Yaliyonikuta leo

Washawasha

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
16,652
13,077
Habari dhenu wana grit thinka,leo nikiwa natoka uswazi naelekea kunako riziki nilikutwa na kasheshe c kitoto,nilikuwa ndani ya 5 5 inayofanya safari zake Manzese/Kariakoo nilikuwa nimekaa na dada mmoja Mashallah M/mungu kampa mzuri,mgongo anao yaani cfa zote uzijuazo wewe yeye anazo.

Basi kufika njia panda ya Kagera bibie akawa anataka kushuka lkn baada ya kujisachi akajiona hana pochi lake la kuwekea mahela,basi kwa kuwa mimi ndiye niliyekuwa nimekaa naye,salaba la lawama likanianguakia mimi,lkn kwa kweli mimi ckumuibia,baada ya zogo la hapa na pale Dereva akaamua kupeleka gari Kituo cha polisi Magomeni,kwa kuwa mimi ni choka mbaya bac hata mavazi yangu nayo ndiyo usiseme,basi Polisi wakaanza kunipiga ili nitoe pesa wakanisachi lkn hawakunikuta na hizo fedha zilizoibiwa.baada ya kipigo cha hapa na pale mara cmu ya yule dada ikaanza kuita na mazungumzo yalikuwa hivi:

MUME:Mpenzi vp mbona umeacha pochi lako la hela nyumbani sasa utalipaje nauli ya bac?
MKE:he!pochi nimelisahau nyumbani?bac hapa niko kituo cha polisi cha Magomeni na mtu niliyedhani kaniibia na anakula mkong'oto.
Yule mwanamke akawaomba polisi waache kunipiga kwasababu cjamuibia ila pochi lake kalisahau nyumbani,basi yule mwanadada mrembo akaja kuniomba msamaha.
MKE:Samahani kaka yangu kwa yaliyokutokea mie nitakulipa Tsh 100,000 mume wangu akiniletea hela
MIMI:sitaki wewe umenidhalilisha na polisi kunipiga hivi mie nishachelewa kwenye mitkasi yangu
MKE:samahani ila ndio nataka nikulipe kwa kukuchelewesha kwenye mitkasi yako nitakulipa 1,000,000/
MIMI:nikajibu kwa hasira huku naendelea kulia(nimesema sitaki hiyo hela)
POLISI:dada huyu kijana tumemdhalilisha vya kutosha sababu yako,sasa itabidi umuongeze hela c unamsikia anavyokataa,hiyo 1,000,000/ni ndogo inabidi umuongeze,ngoja niongee nae
Polisi ikabdi aje kuongea na mimi
POLISI:Kijana kama unavyoona huyu dada hela anayo na atatoa hela nzuri tu tukimkomalia halafu tukagawana sisi na wewe,sasa sema unataka bei gani ili akulipe
MIMI:TSh 500 ya nauli ili nirudi nyumbani
 
Habari dhenu wana grit thinka,leo nikiwa natoka uswazi naelekea kunako riziki nilikutwa na kasheshe c kitoto,nilikuwa ndani ya 5 5 inayofanya safari zake Manzese/Kariakoo nilikuwa nimekaa na dada mmoja Mashallah M/mungu kampa mzuri,mgongo anao yaani cfa zote uzijuazo wewe yeye anazo.
Basi kufika njia panda ya Kagera bibie akawa anataka kushuka lkn baada ya kujisachi akajiona hana pochi lake la kuwekea mahela,basi kwa kuwa mimi ndiye niliyekuwa nimekaa naye,salaba la lawama likanianguakia mimi,lkn kwa kweli mimi ckumuibia,baada ya zogo la hapa na pale Dereva akaamua kupeleka gari Kituo cha polisi Magomeni,kwa kuwa mimi ni choka mbaya bac hata mavazi yangu nayo ndiyo usiseme,basi Polisi wakaanza kunipiga ili nitoe pesa wakanisachi lkn hawakunikuta na hizo fedha zilizoibiwa.baada ya kipigo cha hapa na pale mara cmu ya yule dada ikaanza kuita na mazungumzo yalikuwa hivi
MUME:Mpenzi vp mbona umeacha pochi lako la hela nyumbani sasa utalipaje nauli ya bac?
MKE:he!pochi nimelisahau nyumbani?bac hapa niko kituo cha polisi cha Magomeni na mtu niliyedhani kaniibia na anakula mkong'oto.
Yule mwanamke akawaomba polisi waache kunipiga kwasababu cjamuibia ila pochi lake kalisahau nyumbani,basi yule mwanadada mrembo akaja kuniomba msamaha.
MKE:Samahani kaka yangu kwa yaliyokutokea mie nitakulipa Tsh 100,000 mume wangu akiniletea hela
MIMI:sitaki wewe umenidhalilisha na polisi kunipiga hivi mie nishachelewa kwenye mitakasi yangu
MKE:samahani ila ndio nataka nikulipe kwa kukuchelewesha kwenye mitkasi yako nitakulipa 1,000,000/
MIMI:nikajibu kwa hasira huku naendelea kulia(nimesema sitaki hiyo hela)
POLISI:dada huyu kijana tumemdhalilisha vya kutosha sababu yako,sasa itabidi umuongeze hela c unamsikia anavyokataa,hiyo 1,000,000/ni ndogo inabidi umuongeze,ngoja niongee nae
Polisi ikabdi aje kuongea na mimi
POLISI:Kijana kama unavyoona huyu dada hela anayo na atatoa hela nzuri tu tukimkomalia halafu tukagawana sisi na wewe,sasa sema unataka bei gani ili akulipe
MIMI:TSh 500 ya nauli ili nirudi nyumbani
Hujatulia broda eeh?...
Unakataa ng'ombe unapokea simbilisi?
 
kweli wewe ni mzalendo, but u can imagine jinsi polisi wetu walivyokuwa na njaa yaani wanataka kula kupitia mgongo wako
 
Dah, nimecheka kweli japo nilipaswa kukuonea huruma. Pole mkuu! Ndo ya bongo hayo!
 
heheeeeeeeeee.pole lakini natamani nikuone na mangeu yako.ila ungepokea tu za kwenda kunua plaster,detol
 
heheeeeeeeeee.pole lakini natamani nikuone na mangeu yako.ila ungepokea tu za kwenda kunua plaster,detol
Nitatu100 maji moto na chumvi kupoza mangeu,pia nina salimia kdogo imebakia nyumbani itanisaidia
 
good man,nchi hii ingekuwa na watu wazuri kama wewe hasa wa jinsia ya kiume tungekuwa mbali....
 
1.sasa labda nikuulize kwanini ulikataa?


2.ila kama ni kweli ubarikiwe!
najibu hiyo namba 1,nilikataa sababu sijawahi kuishika hela hiyo ningekuwa chizi baada ya kupewa, pia zipu ingekuwa haifungi tena maana c unajua uswahilini NANILIYU ilivyokuwa bei rahisi hasa ktk vibanda vya gongo na ningekuwa nalewa kila thiku.
 
Uzalendo wa hali ya juu....huo kweli heshima ya mtu haiwezi kununulia. Jamaa hapa alionyesha kuwa kwa alichomsababishia huyo dada hata angemlipa kiasi gani cha fedha hakitaweza kumsafisha.Pole sana man
 
Uzalendo wa hali ya juu....huo kweli heshima ya mtu haiwezi kununulia. Jamaa hapa alionyesha kuwa kwa alichomsababishia huyo dada hata angemlipa kiasi gani cha fedha hakitaweza kumsafisha.Pole sana man
Nashukuru kiongozi wangu
 
Habari dhenu wana grit thinka,leo nikiwa natoka uswazi naelekea kunako riziki nilikutwa na kasheshe c kitoto,nilikuwa ndani ya 5 5 inayofanya safari zake Manzese/Kariakoo nilikuwa nimekaa na dada mmoja Mashallah M/mungu kampa mzuri,mgongo anao yaani cfa zote uzijuazo wewe yeye anazo.
Basi kufika njia panda ya Kagera bibie akawa anataka kushuka lkn baada ya kujisachi akajiona hana pochi lake la kuwekea mahela,basi kwa kuwa mimi ndiye niliyekuwa nimekaa naye,salaba la lawama likanianguakia mimi,lkn kwa kweli mimi ckumuibia,baada ya zogo la hapa na pale Dereva akaamua kupeleka gari Kituo cha polisi Magomeni,kwa kuwa mimi ni choka mbaya bac hata mavazi yangu nayo ndiyo usiseme,basi Polisi wakaanza kunipiga ili nitoe pesa wakanisachi lkn hawakunikuta na hizo fedha zilizoibiwa.baada ya kipigo cha hapa na pale mara cmu ya yule dada ikaanza kuita na mazungumzo yalikuwa hivi
MUME:Mpenzi vp mbona umeacha pochi lako la hela nyumbani sasa utalipaje nauli ya bac?
MKE:he!pochi nimelisahau nyumbani?bac hapa niko kituo cha polisi cha Magomeni na mtu niliyedhani kaniibia na anakula mkong'oto.
Yule mwanamke akawaomba polisi waache kunipiga kwasababu cjamuibia ila pochi lake kalisahau nyumbani,basi yule mwanadada mrembo akaja kuniomba msamaha.
MKE:Samahani kaka yangu kwa yaliyokutokea mie nitakulipa Tsh 100,000 mume wangu akiniletea hela
MIMI:sitaki wewe umenidhalilisha na polisi kunipiga hivi mie nishachelewa kwenye mitkasi yangu
MKE:samahani ila ndio nataka nikulipe kwa kukuchelewesha kwenye mitkasi yako nitakulipa 1,000,000/
MIMI:nikajibu kwa hasira huku naendelea kulia(nimesema sitaki hiyo hela)
POLISI:dada huyu kijana tumemdhalilisha vya kutosha sababu yako,sasa itabidi umuongeze hela c unamsikia anavyokataa,hiyo 1,000,000/ni ndogo inabidi umuongeze,ngoja niongee nae
Polisi ikabdi aje kuongea na mimi
POLISI:Kijana kama unavyoona huyu dada hela anayo na atatoa hela nzuri tu tukimkomalia halafu tukagawana sisi na wewe,sasa sema unataka bei gani ili akulipe
MIMI:TSh 500 ya nauli ili nirudi nyumbani


april mbaliiiiii
 
Back
Top Bottom