Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,542
- 93,152
Huyo sio daktari na wala sio nesi, bali ni kanjanja wa taaluma tu, mtu mwenye akili timamu bila kujali kwamba ni mtaalamu wa afya angekushauri uende hospital ya Wilaya au Private hospital kama Dar Group au zinazoendana kiwango na hiyo.Oh yes,offcourse,alituomba tumpeleke muhimbili!