itapewa dividends na tutakuwa wajinga kusaini mikataba kabla iliyosainiwa na Kar Peter karne za 14 na Chifu wa Msovero.

Mikataba siyo tu ya kitapeli bali ni ya kinyonyaji maana thamani ya Bandari ni kubwa mno ni Sovereign wealth na hawa madalali wa Mabeberu watatumia bandari zetu kukopa Duniani hawaji na chochote bali pesa za kuwahonga viongozi wetu pamoja na kuwapa ahadi hewa za umiliki sehemu ya shares.

Watawatupa nje kama Mobutu wa Congo zamani Zaire. Imperialists have permanent interests not permanent friends. Baada ya miaka ishirini Nchi itakuwa imeuzwa kabisa kwa Mabeberu ambao watajitanua sana na tutajiingiza kwenye mgongoro wa kuchumi wa Kimtaifa (Geo political conflicts among imperialists powers).

Tujifunze kwa Ufaransa na Nchi walizozitawala wanaendelea kuzinyonya kichumi.

Hivyo basi tunawaomba Waheshimiwa Wabunge tusikubali kupuuza ushauri huu wa wasomi na kukubali mawazo ya kijinga ya wanaojiita darasa la saba ambao hawana uelewa wa uchumi wa Dunia na vita ya kiuchumi Duniani.

Hoja ya tatu ya Wanazuoni kwa Waheshimiwa Wabunge ni kuomba kabisa kukataa kabisa kutumika kuuza Nchi. Tunapinga hoja ya kusema kuwa wenzetu wana mitaji na technolojia hivyo tutaboresha uendeshaji siyo kweli.

Hatuwezi kujilinganisha na Vi-nchi vinavyomilikiwa na familia za Kifalme ambavyo ni madalali ya mabeberu. Tutaboresha kwa viwango vyetu na tunaweza kuajili mtu yeyote kutoka Dunia kuboresha uendeshaji.

Tunaweza kuajili Mzungu, au Mhindi, au Mwarabu au Mkorea au MwaAfrika yoyote na tunaweza kununua technolojia popote duniani na kuweka mifumo ya Komputer ili kuondoa kero na Rushwa Bandari.

Ni Ujinga wa kiwango cha Uprofesa wau juu zaidi kwa kuuza Nchi kwa kumpa mtu ubia ili aweze kuendesha Bandari zetu kwa niaba. Tutakuwa tumewasaliti watanzania.

Waheshimiwa wabunge mkataba huo mpe GSM au Bharesa au Jumuiya ya Wafanya biashara Nchi watafanya maboresho na utajiri utabaki hapa hapa na usalama wa Taifa utabaki palepale.

Huhitaji kuwa Profesa wa Uchumi kuona kuwa mkataba tajwa ni utapeli wa kimataifa na kuuza Nchi kienyeji ni mjinga tu anaweza kukubali.

Hoja ya Nne kutoka kwa Wanazuoni, tunakataa Madalali wa Kiarabu wanaotumiwa na Mabeberu na wanaomiliki Vinchi vyao kupitia familia za kifalme zenye idadi ya watu ndogo na wote wananufaika na utajiri wa Nchi zao, mfano Dubai watu milioni mbili tu na wote wanatunzwa na serikali ya kifalme.

Hivyo, Social anthropology ya WaAfrika na WaTanzania ni tofauti na hao WaArabu kabisa kwa idadi ya watu na mambo mengine mengi ya kijamii, kisiasa, kiuchumi , kiutamaduni na kihistoria.

Bunge lenye maprofesa wengi wazuri wakiwepo Prof. Kabudi, Prof. Kitila, Prof. Mkenda, Prof. Ndalichako na wengine. Halafu Bunge lenye Madaktari wa kusomea (PhD) nao ni wengi pia. Wapo Madaktari wa Binadamu (MD) nao wengi.

Wapo wasomi wa aina mbali mbali wakiwemo wachumi . Hivyo sisi Wanazuoni tunaomba mkataba wa kukodisha Bandari husipitishwe kwani ni kuuza Nchi. Hawa wasomi wakikaa kimya historia itawaukumu huko mbele ya safari.

MAPENDEKEZO
Wanazuoni tunatoa mapendekezo yafuatayo kwa Waheshimiwa Wabunge pamoja na viongozi wote ambao wamepewa nakala ya wakara huu kutoka kwa wasomi wa Taifa.

Kwanza; tunaomba kabisa Bunge lisitishe kabisa mkataba huu siyo kuboresha bali kusitisha mara moja na ktunga sheria ya kutoweka mbia yoyote kwenye Bandari zetu zote, iwe Bagamoyo au iwe yoyote. Liwepo katazo la kibunge.

Pili, tunaomba wabunge na spika wamaqshauri vizuri Mh. Rais kwa upole na uzalendo wa hali ya juu. Inawezekana washauri na wachumi wa Rais hawajaliona jambo hili kwa bahati mbaya hivyo ushauri wetu utawaamusha uzingizini.

Tatu tunashauri Treini ya Umeme ambayo Mh. JPM aliacha imekamilika kipande cha DSM na kipande chas Dodoma ilikuwa imefikia asilimia 80%.

Tunaomba mshauri Rais azindue Treini hiyo na kwenye bajeti ya mwaka huu tuwekeze kujenga reli mpaka Bandari.

Tujenge Bandari kavu kubwa Dodoma kwa kutumia SUMA JKT kwa muda mfupi na gharama ndogo ili treini ianze kubeba mizigo na kuongeza ufanisi wa Bandari bila kuweka madalali waq Mabeberu wanaokuja kwa mgogo wa Vinchi vya Falme za Kiarabu wanavyomilikiwa na Familia.

Tanzania ni Nchi yenye hadhi kubwa ndani ya Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Kimtaifa. Tanzania ni Nchi na Taifa ambalo halimilikiwi na Familia ni Nchi solid kabisa yenye kuheshimika Duiniani tusipoteza mwerekeo tuungane na tujenge Nchi yetu.

Nne Wanazuoni tunashauri Waheshimiwa Wabunge wetu waweze kutafuta busara za wazee wa Taifa, Mzee Joseph Butiku, Mzee Warioba, Mzee Mangula, Wastaafu wa Jeshi, Wastaafu wa Usalama wa Taifa, Marais Wastaafu, Maprofesa Wastaafu , Wasomi wabobezi kama vile Profesa Shivji na wengine wengi.

Wabunge aandaa semina huko Dodoma na Waite hawa Watanzania Wazalendo wawepe Busara zao ili mkifia maamuzi mtaweza kuliokoa Taifa.

Tano Wanazuoni tunashauri Waheshimiwa Wabunge wamuombe Mh. Rais amsimamishe kazi waziri Mbarawa kupisha uchunguzi maana wizara yake ndiyo inataka kuleta majanga ya Taifa.

Tunatanguliza Shukrani
Wenu Katika Ujenzi wa Taifa
Wanazuoni
Hao ndio wale Lisu aliwaita Wasomi wajinga wajinga..

Kwani nani amesema Bandari ni Mali ya Wanasiasa? Ujinga Kwa wanaojiita wasomi ukishakuwa mzigo ndio maana hakuna wanachofanya Cha maana hapa Tanzania.
 
Hao wana zuoni wa wapi? Hawajui kwamba bunge ni muhimili unao jitegemea kazi yake ni kubariki miswada, kutunga sheria na kushauri serikali kwa niamba ya wananchi wote, waliamua kwamba bandari iendeshwe na BP World kwa masirahi mapana ya nchi yetu, waache kelele za kijinga
Kwa Nini hao Dp word wasiwekeze kwenye ATCL, na mashirika mengine yanayoendeshwa Kwa hasara na Serikali?.

Na kwanini iwe bandali Zote?. Kwanini asingekodishiwa bandali ya Tanga au za huko Zanzibar kwanza Kwa matazamio?.

Kwanini Tenda haikutangazwa na ikawa Kwa uwazi ili wananchi wote tujue, kuliko wazanzibar watatu kujifungia ndani nakuuza Bandari zetu Kwa wajomba zao huko Dubai?.

Tunahitaji Mali za Tanganyika ziachwe Kwa ajili ya vizazi vijavyo, kama Nyerere angeuza Migodi, na Bandari zote Leo hii tungejivunia Nini kama nchi?.

Tunahitaji Serikali ya Tanganyika Kwa ajili ya watanganyika, ili Tanzania iendelee kuwa Moja.
 
Rais Samia na serikali yake wajizulu mara moja.

Kuna document moja nimeiona twitter kwa Martin Maranja Masese inaonyesha Mama akimpa Waziri Mamlaka ya kusaini huu Mkataba, kwahiyo kama hiyo document ni ya kweli, basi Mama nae awajibike kwa kujiuzulu.
Maranja Masese alindwe
 
Hii ushuy ni kubwa kwa kweli, nadhani makosa yanayofanyika sasa hapo mbeleni kutakuwa na kulaumiana sana lawama zitakuwa kubwa mno , yetu macho na masikio kipindi hicho, ambacho sio mbali sana kutoka sasa.

Siwezi kulaumu uongozi wa mwanamke katika nafasi za juu kwani kuna wanawake wameacha historia chanya katika dunia hii kwa uongozi wao ,ila tunachopaswa kulaumu ni aina ya akili ya mwanamke inayo ongeza.

Kiroho hakuna kitu kinathamani kama lango, lango ndio mafanikio ya kila kitu,iwe taifa au taasisi au shirika ama mtu mmoja mmoja , bandari ni lango la taifa, bandari ndio sehemu pekee ya taifa kuingia na kutokea, imagine mlangoni wa kuingia nyumbani kwako awe anamiliki mgeni!

Uwezekano wa kukuzuia usiingie wala kutoka ni mkubwa sana.

Kilichobaki ni neema ya Mungu ndio inayoweza kutuokoa!
 
Kuuza lango la uchumi wa nchi au kutafuta wanahisa ni usariti mkubwa katika kuvunja katiba ya nchi: Bandari ni mali za watanzania wote hatuna wanahisa (shareholders) na hatuhitaji wanahisa.

Waraka wa wazi kwa waheshimiwa wabunge
Nakala kwa waheshimiwa viongozi wa dini
Nakala kwa taasisi ya Mwalimu Nyerere chini ya Mzee Joseph Butiku
Nakala kwa wasomi wote nchini
Nakala kwa umma wa Watanzania
Nakala kwa wapenda amani Duniani kote

Jumuiya ya Wanazuoni Nchini ambao tumekaa pamoja kutoka vyuo vikuu mbalimbali kutimiza wajibu wetu kama katiba ya Nchi inavyotaka pamoja na ya Chama Tawala iliyoridhi misingi ya TANU kwamba nitajielimisha kwa uwezo wangu wote kwa manufaa ya nchi yangu na Elimu yangu ni kwa manufaa ya Taifa.

Wanazuoni tunaanza kwa kutumia busara na kujenga hoja mahususi kupinga nchi yetu kuuzwa kienyeji kwa kisingizio cha mashirikiano ya Nchi yetu na Nchi za Falme ya Kiarabu. Hoja zetu ni kama ifuatavyo;

Kwanza; Bandari zetu zote ni mali za Watanzania zinazosimamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hatuna ubia na mtu yeyote wala Taifa lolote.

Baada ya kusoma kwa kina mkataba wa kubadilisha uendeshaji wa Bandari zetu na kufuatilia hoja mbalimbali za wanaunga mkono na wanaopinga.

Wanazuoni tunapenda kutoa tafsiri sahihi ya kinachoitwa mkataba kuwa ni kuuza Nchi kwa bei rahisi sana na kuingiza mwanahisa mpya kwenye umiliki wa Bandari zetu ambao hutakuwa umiliki wa milele na ukiliziwa na Bunge utalindwa na sheria za Kimataifa huwezi kuuvunja na ukifanya hivyo Nchi itaingia kwenye vita maana kila upande wa umiliki wa Bandari utatumia jeshi kulinda haki zake za kiuchumi (economic interests).

Hoja yetu ya msingi hapa kuwa tutapoteza umiliki ambao tulipewa na Mungu “Sovereign ownership of the ports”. Wanazuoni tunasikitika kwani serikali zilizotangulia zote zimewekeza sana kwenye maboresho ya Bandari zetu kwa kiwango cha juu mno kwa viwango vya Afrika.

Ni ujinga (ignorance) wa kiwango cha juu sana kujilinganisha na Nchi za Falme za Kiarabu (Emirates au Dubai) ambazo zinamilikiwa na falme au koo. Ni rahisi sana Mabeberu wa Kimarekani kujificha kwenye kivuli cha Falme za Kiarabu au Umoja wa Ulaya ambao wanao mkataba mbovu wa EPA uliokataliwa na Afrika.

Kumbuka Umoja wa Ulaya ulitumia pesa nyingi na muda wa miaka mingi kutaka moja ya masharti yao ya EPA ni kutumia Bandari zetu bila malipo yoyote as Free ports for European goods/products.

Ukizingatia uchumi wa Marekani na Umoja wa Ulaya upo kwenye kipindi kigumu sana kuliko wakati wowote.

Marekani na Umoja wa Ulaya wanaongezeko kubwa la umasikini, hukosefu wa Ajira na wamezidiwa na China katika uzalishaji viwandani (Manufacturing industries).

Hivyo basi, sehemu pekee ya wao kupona na kushindana na China ni kupora utajiri wa Tanzania (Afrika) na kuendeleza unyonyaji ili waweze kuwatunza wazungu wenzao kwa kuwapa sera kinga (social Protection policies).

Hii inawezekana tu kwa kuendelea kupora rasimali za Afrika na kupora uchumi wa Nchi zetu. Wanajua wakichukua Bandari zote za Tanzania watakuwa wanamiliki uchumi wa Nchi Karibia kumi zinazotegemea Bandari zetu kwa sababu Nchi yetu ipo kijiographia eneo la kimkakati sana na ndiyo moyo wa Nchi zote zinazotuzunguka.

Ukiharibu uchumi wa Tanzania na Amani ya Tanzania umeharibu uchumi wa majirani zetu, Rejea Wosia wa Baba Taifa Mwalimu Nyerere kwenye hotuba aliyotoa SADC mwaka 1984 akiwa sehemu ya kuaga kama Mkuu wa Nchi.

Hivyo, Wanazuoni tunawaomba Waheshimiwa Wabunge wetu wakatae kabisa siyo tu kubadili vipengele vya mkataba waachane kabisa kucheza na Taifa letu maana historia itawahukumu vibaya sana. Wajifunze Libya jinsi Mabeberu walivyowatumia wanasiasa na kuharibu Taifa lile.

Ukiingiza Mabeberu wa kimarekani na Ulaya kwenye umiliki wa Nchi kama wanahisa wa Bandari zetu kwa mgongo wa Madalali wa Vi-nchi vya Falme za Kiarabu vinavyomilikiwa na kuendeshwa na familia za Kifalme ujue umeuza Nchi kabisa na Rushwa waliokupa utajuta maana watakutupa mbali na kutafuta serikali ya kulinda masilahi yao.

Hiki ndicho kitakuwa kifo cha Chama Cha Mapinduzi na laana ya Waasisi na Watangulizi itatutafuna na kuwatafuna wabunge wote pamoja na spika wao. Mungu tuepushe laana hii.

Hoja ya pili ya Wanazuoni ni kwamba Uchumi wa Tanzania tangia awamu zilizopita na kuchagizwa na Awamu ya Tano imeweka Miundo Mbinu mikubwa sana ya Matrilioni ya Shilingi.

Tumejenga reli ya Kisasa na tunamiliki wenyewe hatuna ubia, tumejenga vyanzo vya umeme ili kuweza kuendesha Treini za umeme.

Tumewekeza sana kuboresha Bandari zetu kwa uwekezaji wa matrilioni ya shilingi na hatuna ubia.

Tunahitaji kuendesha wenyewe Bandari na kutumia treini ya umeme kufikisha mizigo ndani ya masaa 20 kwenye Nchi zinazotuzunguka na tutaweza kupata pesa nyingi za kulipa madeni ya miundo mbinu.

Ukiweka mbia yaani shareholder kwenye Bandari zetu hutaweza kucontrol mapato na matumizi ili uweze kulipa deni.

Hawa Madalali mabeberu wa Vi-nchi vya Falme za Kiarabu watapewa mgao wao yaani dividends na Tanzania itapewa dividends na tutakuwa wajinga kusaini mikataba kabla iliyosainiwa na Kar Peter karne za 14 na Chifu wa Msovero.

Mikataba siyo tu ya kitapeli bali ni ya kinyonyaji maana thamani ya Bandari ni kubwa mno ni Sovereign wealth na hawa madalali wa Mabeberu watatumia bandari zetu kukopa Duniani hawaji na chochote bali pesa za kuwahonga viongozi wetu pamoja na kuwapa ahadi hewa za umiliki sehemu ya shares.

Watawatupa nje kama Mobutu wa Congo zamani Zaire. Imperialists have permanent interests not permanent friends. Baada ya miaka ishirini Nchi itakuwa imeuzwa kabisa kwa Mabeberu ambao watajitanua sana na tutajiingiza kwenye mgongoro wa kuchumi wa Kimtaifa (Geo political conflicts among imperialists powers).

Tujifunze kwa Ufaransa na Nchi walizozitawala wanaendelea kuzinyonya kichumi.

Hivyo basi tunawaomba Waheshimiwa Wabunge tusikubali kupuuza ushauri huu wa wasomi na kukubali mawazo ya kijinga ya wanaojiita darasa la saba ambao hawana uelewa wa uchumi wa Dunia na vita ya kiuchumi Duniani.

Hoja ya tatu ya Wanazuoni kwa Waheshimiwa Wabunge ni kuomba kabisa kukataa kabisa kutumika kuuza Nchi. Tunapinga hoja ya kusema kuwa wenzetu wana mitaji na technolojia hivyo tutaboresha uendeshaji siyo kweli.

Hatuwezi kujilinganisha na Vi-nchi vinavyomilikiwa na familia za Kifalme ambavyo ni madalali ya mabeberu. Tutaboresha kwa viwango vyetu na tunaweza kuajili mtu yeyote kutoka Dunia kuboresha uendeshaji.

Tunaweza kuajili Mzungu, au Mhindi, au Mwarabu au Mkorea au MwaAfrika yoyote na tunaweza kununua technolojia popote duniani na kuweka mifumo ya Komputer ili kuondoa kero na Rushwa Bandari.

Ni Ujinga wa kiwango cha Uprofesa wau juu zaidi kwa kuuza Nchi kwa kumpa mtu ubia ili aweze kuendesha Bandari zetu kwa niaba. Tutakuwa tumewasaliti watanzania.

Waheshimiwa wabunge mkataba huo mpe GSM au Bharesa au Jumuiya ya Wafanya biashara Nchi watafanya maboresho na utajiri utabaki hapa hapa na usalama wa Taifa utabaki palepale.

Huhitaji kuwa Profesa wa Uchumi kuona kuwa mkataba tajwa ni utapeli wa kimataifa na kuuza Nchi kienyeji ni mjinga tu anaweza kukubali.

Hoja ya Nne kutoka kwa Wanazuoni, tunakataa Madalali wa Kiarabu wanaotumiwa na Mabeberu na wanaomiliki Vinchi vyao kupitia familia za kifalme zenye idadi ya watu ndogo na wote wananufaika na utajiri wa Nchi zao, mfano Dubai watu milioni mbili tu na wote wanatunzwa na serikali ya kifalme.

Hivyo, Social anthropology ya WaAfrika na WaTanzania ni tofauti na hao WaArabu kabisa kwa idadi ya watu na mambo mengine mengi ya kijamii, kisiasa, kiuchumi , kiutamaduni na kihistoria.

Bunge lenye maprofesa wengi wazuri wakiwepo Prof. Kabudi, Prof. Kitila, Prof. Mkenda, Prof. Ndalichako na wengine. Halafu Bunge lenye Madaktari wa kusomea (PhD) nao ni wengi pia. Wapo Madaktari wa Binadamu (MD) nao wengi.

Wapo wasomi wa aina mbali mbali wakiwemo wachumi . Hivyo sisi Wanazuoni tunaomba mkataba wa kukodisha Bandari husipitishwe kwani ni kuuza Nchi. Hawa wasomi wakikaa kimya historia itawaukumu huko mbele ya safari.

MAPENDEKEZO
Wanazuoni tunatoa mapendekezo yafuatayo kwa Waheshimiwa Wabunge pamoja na viongozi wote ambao wamepewa nakala ya wakara huu kutoka kwa wasomi wa Taifa.

Kwanza; tunaomba kabisa Bunge lisitishe kabisa mkataba huu siyo kuboresha bali kusitisha mara moja na ktunga sheria ya kutoweka mbia yoyote kwenye Bandari zetu zote, iwe Bagamoyo au iwe yoyote. Liwepo katazo la kibunge.

Pili, tunaomba wabunge na spika wamaqshauri vizuri Mh. Rais kwa upole na uzalendo wa hali ya juu. Inawezekana washauri na wachumi wa Rais hawajaliona jambo hili kwa bahati mbaya hivyo ushauri wetu utawaamusha uzingizini.

Tatu tunashauri Treini ya Umeme ambayo Mh. JPM aliacha imekamilika kipande cha DSM na kipande chas Dodoma ilikuwa imefikia asilimia 80%.

Tunaomba mshauri Rais azindue Treini hiyo na kwenye bajeti ya mwaka huu tuwekeze kujenga reli mpaka Bandari.

Tujenge Bandari kavu kubwa Dodoma kwa kutumia SUMA JKT kwa muda mfupi na gharama ndogo ili treini ianze kubeba mizigo na kuongeza ufanisi wa Bandari bila kuweka madalali waq Mabeberu wanaokuja kwa mgogo wa Vinchi vya Falme za Kiarabu wanavyomilikiwa na Familia.

Tanzania ni Nchi yenye hadhi kubwa ndani ya Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Kimtaifa. Tanzania ni Nchi na Taifa ambalo halimilikiwi na Familia ni Nchi solid kabisa yenye kuheshimika Duiniani tusipoteza mwerekeo tuungane na tujenge Nchi yetu.

Nne Wanazuoni tunashauri Waheshimiwa Wabunge wetu waweze kutafuta busara za wazee wa Taifa, Mzee Joseph Butiku, Mzee Warioba, Mzee Mangula, Wastaafu wa Jeshi, Wastaafu wa Usalama wa Taifa, Marais Wastaafu, Maprofesa Wastaafu , Wasomi wabobezi kama vile Profesa Shivji na wengine wengi.

Wabunge aandaa semina huko Dodoma na Waite hawa Watanzania Wazalendo wawepe Busara zao ili mkifia maamuzi mtaweza kuliokoa Taifa.

Tano Wanazuoni tunashauri Waheshimiwa Wabunge wamuombe Mh. Rais amsimamishe kazi waziri Mbarawa kupisha uchunguzi maana wizara yake ndiyo inataka kuleta majanga ya Taifa.

Tunatanguliza Shukrani
Wenu Katika Ujenzi wa Taifa
Wanazuoni
Naunga mkono HOJA.

KATIBA imevunjwa, tuutafute namna ya kuwawajibisha wote waliokiuka kiapo Cha kulinda na kuitetea Jamuhuri.
 
😂😂😂

Nasubiri Nakala ya Utafiti uliofanywa na Wabobezi wa Kanisa Moja Takatifu la Mitume kama alivyoahidi Fr Kitima kwamba wameukabidhi serikalini!
 
Mkataba wa DP world "not equal to" ticks, ticks ulikuwa na ukomo, huu wa DP world hauna ukomo, mikataba midogo ndio inaukomo, hivyo ni sawa na kutoa bandari zetu bure, kwa mategemeo ya kufanikiwa mbele, bora tungeuza hizo bandarini tungejuwa tumepata nini, sijuwi wasomi wa sasa wana akili gani? Wala hawatambui kitu na wanasiasa wao ni kujionyesha tu wanatetea wasilolijua, kufungua Nchi sio kutoa vitu muhimu bure!
 
Naunga mkono HOJA.

KATIBA imevunjwa, tuutafute namna ya kuwawajibisha wote waliokiuka kiapo Cha kulinda na kuitetea Jamuhuri.
Tuliwachagua wenyewee
Tukawaibiaa na kuraa ilii wapite kwa wingiiiii
Tukafurah viposho ,vya uchaguziiiii
 
HAWA NI WAKOMUNISTI ?!!!

Wanajiita wanazuoni.....hwenda ni WAKOMUNISTI.....

Hii vita ni kubwa....ninaanza kupata mashaka isiwe pia wapingaji wa DP World wanapata nguvu kutoka "nje"......

#SiempreJMT

#MamaAnaupigaMwingi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Walikuwa wapi ?!!!

UTURUKI ni rafiki wa MAREKANI.....

Hawa wanazuoni walikuwa wapi kuipinga serikali ya awamu ya 5 ilipoingia mkataba na YERPI MERKEZ kujenga SGR ?!!!

#MamaAnaupigaMwingimnooo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkataba wa kujenga bwawa la mwalimu Nyerere pale rufiji....

ARAB CONTRACTORS

Misri nao ni marafiki wa MAREKANI...

Hawa WANAZUONI walikuwa wapi kuipinga serikali ya awamu ya 5 ilipoingia mkataba na ARAB CONTRACTORS?!!!

Inaelekea hawa wanazuoni si WANADEMOKRASIA....hawapendi demokrasi....hawapendi MIKATABA ipelekwe bungeni.....

Hawa wanazuoni hwenda ni WAKOMUNISTI....

Wakomunisti hawautaki MUUNGANO....wanataka kuiona Tanganyika ili kule Zanzibar waanze kuweka "base" yao....


#SiempreJMT

#MamaAnaupigaMwingiii

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kuuza lango la uchumi wa nchi au kutafuta wanahisa ni usariti mkubwa katika kuvunja katiba ya nchi: Bandari ni mali za watanzania wote hatuna wanahisa (shareholders) na hatuhitaji wanahisa.

Waraka wa wazi kwa waheshimiwa wabunge
Nakala kwa waheshimiwa viongozi wa dini
Nakala kwa taasisi ya Mwalimu Nyerere chini ya Mzee Joseph Butiku
Nakala kwa wasomi wote nchini
Nakala kwa umma wa Watanzania
Nakala kwa wapenda amani Duniani kote

Jumuiya ya Wanazuoni Nchini ambao tumekaa pamoja kutoka vyuo vikuu mbalimbali kutimiza wajibu wetu kama katiba ya Nchi inavyotaka pamoja na ya Chama Tawala iliyoridhi misingi ya TANU kwamba nitajielimisha kwa uwezo wangu wote kwa manufaa ya nchi yangu na Elimu yangu ni kwa manufaa ya Taifa.

Wanazuoni tunaanza kwa kutumia busara na kujenga hoja mahususi kupinga nchi yetu kuuzwa kienyeji kwa kisingizio cha mashirikiano ya Nchi yetu na Nchi za Falme ya Kiarabu. Hoja zetu ni kama ifuatavyo;

Kwanza; Bandari zetu zote ni mali za Watanzania zinazosimamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hatuna ubia na mtu yeyote wala Taifa lolote.

Baada ya kusoma kwa kina mkataba wa kubadilisha uendeshaji wa Bandari zetu na kufuatilia hoja mbalimbali za wanaunga mkono na wanaopinga.

Wanazuoni tunapenda kutoa tafsiri sahihi ya kinachoitwa mkataba kuwa ni kuuza Nchi kwa bei rahisi sana na kuingiza mwanahisa mpya kwenye umiliki wa Bandari zetu ambao hutakuwa umiliki wa milele na ukiliziwa na Bunge utalindwa na sheria za Kimataifa huwezi kuuvunja na ukifanya hivyo Nchi itaingia kwenye vita maana kila upande wa umiliki wa Bandari utatumia jeshi kulinda haki zake za kiuchumi (economic interests).

Hoja yetu ya msingi hapa kuwa tutapoteza umiliki ambao tulipewa na Mungu “Sovereign ownership of the ports”. Wanazuoni tunasikitika kwani serikali zilizotangulia zote zimewekeza sana kwenye maboresho ya Bandari zetu kwa kiwango cha juu mno kwa viwango vya Afrika.

Ni ujinga (ignorance) wa kiwango cha juu sana kujilinganisha na Nchi za Falme za Kiarabu (Emirates au Dubai) ambazo zinamilikiwa na falme au koo. Ni rahisi sana Mabeberu wa Kimarekani kujificha kwenye kivuli cha Falme za Kiarabu au Umoja wa Ulaya ambao wanao mkataba mbovu wa EPA uliokataliwa na Afrika.

Kumbuka Umoja wa Ulaya ulitumia pesa nyingi na muda wa miaka mingi kutaka moja ya masharti yao ya EPA ni kutumia Bandari zetu bila malipo yoyote as Free ports for European goods/products.

Ukizingatia uchumi wa Marekani na Umoja wa Ulaya upo kwenye kipindi kigumu sana kuliko wakati wowote.

Marekani na Umoja wa Ulaya wanaongezeko kubwa la umasikini, hukosefu wa Ajira na wamezidiwa na China katika uzalishaji viwandani (Manufacturing industries).

Hivyo basi, sehemu pekee ya wao kupona na kushindana na China ni kupora utajiri wa Tanzania (Afrika) na kuendeleza unyonyaji ili waweze kuwatunza wazungu wenzao kwa kuwapa sera kinga (social Protection policies).

Hii inawezekana tu kwa kuendelea kupora rasimali za Afrika na kupora uchumi wa Nchi zetu. Wanajua wakichukua Bandari zote za Tanzania watakuwa wanamiliki uchumi wa Nchi Karibia kumi zinazotegemea Bandari zetu kwa sababu Nchi yetu ipo kijiographia eneo la kimkakati sana na ndiyo moyo wa Nchi zote zinazotuzunguka.

Ukiharibu uchumi wa Tanzania na Amani ya Tanzania umeharibu uchumi wa majirani zetu, Rejea Wosia wa Baba Taifa Mwalimu Nyerere kwenye hotuba aliyotoa SADC mwaka 1984 akiwa sehemu ya kuaga kama Mkuu wa Nchi.

Hivyo, Wanazuoni tunawaomba Waheshimiwa Wabunge wetu wakatae kabisa siyo tu kubadili vipengele vya mkataba waachane kabisa kucheza na Taifa letu maana historia itawahukumu vibaya sana. Wajifunze Libya jinsi Mabeberu walivyowatumia wanasiasa na kuharibu Taifa lile.

Ukiingiza Mabeberu wa kimarekani na Ulaya kwenye umiliki wa Nchi kama wanahisa wa Bandari zetu kwa mgongo wa Madalali wa Vi-nchi vya Falme za Kiarabu vinavyomilikiwa na kuendeshwa na familia za Kifalme ujue umeuza Nchi kabisa na Rushwa waliokupa utajuta maana watakutupa mbali na kutafuta serikali ya kulinda masilahi yao.

Hiki ndicho kitakuwa kifo cha Chama Cha Mapinduzi na laana ya Waasisi na Watangulizi itatutafuna na kuwatafuna wabunge wote pamoja na spika wao. Mungu tuepushe laana hii.

Hoja ya pili ya Wanazuoni ni kwamba Uchumi wa Tanzania tangia awamu zilizopita na kuchagizwa na Awamu ya Tano imeweka Miundo Mbinu mikubwa sana ya Matrilioni ya Shilingi.

Tumejenga reli ya Kisasa na tunamiliki wenyewe hatuna ubia, tumejenga vyanzo vya umeme ili kuweza kuendesha Treini za umeme.

Tumewekeza sana kuboresha Bandari zetu kwa uwekezaji wa matrilioni ya shilingi na hatuna ubia.

Tunahitaji kuendesha wenyewe Bandari na kutumia treini ya umeme kufikisha mizigo ndani ya masaa 20 kwenye Nchi zinazotuzunguka na tutaweza kupata pesa nyingi za kulipa madeni ya miundo mbinu.

Ukiweka mbia yaani shareholder kwenye Bandari zetu hutaweza kucontrol mapato na matumizi ili uweze kulipa deni.

Hawa Madalali mabeberu wa Vi-nchi vya Falme za Kiarabu watapewa mgao wao yaani dividends na Tanzania itapewa dividends na tutakuwa wajinga kusaini mikataba kabla iliyosainiwa na Kar Peter karne za 14 na Chifu wa Msovero.

Mikataba siyo tu ya kitapeli bali ni ya kinyonyaji maana thamani ya Bandari ni kubwa mno ni Sovereign wealth na hawa madalali wa Mabeberu watatumia bandari zetu kukopa Duniani hawaji na chochote bali pesa za kuwahonga viongozi wetu pamoja na kuwapa ahadi hewa za umiliki sehemu ya shares.

Watawatupa nje kama Mobutu wa Congo zamani Zaire. Imperialists have permanent interests not permanent friends. Baada ya miaka ishirini Nchi itakuwa imeuzwa kabisa kwa Mabeberu ambao watajitanua sana na tutajiingiza kwenye mgongoro wa kuchumi wa Kimtaifa (Geo political conflicts among imperialists powers).

Tujifunze kwa Ufaransa na Nchi walizozitawala wanaendelea kuzinyonya kichumi.

Hivyo basi tunawaomba Waheshimiwa Wabunge tusikubali kupuuza ushauri huu wa wasomi na kukubali mawazo ya kijinga ya wanaojiita darasa la saba ambao hawana uelewa wa uchumi wa Dunia na vita ya kiuchumi Duniani.

Hoja ya tatu ya Wanazuoni kwa Waheshimiwa Wabunge ni kuomba kabisa kukataa kabisa kutumika kuuza Nchi. Tunapinga hoja ya kusema kuwa wenzetu wana mitaji na technolojia hivyo tutaboresha uendeshaji siyo kweli.

Hatuwezi kujilinganisha na Vi-nchi vinavyomilikiwa na familia za Kifalme ambavyo ni madalali ya mabeberu. Tutaboresha kwa viwango vyetu na tunaweza kuajili mtu yeyote kutoka Dunia kuboresha uendeshaji.

Tunaweza kuajili Mzungu, au Mhindi, au Mwarabu au Mkorea au MwaAfrika yoyote na tunaweza kununua technolojia popote duniani na kuweka mifumo ya Komputer ili kuondoa kero na Rushwa Bandari.

Ni Ujinga wa kiwango cha Uprofesa wau juu zaidi kwa kuuza Nchi kwa kumpa mtu ubia ili aweze kuendesha Bandari zetu kwa niaba. Tutakuwa tumewasaliti watanzania.

Waheshimiwa wabunge mkataba huo mpe GSM au Bharesa au Jumuiya ya Wafanya biashara Nchi watafanya maboresho na utajiri utabaki hapa hapa na usalama wa Taifa utabaki palepale.

Huhitaji kuwa Profesa wa Uchumi kuona kuwa mkataba tajwa ni utapeli wa kimataifa na kuuza Nchi kienyeji ni mjinga tu anaweza kukubali.

Hoja ya Nne kutoka kwa Wanazuoni, tunakataa Madalali wa Kiarabu wanaotumiwa na Mabeberu na wanaomiliki Vinchi vyao kupitia familia za kifalme zenye idadi ya watu ndogo na wote wananufaika na utajiri wa Nchi zao, mfano Dubai watu milioni mbili tu na wote wanatunzwa na serikali ya kifalme.

Hivyo, Social anthropology ya WaAfrika na WaTanzania ni tofauti na hao WaArabu kabisa kwa idadi ya watu na mambo mengine mengi ya kijamii, kisiasa, kiuchumi , kiutamaduni na kihistoria.

Bunge lenye maprofesa wengi wazuri wakiwepo Prof. Kabudi, Prof. Kitila, Prof. Mkenda, Prof. Ndalichako na wengine. Halafu Bunge lenye Madaktari wa kusomea (PhD) nao ni wengi pia. Wapo Madaktari wa Binadamu (MD) nao wengi.

Wapo wasomi wa aina mbali mbali wakiwemo wachumi . Hivyo sisi Wanazuoni tunaomba mkataba wa kukodisha Bandari husipitishwe kwani ni kuuza Nchi. Hawa wasomi wakikaa kimya historia itawaukumu huko mbele ya safari.

MAPENDEKEZO
Wanazuoni tunatoa mapendekezo yafuatayo kwa Waheshimiwa Wabunge pamoja na viongozi wote ambao wamepewa nakala ya wakara huu kutoka kwa wasomi wa Taifa.

Kwanza; tunaomba kabisa Bunge lisitishe kabisa mkataba huu siyo kuboresha bali kusitisha mara moja na ktunga sheria ya kutoweka mbia yoyote kwenye Bandari zetu zote, iwe Bagamoyo au iwe yoyote. Liwepo katazo la kibunge.

Pili, tunaomba wabunge na spika wamaqshauri vizuri Mh. Rais kwa upole na uzalendo wa hali ya juu. Inawezekana washauri na wachumi wa Rais hawajaliona jambo hili kwa bahati mbaya hivyo ushauri wetu utawaamusha uzingizini.

Tatu tunashauri Treini ya Umeme ambayo Mh. JPM aliacha imekamilika kipande cha DSM na kipande chas Dodoma ilikuwa imefikia asilimia 80%.

Tunaomba mshauri Rais azindue Treini hiyo na kwenye bajeti ya mwaka huu tuwekeze kujenga reli mpaka Bandari.

Tujenge Bandari kavu kubwa Dodoma kwa kutumia SUMA JKT kwa muda mfupi na gharama ndogo ili treini ianze kubeba mizigo na kuongeza ufanisi wa Bandari bila kuweka madalali waq Mabeberu wanaokuja kwa mgogo wa Vinchi vya Falme za Kiarabu wanavyomilikiwa na Familia.

Tanzania ni Nchi yenye hadhi kubwa ndani ya Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Kimtaifa. Tanzania ni Nchi na Taifa ambalo halimilikiwi na Familia ni Nchi solid kabisa yenye kuheshimika Duiniani tusipoteza mwerekeo tuungane na tujenge Nchi yetu.

Nne Wanazuoni tunashauri Waheshimiwa Wabunge wetu waweze kutafuta busara za wazee wa Taifa, Mzee Joseph Butiku, Mzee Warioba, Mzee Mangula, Wastaafu wa Jeshi, Wastaafu wa Usalama wa Taifa, Marais Wastaafu, Maprofesa Wastaafu , Wasomi wabobezi kama vile Profesa Shivji na wengine wengi.

Wabunge aandaa semina huko Dodoma na Waite hawa Watanzania Wazalendo wawepe Busara zao ili mkifia maamuzi mtaweza kuliokoa Taifa.

Tano Wanazuoni tunashauri Waheshimiwa Wabunge wamuombe Mh. Rais amsimamishe kazi waziri Mbarawa kupisha uchunguzi maana wizara yake ndiyo inataka kuleta majanga ya Taifa.

Tunatanguliza Shukrani
Wenu Katika Ujenzi wa Taifa
Wanazuoni
Wanataka pesa za uchaguzo ccm ni genge hatari sana.
 
Kwa Nini hao Dp word wasiwekeze kwenye ATCL, na mashirika mengine yanayoendeshwa Kwa hasara na Serikali?.

Na kwanini iwe bandali Zote?. Kwanini asingekodishiwa bandali ya Tanga au za huko Zanzibar kwanza Kwa matazamio?.

Kwanini Tenda haikutangazwa na ikawa Kwa uwazi ili wananchi wote tujue, kuliko wazanzibar watatu kujifungia ndani nakuuza Bandari zetu Kwa wajomba zao huko Dubai?.

Tunahitaji Mali za Tanganyika ziachwe Kwa ajili ya vizazi vijavyo, kama Nyerere angeuza Migodi, na Bandari zote Leo hii tungejivunia Nini kama nchi?.

Tunahitaji Serikali ya Tanganyika Kwa ajili ya watanganyika, ili Tanzania iendelee kuwa Moja.
Una mawazo ya ajabu sana....

Unampangia mwekezaji cha kuwekeza ?!!!

Taifa linakua....idadi ya watu inaongezeka....mahitaji ya huduma za kijamij yanaongezeka...tunahitaji fedha....tusubiri hadi lini kuyachimba madini na kuwekeza?!!!

#MamaAnaupigaMwingi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Tamko la wanazuoni limeshiba haswa, kazi kwao waendelee kukaza fuvu.
Hao wakomunisti?!!!

Nilipoona tu wametaja "marekani" nikajua hao jamaa "wametumwa"......

Taifa letu halifungamani na upande wowote.....kwanini wanatajwa "marekani" kuwa hwenda wakawa nyuma ya hao DP WORLD?!!!

Serikali yetu adhimu izidi kuwa "VIGILANT".....

#SiempreJMT

#MamaAnaupigaMwingi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom