Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
- Thread starter
- #61
cheka unenenpe kaka.brother umenchekesha sana na wakati mwanzo ilikuwa naona huruma iabidi ncee tu any way kwa leo ndio nimecheka sana na kufurahi hahahahah
Nalog off
cheka unenenpe kaka.brother umenchekesha sana na wakati mwanzo ilikuwa naona huruma iabidi ncee tu any way kwa leo ndio nimecheka sana na kufurahi hahahahah
division V.kilazaaaaaaaaaaaa
shida yangu ilikuwa nauli tu ili nifike safari yangu.Hahaha we jamaa ni vita yani jero.na kipigo chote icho
nakukaribisha uje kunitembelea.Huyo nadhani atakua na room yake pale M.N.H mogue
hapo ni baada ya dili kunaunsi?POLISI;pumbafu na akiri zako mbofu utaendelea kusota humu.tena we ndo kna RB yako hapa ni maarufu sana tandare yote kwa wizi wa kuku!
cheka unenepe kaka.hahahaahahaa....FUNDI wewe ni mwana philosophy no doubt....
sawa nita edit.Kuna kauongo ndani yake thats why nasema si kweli coz wadada huwa wanaweka visimu vyao katika hivyo vipochi. Hebu edit tena hiyo longolongo yako. Bongo watu ni wepesi sana kuamini thats why kuna dini nyingi sana.
My dearest sister,hau is you?What!!!!
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
kaka sina wakili ndugu yangu.Ungempigia wakili wako , polisi wange kuacha na dada angeongeza angalau milion zingine mbili hivi!:argue:
poa tu ni mambo ya kawaida.We -------- nin unataka pesa unapewa pesa wa2 wapo ful utabaki hvyo hvyo
nilifika salama salimini.kama kweli yalikutokea pole sana dear...
lakiini umenichekesha sana hapo mwisho..
hopeful ulifika home salama...
si nimekubali 500?man acha mchezo na pesa, me ningekuwa huyo polisi ningekuendelezea kipondo, huwezi kukataa pesa.
Ungekuwa Moshi tungekupiga marufuku usirudi mtaani ukae hukohuko polisi, huwezi kukataa pesa bana.
simu yenyewe walichukua polisi.Washa washa umesema mtoto ni bomba we ungeomba namba yake ya simu.akili ikikaa vema utajua cha kuongea naye
nashukuru.Wewe kweli mtakatifu hongera kama ni kweli
kumbe shigongo ni mwizi?aisee we unaijua fasihi, nimeipenda hadithi yako umepangilia vizuri vipi ina muendelezo? angalizo shigongo yupo humu ndani kesho utaikuta gazetini
hilo nalo tunatakiwa tulitambue.Kumbukeni tuko jokes/utani/udaku
Mjumbe ameleta ujumbe 'mkali' sana juu ya maadili.
jero ndio kila kitu.nilikuwa najua huyu washawasha si mzima,nimethibitisha alivyomalizia stori ,ILA UMETISHA,mimi nilijua hutaki hela unataka mgegedo kumbe inshu jero?
nashukuru kaka.Eeh! washawasha we ni mnoma,nimeipenda hiyo.
Habari yako mkuu...kumbe shigongo ni mwizi?
Nalog off