BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,125
- 732
nimesoma thread hii nahisi kama napata mshutuko mkubwa,kweli 2mefikia hapa,haya mtoto wa Mkulima na Nape NNauye
pale muhimbili kuna kitengo cha emergence,kama mgonjwa ni mahututi huna kipingamizi kumpeleka,wangu alikua anahitaji hewa ya oxjeni.
Umeweka read kama kuonyesha huamini kama kweli likukua nazunguka na mwanangu kumtafuta muhusika,naomba uje kwangu banana nikuonyeshe picha nilizopiga kupitia simu yangu ya mkononi nikiwa nimebeba maiti ya mwanangu,kuhusu kikao chao mm sijui na wala siitaji kujua kiliisha saa ngapi,mwisho kabisa nawe ipo siku yatakukuta haya.
yatosha baba mshukuru mungu kwa kila jambo..pole sana.
kaka unataka kutuambia katunga? sidhani kama inawezekana mtu kujitungia kitu hapa jf ili iweje. afu useme mwanao, maiti yake umekaa nayo mikononi masaa mawili. utakuwa ni ujinga. kama ni kutunga stoli basi angesema mtoto wa rafiki yake na n.k. ila pole mkubwa ndo tanzania yetu hiyo.Binafsi nilishakupa pole zangu kwenye thread ya taarifa ya msiba wa Mwanao, ila ili kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba hakuna Dispensary inayotoa Rufaa kwenda Muhimbili, nadhani hapa umejichanganya labda kutokana na msiba.
Pole sana. Ni matokeo ya mambo mengi. Mosi ni ukiukwaji wa maadili na miiko ya kazi...vikao vya kujadili maslahi binafsi vingefanyika huku baadhi yao wakiachwa kuhudumia wagonjwa wa dharura..kinyume cha hapo ni ukiukwaji mkubwa na ubinafsi uliopitiliza wa kuthamini zaidi matumbo yao na si huduma kwa wananchi... kwa hilo madaktari hao 'uchwara' hawana tofauti na wabunge wetu 'wapiga mbonji' wanaojali zaidi matumbo yao kuliko kero za wananchi. Na serikali haikosi kulaumiwa kwa kudekezaacheni unafiki mtoto anayesema huwa anapokelewa emergency wanamstabilize kwanza ndo anaenda wodini. Na emergency siku ile hazikufungwa na madaktari wa mnh kikaoni walikuwa wachache sana,wengi walikuwa kazini siku ile. Ameshakuambia mtoto alifariki wakiwa kwenye harakati za kumuwekea oksijen ambayo inaonesha alishafika kwenye hali mbaya baada ya kucheleweshwa. Huyo kijana anayesema mdogo ndo daktari aliye kuwepo zamu,yawezekana alitegemea kukutana na watu wenye vipara ndo maana anasema madaktari hawakuwepo. Mtoto alicheleweshwa kwa delay ya mzazi na dispensary alikoanzia. Ni ngumu kuanza kukuelekeza kwenye key board ila kwa anayejua ameshatambua tatizo liko wapi. Ujue grieving inasababisha mtu awe anaconvict wengine kuwa ndo wenye makosa
pole sana kwa kumpoteza mwanao, nachelea kusema kua hiyo ni kazi ya Mungu kama tulivyozoea kusema waafrika. Pengine kifo hicho kingeweza epukika,lakini .......Wasiwasi wangu katika taarifa yako ni mtiririko wa matukio,na muda uliofika muhimbili kikao cha madaktari kilichofanyika water front kilikua kimeshakwisha hata taarifa zimesha sambazwa kwenye vyombo vya habari( mi nilizipata mida ya saa kumi hivi) sasa hicho kikao gani tena mida hiyo (suppose) saa moja usiku?? story inatia shaka,japo inasikitishaNdg zangu wana JF nadhani niliwapa taarifa juu ya kifo cha mwanangu mpendwa "MARIAM ALLY"aliyefariki siku ya j,mosi usiku.
Mwanangu alikua na umri wa miezi 9 hv,alianza kuugua malaria siku ya tar 29.02,usiku,tukampeleka dispensary alfajiri ya tar 1.3 na akapata vipimo na kuandikiwa doz ya malaria bcoz alikua na malaria "2".
Aliendelea na doz mpaka siku ya tar 3 asubuhi nilipogundua kama anaupungufu wa maji mwilini,tukamrudisha dispensary ile ile kwa ajiri ya kumcheki tena,baada ya kumcheki dk alisema amepungukiwa maji kwahiyo anatakiwa kupewa drip,alitundikiwa drip kuanzia majira ya saa 5 asubuhi,ilipofika majira ya saa 12 jioni dr akatupa rufaa kwenda muhimbili, nilikodi tax na tukafika muhimbili ndani ya muda muafaka,nilipokelewa na dr1 hv bwana mdogo na alijaribu kunisaidia ili tumuwaishe kwenye oxsijen lakini ilishindikana maana madaktari walikua na kikao cha kupanga mgomo mpya.
So mwanangu akawa amefariki kwenye mikono ya mamake,nilishukuru mungu kwa yote, sasa nikaanza utaratibu wa kutoa maiti kuipeleka mochwari,ilituchukua kama dk 40 hv kupewa kibali cha kuipeleka mochwari,still bado haikua problem sana kwangu.
Sasa kilichonikera na kunisikitisha ni baada ya kufika mochwari sikumkuta muhusika wa mochwari na sasa ikanibidi kuzunguka kumtafuta muhusika huku nikiwa nimeibeba maiti ya mwanangu mikononi,punde alifika ndg yangu mmoja niliyekua nimempigia simu aje kunichukua na gari yake bcoz wife tayari alikua ameshachanganyikiwa,so ilibidi mimi nikae kwenye mrango wa mochwari kwa takribani masaa hv ili kumsubili muhusika na ndg yangu huyo pia akaanza kumtafuta na kumpata baada ya masaa 2 hivi.
Baadae niligundua kwamba madaktari walikua bado wanaendelea na kikao cha mgomo uliopangwa kuanza j5 nchi nzima,
Sasa ni swali kwa wana JF, Jee kama hayo yanatokea muhimbili jee sisi tusio na uwezo wa kwenda INDIA tutapona kweli???
Naombeni comments.
Binafsi nimetoka kwa bwana spika leo jioni mida ya saa 3 pale maeneo ya KIPUNGUNI banana ukonga,ni kweli kabisa huyu bwana kafiwa na wamezika jana,nilipita pale wakati nikitokea kitunda.pole sana kwa kumpoteza mwanao, nachelea kusema kua hiyo ni kazi ya Mungu kama tulivyozoea kusema waafrika. Pengine kifo hicho kingeweza epukika,lakini .......Wasiwasi wangu katika taarifa yako ni mtiririko wa matukio,na muda uliofika muhimbili kikao cha madaktari kilichofanyika water front kilikua kimeshakwisha hata taarifa zimesha sambazwa kwenye vyombo vya habari( mi nilizipata mida ya saa kumi hivi) sasa hicho kikao gani tena mida hiyo (suppose) saa moja usiku?? story inatia shaka,japo inasikitisha
Pole sana kwa kufiwa na pia kwa ujasiri wa kuandika kwa yaliyokusibu.Ndg zangu wana JF nadhani niliwapa taarifa juu ya kifo cha mwanangu mpendwa "MARIAM ALLY"aliyefariki siku ya j,mosi usiku.
Mwanangu alikua na umri wa miezi 9 hv,alianza kuugua malaria siku ya tar 29.02,usiku,tukampeleka dispensary alfajiri ya tar 1.3 na akapata vipimo na kuandikiwa doz ya malaria bcoz alikua na malaria "2".
Aliendelea na doz mpaka siku ya tar 3 asubuhi nilipogundua kama anaupungufu wa maji mwilini,tukamrudisha dispensary ile ile kwa ajiri ya kumcheki tena,baada ya kumcheki dk alisema amepungukiwa maji kwahiyo anatakiwa kupewa drip,alitundikiwa drip kuanzia majira ya saa 5 asubuhi,ilipofika majira ya saa 12 jioni dr akatupa rufaa kwenda muhimbili, nilikodi tax na tukafika muhimbili ndani ya muda muafaka,nilipokelewa na dr1 hv bwana mdogo na alijaribu kunisaidia ili tumuwaishe kwenye oxsijen lakini ilishindikana maana madaktari walikua na kikao cha kupanga mgomo mpya.
So mwanangu akawa amefariki kwenye mikono ya mamake,nilishukuru mungu kwa yote, sasa nikaanza utaratibu wa kutoa maiti kuipeleka mochwari,ilituchukua kama dk 40 hv kupewa kibali cha kuipeleka mochwari,still bado haikua problem sana kwangu.
Sasa kilichonikera na kunisikitisha ni baada ya kufika mochwari sikumkuta muhusika wa mochwari na sasa ikanibidi kuzunguka kumtafuta muhusika huku nikiwa nimeibeba maiti ya mwanangu mikononi,punde alifika ndg yangu mmoja niliyekua nimempigia simu aje kunichukua na gari yake bcoz wife tayari alikua ameshachanganyikiwa,so ilibidi mimi nikae kwenye mrango wa mochwari kwa takribani masaa hv ili kumsubili muhusika na ndg yangu huyo pia akaanza kumtafuta na kumpata baada ya masaa 2 hivi.
Baadae niligundua kwamba madaktari walikua bado wanaendelea na kikao cha mgomo uliopangwa kuanza j5 nchi nzima,
Sasa ni swali kwa wana JF, Jee kama hayo yanatokea muhimbili jee sisi tusio na uwezo wa kwenda INDIA tutapona kweli???
Naombeni comments.